Serikali hii ya Magufuli itakuwa na ubavu wa kugomea masharti magumu ya Wachina ilhali wanataka kukamilisha miradi hii ndani ya miaka mitano?

Serikali hii ya Magufuli itakuwa na ubavu wa kugomea masharti magumu ya Wachina ilhali wanataka kukamilisha miradi hii ndani ya miaka mitano?

Hii sgr hadi ifike mwanza na kigoma sijui hali itakuwaje, hapo bado katavi. kuna wataalamu wanadai tungekarabati hii iliyopo, maana na yenyewe ni sgr.
 
Hela yote iliyotumika kwenye SGR, ndege, Bwawa, kuuwa upinzani,nk Kama zingewekezwa kwenye kilimo zingesharudi Mara tatu. Na tusingehitaji mikopo.
. Fungua mipaka
.jenga viwanda vya zana za kilimo
.futa kabisa ushuru chochote kuhusu kilimo
.lima mazao yenye uhitaji Mkubwa duniani korosho, chikichi, alizeti, mtama, mahindi, mpunga, parachichi, katani, nk
.ongeza thamani mazao.
.
.
.
Tungepata pesa nyingi Sana za kigeni na tusingehitaji mikopo.
Tatizo la ajira lingetoweka.
AMEN
 
Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa reli ya kisiasa (SGR).

Kwa mtazamo wangu, sababu ni hizi:

1. Miradi hii imeshaanza kutekelezwa, hivyo ni lazima tupambane iishe vinginevyo itakuwa ni aibu na pigo kisiasa.

2. Tumeshatangaza kwa umma na dunia kuwa miradi hii ni lazima ikamilike na ahadi hii kwa watanzania teyari ni deni la kisiasa na pia ikifeli ni kete kwa wapinzani.

3. Tumeshaingia mikataba na wakandarasi na sijui kama mikataba tulioingia inatambua kusitishwa kwa mradi wakati wowote ule na kwasababu yoyote ile bila kuwa na gharama ya kusitisha mradi husika.

4. Kitaalamu sijui kama inawezekana/ inashauriwa kusitisha miradi ya aina hii pale inapokuwa tayari imeshaanza kutekelezwa.

5. Kusimamisha miradi hii kwa muda sidhani kama ndio itakuwa ni kusimamisha gharama za mradi kwa asilimia 100 ili hali mitambo na vitu vingine tayari viko site na kazi ya ujenzi tayari ilishaanza.

Hivyo basi, kwa kuzingatia sababu hizo hapo juu na nyingine ambazo inawezekana sijazitaja, sioni kama tutaingia kwenye meza ya mazungumzo tukiwa na jeuri ya kukataa mashariti magumu iwapo yatatolewa na Wachina au mtu mwingine yeyote atakaekuwa tayari kuokoa jahazi kwa kuwekaza fedha zake katika hii miradi.

Vile vile sidhani kama mchina au mtu mwingine yeyote ataacha ku-take advantage ya hali hii kutunyonya tofauti na ku-negotiate wakati mradi/miradi bado haijaanza kutekelezwa.

Tusubiri.
Mkuu mbali ya kutanguliza muono wako, tujitahidi kila mara tuwe objective na tujitahidi kuwa na comparative analysis ya suala la mikopo kwa kufananisha na nchi mbali mbali zenye mazingira kama yetu..

Nchi yetu bado tunaweza kukopa bila kutikisika 64 billion USD.

Projects za Nyerere dam na SGR probable financial deficits ni 3 billion almost. Na hii pesa tunaweza ku raise kwa Multilateral, bilateral au Developement financing Agencies.

China ananunua US bonds za 260 billion USD kwa mwaka, kwa interest ya 2%.

Sisi tukitaka 30 billion atatupatia tuu, ila akiwa na wasi wasi wa sisi uwezo kulipa ama atatupandishia loan interest labda 4% , ama atatukopesha kibiashara kupitia shares contributions/ Financial loan influence alizo nazo, Africa Developement Bank, Asian Developement Bank, OECD Bank, au Bretton Wood Institutions kwa interest policy za mashirika hayo.
(Mfano tuu: China inasema lipa mambi ya mkopo kwa Tanzania 10 billion na akishindwa kulipa ni mimi nitamsimamia kwa michango yangu kwa Benki yako. Hii ni financial influence ya Nchi )

Au akapitishia IDA (International development Agency) chombo chesterfield kutoa misaada kwa nchi Maskini sana, ila huchukua muda kupata mkopo na nchi nyingi sana zinapenda zikopeshwe kupitia mfuko huu.

Wafanya biashara binafsi ndio uwekezaji wao kwetu unakuwa wa Kibiashara. Na hivyo wanatumia matakwa ya biashara kukopesha.
Ila nchi inaweza kulazimisha tukopeshwe ila collateral kwa mkopo huo Nchi ikatuwekea dhamana..

Nchi haikopeshi pesa yake ya Kodi kibiashara . Ila pesa hizi hutolewa na masharti ya kisiasa, tofauti na pesa za kibiashara ambapo siasa hua si lazima kwamba tana na mkopo.

International development funding policies ni suala pana kidogo na linahitaji muda kulieleza kwa ufasaha.
 
Kuna nini tena kimeinesha ishara ya mkwamo wa hiyo miradi.kila siku nipo u tube naona video za mwendelezo wa miradi.
 
Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa reli ya kisiasa (SGR).

Kwa mtazamo wangu, sababu ni hizi:

1. Miradi hii imeshaanza kutekelezwa, hivyo ni lazima tupambane iishe vinginevyo itakuwa ni aibu na pigo kisiasa.

2. Tumeshatangaza kwa umma na dunia kuwa miradi hii ni lazima ikamilike na ahadi hii kwa watanzania teyari ni deni la kisiasa na pia ikifeli ni kete kwa wapinzani.

3. Tumeshaingia mikataba na wakandarasi na sijui kama mikataba tulioingia inatambua kusitishwa kwa mradi wakati wowote ule na kwasababu yoyote ile bila kuwa na gharama ya kusitisha mradi husika.

4. Kitaalamu sijui kama inawezekana/ inashauriwa kusitisha miradi ya aina hii pale inapokuwa tayari imeshaanza kutekelezwa.

5. Kusimamisha miradi hii kwa muda sidhani kama ndio itakuwa ni kusimamisha gharama za mradi kwa asilimia 100 ili hali mitambo na vitu vingine tayari viko site na kazi ya ujenzi tayari ilishaanza.

Hivyo basi, kwa kuzingatia sababu hizo hapo juu na nyingine ambazo inawezekana sijazitaja, sioni kama tutaingia kwenye meza ya mazungumzo tukiwa na jeuri ya kukataa mashariti magumu iwapo yatatolewa na Wachina au mtu mwingine yeyote atakaekuwa tayari kuokoa jahazi kwa kuwekaza fedha zake katika hii miradi.

Vile vile sidhani kama mchina au mtu mwingine yeyote ataacha ku-take advantage ya hali hii kutunyonya tofauti na ku-negotiate wakati mradi/miradi bado haijaanza kutekelezwa.

Tusubiri.


Ni kama unapiga lamli, kwani hiyo miradi imesimama au inaendelea? Hebu tumia akili japo kidogo basi.
 
Serikali hii imeshaharibu kila sekta, hakuna hata sehemu moja ambayo imesalimika na bado ipo kwenye spidi ya 4G kuharibu zaidi.

Tatizo baya zaidi ni viongozi wanaona ufahari wa kukusanya mapato kwa nguvu na utapeli kwa wananchi/ wafanyabiashara/ wawekezaji na sasa mpaka kwa wakulima.

Fikra zao ni finyu kama mbegu ya karanga, hawajiulizi serikali itakwenda mpaka lini kwa huu mwenendo wao?

Bado kuna mapunguwani na majuha yanakaa kwenye ofisi zenye kiyoyozi na kupokea mshahara na marupurupu kibao, yanasimama na kutoa maelekezo "KILA MWEZI TRA WAKUSANYE TRILLIONI MBILI". Kwa hali na mazingira gani ya kibiashara iliopo sasa mpaka kukusanya kiasi hicho cha pesa?

It is stupidity beyond recognition of imagination, at the end only the weak dont get to choose how they die.

Kuna ufahari wa kila kichaa, ambao kichaa peke yake ndio anaouelewa huo ufahari.
Inalekea ulikuwa hulipi kodi wewe, unaandika mpaka unaharibu keyboard kwa hasira?
 
