Serikali hizi tozo ni balaa. Nilichokiona Nyamhongolo stand ni wizi juu ya wizi

Serikali hizi tozo ni balaa. Nilichokiona Nyamhongolo stand ni wizi juu ya wizi

Yaani sijawahi tamani kinuke Ila mpaka nanusa damu hapa. Mpaka naombea Hawa jamaa wapate ajali ama sniper atokee wa kulipwa achambue mmoja baada ya mmoja.

Aliwaambia
Pesa unayo sniper niingie mzigoni
 
Yaani mpaka nimeshangaa nilikuwa Niko tayari hata kulala lock up ili nielekezwe vizuri izo Kodi sijui ushuru huo.
Sasa najua utakuwa Ni mradi wa mtu Kama mlivyopeana nafasi za biashara. Kuna jamaa alikuwa anasimamia choo za buzuruga baadaye Kuna likiongozi likaona wivu likamtoa Ile tenda na huku mikojo sio ya kwake ama ukoo wake Ni ya watanzania wote. Mniombee watanzania hii nchi nihame ,yaani waafrika Ni laana kiukweli.

Sssa
Km ni buzuruga namuunga mkono huyo aliemtoa huyo jamaa. Vyoo vilikuwa vichafu mno havitamaniki

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom