Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
- Thread starter
- #21
Your beliefs, Imani yako ndio dunia yakoDual la kuku halimpati mwewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your beliefs, Imani yako ndio dunia yakoDual la kuku halimpati mwewe
Umeona utakamua unakula jasho la masikini Bibi anapasua kuni anauza alituma hela kwa mwanae shule unaila unafurahiaDual la kuku halimpati mwewe
Jamaa Ni kweli sio bure ama amelambwa Kota akalainikaItakua umeshalewa ,Rudi kulala
Mwenzetu upo nji gani?mijitu ya nch hii inamaudhi daTozo zimefutwa na bado mnalalamika?
Pesa unayo sniper niingie mzigoniYaani sijawahi tamani kinuke Ila mpaka nanusa damu hapa. Mpaka naombea Hawa jamaa wapate ajali ama sniper atokee wa kulipwa achambue mmoja baada ya mmoja.
Aliwaambia
Km ni buzuruga namuunga mkono huyo aliemtoa huyo jamaa. Vyoo vilikuwa vichafu mno havitamanikiYaani mpaka nimeshangaa nilikuwa Niko tayari hata kulala lock up ili nielekezwe vizuri izo Kodi sijui ushuru huo.
Sasa najua utakuwa Ni mradi wa mtu Kama mlivyopeana nafasi za biashara. Kuna jamaa alikuwa anasimamia choo za buzuruga baadaye Kuna likiongozi likaona wivu likamtoa Ile tenda na huku mikojo sio ya kwake ama ukoo wake Ni ya watanzania wote. Mniombee watanzania hii nchi nihame ,yaani waafrika Ni laana kiukweli.
Sssa
Tozo zipi zimefutwa?Tozo zimefutwa na bado mnalalamika?