Leo umeandika uzi maridhawa ingawa najua nia yako ni kuponda. Nadhani haitakuwa hivyo maana Wachina si wabaya, ila utashi wa Viongozi wa Kiafrika ndiyo mbaya na ufisadi. Tofauti kati ya westerners na Wachina ni pale ambapo nchi zao hazikubaliani na ufisadi katika mikopo angalia mfano wa kesi ya Kitilya ambapo lililipukia ulaya na si tanzania. Kwa uchina hawajali

Ila ukiwa na timu ambayo si ya kifisadi katika negotiations, Wachina wazuri tu. Aidha kumbuka sote (tz na China) tuna common enemy ambao ni westerners
Mmmmh...unaijua mikopo ya wachina kweli mkuu.mikopo ya wachina Ni collateral.Hela ya Mchina Ni hatari kuliko ya wazungu.Mchina hacheki na ndio maana hana habari na cjui utawala bora yy ni manufaa ya kiuchumiy kutoka kwako.Madhsifu yako hayamhusu.MCHINA SI RAFIKI JINSI UNAWAZA.NI HATARI.
 
Mmmmh...unaijua mikopo ya wachina kweli mkuu.mikopo ya wachina Ni collateral.Hela ya Mchina Ni hatari kuliko ya wazungu.Mchina hacheki na ndio maana hana habari na cjui utawala bora yy ni manufaa ya kiuchumiy kutoka kwako.Madhsifu yako hayamhusu.MCHINA SI RAFIKI JINSI UNAWAZA.NI HATARI.
Amini usiamini, unayoyasema ni kweli kwa client aliye fisadi. Ndo maana viongozi mafisadi kama JK wanawapenda maana wanawaeleza waongeze 20 percent nao wanakuwa na masharti ya kuua.

Ukiwa na kiongozi mzalendo, hiyo hakuna na mnapata dili safi. Tatizo mmekariri tu. Na hata hao wazungu wana masharti ya kunyonga pia.
 
Amini usiamini, unayoyasema ni kweli kwa client aliye fisadi. Ndo maana viongozi mafisadi kama JK wanawapenda maana wanawaeleza waongeze 20 percent nao wanakuwa na masharti ya kuua.

Ukiwa na kiongozi mzalendo, hiyo hakuna na mnapata dili safi. Tatizo mmekariri tu. Na hata hao wazungu wana masharti ya kunyonga pia.
Unahisi Ni kukariri,kuna siku yaja Afrika itakuwa ya mchina.Wewe unajua yaliyosainiwa na hao wanasiasa unaodhani ni wazalendo.Huwajui wanasiasa vizuri we.Mkopo wa mchina cyo km ule wa wazungu.Mradi unaoanzisha ndio dhamana ya mkopo.
Hawa unaodhani ni wazalendo,subiri watoke madarakani ndio utajua walikuwa wazalendo au la.
Kilichopo Danganyika kwa sasa ni kwamba wamepunguza wigo wa watu kufaidika na ufisadi.Ni wachache wanafaidi.kakikundi fulani.
Leo CAG hakagui sekta ya madini,hakagui ATCL unadhani ni bahati mbaya.
 
Nadhani kunashida kwetu sisi wananchi na sijui hii shida inaanzia wap nadhan hatupendi kusoma au tunapenda sana umbea na hatutaki kabisa kujishugulisha nijuavyo mimi miradi hii haijawahi kuomba pesa ikakwama na mfano ule mradi wa sgr pesa ya kufika dodoma tulisha pewa na ipo lakini pia nijuavyo mimi serikali ya magufuli au yetu sisi watanzania ya sasa sio serikali ya hivo mkataba wowote utaingiwa kama una maslahi mapana ya taifa period.
 
Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa reli ya kisiasa (SGR).

Kwa mtazamo wangu, sababu ni hizi:

1. Miradi hii imeshaanza kutekelezwa, hivyo ni lazima tupambane iishe vinginevyo itakuwa ni aibu na pigo kisiasa.

2. Tumeshatangaza kwa umma na dunia kuwa miradi hii ni lazima ikamilike na ahadi hii kwa watanzania teyari ni deni la kisiasa na pia ikifeli ni kete kwa wapinzani.

3. Tumeshaingia mikataba na wakandarasi na sijui kama mikataba tulioingia inatambua kusitishwa kwa mradi wakati wowote ule na kwasababu yoyote ile bila kuwa na gharama ya kusitisha mradi husika.

4. Kitaalamu sijui kama inawezekana/ inashauriwa kusitisha miradi ya aina hii pale inapokuwa tayari imeshaanza kutekelezwa.

