Serikali hizi tozo ni balaa. Nilichokiona Nyamhongolo stand ni wizi juu ya wizi

Yaani sijawahi tamani kinuke Ila mpaka nanusa damu hapa. Mpaka naombea Hawa jamaa wapate ajali ama sniper atokee wa kulipwa achambue mmoja baada ya mmoja.

Aliwaambia
Pesa unayo sniper niingie mzigoni
 
Km ni buzuruga namuunga mkono huyo aliemtoa huyo jamaa. Vyoo vilikuwa vichafu mno havitamaniki

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…