Serikali hizi tozo ni balaa. Nilichokiona Nyamhongolo stand ni wizi juu ya wizi

Serikali hizi tozo ni balaa. Nilichokiona Nyamhongolo stand ni wizi juu ya wizi

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habarini wanajukwaa na watanzania tunaokamuliwa na wajanja wachache. Yaani inakuwaje jamani watu Kama watano tu wanatuendesha sie nyumbu. Tunamcheka nyumbu 10k wanakimbia chui 5 Ila na sie hatuna tofauti.


Wanatumia nyumbu wenzetu maaskari kutudhibiti tunaotaka kuwatetea Mana watt wao wanasoma za bure Kama wetu wakati hao wanaotukamua wanasomesha huko Hopac.




Niende kwa kisa jamani.

Hii stendi imefunguliwa nikiwa hapa hapa mjini Ila sikuwa na shida nikashangae Mana najua kuwa nitaenda tu.


Sasa leo Kuna mzigo nilikuwa nautuma ambao Ni ndoo za rangi 10 na tairi za bajaji.


Sasa eti nimeingia na Kenta ndani kwanza jamaa akanikata 200 mie ya kuingia iyo sawa. Gari dereva akaachwa Mana akiwa anatoka analipa alfu moja ameniambia Ila Sina uhakika.


Kilichonishangaza Sasa eti Kuna alfu moja kila ndoo na kila tairi shilingi 5000. Maelezo yake eti kwa ajili ya eti ya uchafuzi wa stendi kiss nimeingia na mzigo Mana nitachafua stendi.

Sasa rangi iko kwenye ndoo itachafua kweli na tairi. Naomba nieleweshwe ama kisa umechaguliwa na watu na unatunga chochote unachojisikia kutunyonya. Yaani nasema ivi ongezeni unyonyaji baadaye mtapata majibu.
Wajanja mmeshika nchi Tena wa mjini inataka kuwashinda Mana mmemdedisha mchunga ng'ombe mwenzetu.



Sasa risiti hizi za mzigo

Nimenunua mzigo nikapakia kwa gari nikalipa upandishaji,nikalipa kenta mpaka nyamhongolo,Kuna kushusha Ni hela nimepandisha kwa Basi Ni hela,huko inakoenda itashushwa na itasafirishwa mpaka dukani ama nyumbani Ni hela na bado stendi nilipe eti uchafuzi jamani kweli hii Ni halali.


Cheki gharama zote hizo hapo kwani nilizolipa mie nitabakia na Nini nitauzaje na naamie nitaipataje kafaida. Mbona sehemu kubwa mmmeweka mifumo ya kutukamua mpaka shit itaisha.
IMG_20220920_123123_977.jpg
 
Tozo zimefutwa na bado mnalalamika?
Unatumika na tishu na utatupwa chooni. Kuna tozo gani zimefutwa. Orodhesha hapa zilizofutwa zinamsadia mama yako kijijini ama dada anayetuma hela yake Tarime atumiwe ndizi kwenye Basi.

Jamani acheni hata Kama mmepewe kahela ka kunywa kuweni na aibu ama na wewe Ni mojawapo linyonya damu
 
Pole mkuu!! Hata kama ingekuwa ni faini hicho kiasi ni kikubwa.
 
🤣🤣kaz kwel kwel
Usicheke yaani unafika na sukari eti ushuru wa mzigo ,kweli jamani. Ila nawambieni karibu kitanuka. Saivi si wamelewa wameshiba. Mmecheki Iran mmoja akauliwa kisa Cha hijab Sasa wakavua wote.


Acheni shibe najua hela zenu hazikatwi Mana mnajiona kuwa mnatembea juu ya mabega yetu. Yaani hapo juu tumewabeba Kama una ubavu tokea hapo bado mnaleta dharau kwa watu waliowapa Raha mmeajiriwa na watanzania
 
Aisee...
Ndio maana wanataka mabasi yote yaende huko ili kuwakamua....
 
Pole mkuu!! Hata kama ingekuwa ni faini hicho kiasi ni kikubwa.
Yaani mpaka nimeshangaa nilikuwa Niko tayari hata kulala lock up ili nielekezwe vizuri izo Kodi sijui ushuru huo.
Sasa najua utakuwa Ni mradi wa mtu Kama mlivyopeana nafasi za biashara. Kuna jamaa alikuwa anasimamia choo za buzuruga baadaye Kuna likiongozi likaona wivu likamtoa Ile tenda na huku mikojo sio ya kwake ama ukoo wake Ni ya watanzania wote. Mniombee watanzania hii nchi nihame ,yaani waafrika Ni laana kiukweli.

Sssa
 
Tozo zimefutwa na bado mnalalamika?
Hata utukane Ila hayo Ni maumivu ya kuambiwa ukweli. Najua utakuwa umepewa hela. Si hata yuda alipokea. Wewe sema Mana najua kuna huo mpango Kama mgambo mvuta bangi akapewa kipisi kimoja
 
We uliponijibu umeona umejibu kwa staha? Mbwa we
Jibu achana na tusi. Hizo tozo zimefutwa wapi. Kuna dada zangu na kaka zangu Ni machinga wanatuma hela wanatumiwa mzigo.kutuma tozochemba kutoa tozomweghulu
?
 
Yaani sijawahi tamani kinuke Ila mpaka nanusa damu hapa. Mpaka naombea Hawa jamaa wapate ajali ama sniper atokee wa kulipwa achambue mmoja baada ya mmoja.

Aliwaambia
Dual la kuku halimpati mwewe
 
Pole,siku nyingine usiingie na mzigo ndani/stend, ongea na dereva atajua yeye apaki wapi hili upakie mzigo wako.
 
Back
Top Bottom