5. Kusimamisha miradi hii kwa muda sidhani kama ndio itakuwa ni kusimamisha gharama za mradi kwa asilimia 100 ili hali mitambo na vitu vingine tayari viko site na kazi ya ujenzi tayari ilishaanza.

Hivyo basi, kwa kuzingatia sababu hizo hapo juu na nyingine ambazo inawezekana sijazitaja, sioni kama tutaingia kwenye meza ya mazungumzo tukiwa na jeuri ya kukataa mashariti magumu iwapo yatatolewa na Wachina au mtu mwingine yeyote atakaekuwa tayari kuokoa jahazi kwa kuwekaza fedha zake katika hii miradi.

Vile vile sidhani kama mchina au mtu mwingine yeyote ataacha ku-take advantage ya hali hii kutunyonya tofauti na ku-negotiate wakati mradi/miradi bado haijaanza kutekelezwa.

Tusubiri.
Kama awamu hii ya uongozi ilikinzana na China juu ya mkataba wa ujenzi wa Bandari Bagamoyo, iweje leo masharti ya wachina tuyaweze?

Msaada, tuta angani!
 
Teyari Wachina wameshaanza kuzengezengea ukiona ndege aina ya tai akizunguka angani sehemu fulani ujue chini kuna mnyama anakaribia kuwa mzoga.
Kuzengea zengea nini mkuu, nani kakwambia Wachina wanaganga njaa!!

Kwa taarifa yako hivi sasa Taifa la China limekwisha ipiku Amerika kiuchumi, hawana shida yoyote na mali asili zetu wala nini sijui, wanaweza kuzipata popote Duniani muda wote wakizihitaji.

Mnashangaa nini Wachina wanaposema wakijenga reli au Bandari basi wao ndio wawe wahusika wakuu kukusanya mapato ili iwe rahisi kwao kurudisha mikopo yao on time mpaka Deni litakapo isha, hawajawahi kusema katika ukusanyaji mapato Serikali itakosa gawiwo - sisi tunalalamika nini wakati hatuta invest chochote zaidi ya aridhi na rasimali watu.

Niliwahi kuwambieni Wachina wanafanya hivyo kutokana na bad experience katika ujenzi wa reli ya TAZARA, Wachina walitumia matrillion na matrilion ya pesa za walipa kodi wao, hivi sasa ni karibu miaka hamsini tangu wajenge na kutukabidhi reli kwa mkopo husio na riba, mwisho wa siku wamevuna nini tumewazika hela zao hatajawarudishia hata senti tano ya mkopo wao na wala hawajatupeleka kwenye Mahakama ya Kimataifa kudai deni lao, hivi kwa akili za kawaida unategemea Wachina wana waamini tena Washwahili - sisi tunakazania Wachina wezi wezi, kumbe sisi ndiyo matapeli namba moja!

Hata wakisema ndio wawe wakusanyaji wakuu wa mapato ya reli za Kenya na Uganda wanazo jenga, mimi naona bora iwe hivyo ngozi nyeusi si watu wa kuaminika hata kidogo - sisi tunakazania kuwalaamu Wachina 24X7, cha ajabu hakuna anaye kumbuka tulivyo watapeli/wazika fedha zao lukuki walizo jengea reli ya TAZARA kwa mkopo - Wachina wali-learn a very hard lesson katika project ya ujenzi wa reli TAZARA hawawezi kuruhusu ujinga huu ujirudie tena,walisha baini ufujaji na wizi wa fedha za umma katika mashirika ya umma na Serikalini kwenye Nchi nyingi za Kiafrika ndio maana walisha kata shauri kwamba wakitaka mkopo yao urudi kwa uhakika ni lazima wakusanye mapato mpaka deni lao lote liishe mradi wanatoa %ge fulani ya mapato kama gawiwo kwa Serikali husika - mbona mimi sioni kama hilo ni tatizo. Hapo sijazungumzia kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bwagamoyo - mantiki zinabaki zile zile - hatuaminiki katika ulipaji madeni ndio maana tunawekewa kwa kile mnacho kiita masharti magumu, period.
 
Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa reli ya kisiasa (SGR).

