Serikali hutumia Tsh. Billion 558 kununua magari kwa mwaka

Serikali hutumia Tsh. Billion 558 kununua magari kwa mwaka

Imagine huduma ngapi za kijamii wangeweza kufanya.
Wana uwezo wa kusema kila mwajiriwa aje na gari lake, wape mshahara mzuri na allowance ya usafiri, itapunguza gharama
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC...
Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?

Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..

Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.
 
Mpaka iandikwe. Yakhe
Mbona hakuna jipya.
Mikataba mibovu tu.
wanunue kwa awamu;wote gari hilo hilo kwa miaka ya serikali madarakani.
Tena iwekwe kwenye Katiba.

mbuzi type!
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Ungependelea mkuu wa mkoa aendeshe Vits au speciou, kumbuka kwamba viongozi wa kisiasa wengi kutoka Africa wanatoka kwenye familia duni ki uchumi kupata cheo kwa ni kula na starehe sio kuhudumia wananchi
 

Attachments

  • 20220726_180627.jpg
    20220726_180627.jpg
    23.6 KB · Views: 5
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Bado Mwigulu ana tuletea tozo zake za Iramba. Wizi mtupu
 
Halafu wananchi tunaimizwa kuwa wazalendo tukitakiwa tulipe kodi na tozo ili wao wazitumbue,hawa watu ni makatili sana jana kuna mtu humu aliandika kuwa viongozi wastaafu wanajengewa nyumba kwa gharama ya tshs bilioni tano leo tena tunaambiwa mamia ya mabilioni yanatumika kila mwaka kununua magari ya hao mabwanyenye!
 
Uzalendo wa kitanzania ni kulipa Kodi na tozo, Likijengwa darasa au kisima kuchimbwa umsifie mwingine na pambio uimbe. Ukikutana na habari kama hizi ya Uzi huu au ripoti chafu ya CAG ukae kimya. Kama hutaki hamishia uzalendo wa aina unayoijua wewe Burundi hapa hatuutaki.
 
Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?

Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..

Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.
Kwa mfano V8 kwa DC kama wa Temeke la kuendea wapi ? Kwa mpalange , Yombo au Keko Mwanga ?
 
Imagine huduma ngapi za kijamii wangeweza kufanya.
Wana uwezo wa kusema kila mwajiriwa aje na gari lake, wape mshahara mzuri na allowance ya usafiri, itapunguza gharama
Ni kweli, ingekuwa kama kwa wafanyakazi wengine tu wanatumia usafiri binafsi, ila kwakuwa Tanzania tunapenda fahari zaidi ya uhalisia
 
Back
Top Bottom