BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Dkt. Stragomena Tax, ameliambia Bunge kuwa kwa sasa utaratibu wa miaka 6 utabakia kama ulivyo kutokana na misingi iliyowekwa kwa ajili ya kuwaandaa Askari hao kulinda nchi.
Dkt. Stragomena amesema Askari wapya wanaojiunga na Jeshi wanabakia kuwa wapiganaji ambao hupaswa kupewa ujuzi zaidi na kutumika kwenye Vita, hivyo miaka 6 ya kutokuoa au kuolewa inatoa nafasi kwa Askari hao kutumika ipasavyo kwenye shughuli za kijeshi.
Dkt. Stragomena amesema Askari wapya wanaojiunga na Jeshi wanabakia kuwa wapiganaji ambao hupaswa kupewa ujuzi zaidi na kutumika kwenye Vita, hivyo miaka 6 ya kutokuoa au kuolewa inatoa nafasi kwa Askari hao kutumika ipasavyo kwenye shughuli za kijeshi.