Kwa mtazamo wangu, sababu ni hizi:

1. Miradi hii imeshaanza kutekelezwa, hivyo ni lazima tupambane iishe vinginevyo itakuwa ni aibu na pigo kisiasa.

2. Tumeshatangaza kwa umma na dunia kuwa miradi hii ni lazima ikamilike na ahadi hii kwa watanzania teyari ni deni la kisiasa na pia ikifeli ni kete kwa wapinzani.

3. Tumeshaingia mikataba na wakandarasi na sijui kama mikataba tulioingia inatambua kusitishwa kwa mradi wakati wowote ule na kwasababu yoyote ile bila kuwa na gharama ya kusitisha mradi husika.

4. Kitaalamu sijui kama inawezekana/ inashauriwa kusitisha miradi ya aina hii pale inapokuwa tayari imeshaanza kutekelezwa.

5. Kusimamisha miradi hii kwa muda sidhani kama ndio itakuwa ni kusimamisha gharama za mradi kwa asilimia 100 ili hali mitambo na vitu vingine tayari viko site na kazi ya ujenzi tayari ilishaanza.

Hivyo basi, kwa kuzingatia sababu hizo hapo juu na nyingine ambazo inawezekana sijazitaja, sioni kama tutaingia kwenye meza ya mazungumzo tukiwa na jeuri ya kukataa mashariti magumu iwapo yatatolewa na Wachina au mtu mwingine yeyote atakaekuwa tayari kuokoa jahazi kwa kuwekaza fedha zake katika hii miradi.

Vile vile sidhani kama mchina au mtu mwingine yeyote ataacha ku-take advantage ya hali hii kutunyonya tofauti na ku-negotiate wakati mradi/miradi bado haijaanza kutekelezwa.

Tusubiri.

Mkuu umekuwa so Negative mpaka inanipa wasi Aina ya mtu. Watanzania hatuko Hivi. Tunakuwa na positiv na wakati negative. Maandiko yako yako so empty kiasi naogopa unaweza jiua wewe miradi ya kuwasaidia wananchi ikikamilika. JPM aliomba misada yenye masharti nafuu. But wewe unakuja na RAMLI ili tu Tz ijadiliwe vibaya. You are a sadomasochistic.

Uchaguzi umepita Sasa wa kuangaliwa ni MTanzania. Embu fanya kitu cha matokeo Chanya. Toa mchongo. Mpigie simu hata Lissu akupe sehemu ya mipango yake kwa nchi ya Tz kupata hela za marekani na ulaya bila masharti. Au mpaka Uwe kiongozi ndo utasaidia Mwananchi. Basi Acha kuandika maoni hasi. You seem to be a loser.
 
Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa reli ya kisiasa (SGR).

Kwa mtazamo wangu, sababu ni hizi:

1. Miradi hii imeshaanza kutekelezwa, hivyo ni lazima tupambane iishe vinginevyo itakuwa ni aibu na pigo kisiasa.

2. Tumeshatangaza kwa umma na dunia kuwa miradi hii ni lazima ikamilike na ahadi hii kwa watanzania teyari ni deni la kisiasa na pia ikifeli ni kete kwa wapinzani.

3. Tumeshaingia mikataba na wakandarasi na sijui kama mikataba tulioingia inatambua kusitishwa kwa mradi wakati wowote ule na kwasababu yoyote ile bila kuwa na gharama ya kusitisha mradi husika.

4. Kitaalamu sijui kama inawezekana/ inashauriwa kusitisha miradi ya aina hii pale inapokuwa tayari imeshaanza kutekelezwa.

5. Kusimamisha miradi hii kwa muda sidhani kama ndio itakuwa ni kusimamisha gharama za mradi kwa asilimia 100 ili hali mitambo na vitu vingine tayari viko site na kazi ya ujenzi tayari ilishaanza.

Hivyo basi, kwa kuzingatia sababu hizo hapo juu na nyingine ambazo inawezekana sijazitaja, sioni kama tutaingia kwenye meza ya mazungumzo tukiwa na jeuri ya kukataa mashariti magumu iwapo yatatolewa na Wachina au mtu mwingine yeyote atakaekuwa tayari kuokoa jahazi kwa kuwekaza fedha zake katika hii miradi.

Vile vile sidhani kama mchina au mtu mwingine yeyote ataacha ku-take advantage ya hali hii kutunyonya tofauti na ku-negotiate wakati mradi/miradi bado haijaanza kutekelezwa.

Tusubiri.
Bado kidogo Zambia watakabidhi Ikulu kwa wachina ili kufidia madeni
 
Back
Top Bottom