Serikali hutumia Tsh. Billion 558 kununua magari kwa mwaka

Serikali hutumia Tsh. Billion 558 kununua magari kwa mwaka

Yanabamizwa na Gharama zinapanda zaidi za mabilioni yaliyotajwa. Mko sawa Wakuu.

Ukigonga-Bajaji kwa mwezi
Screenshot_20220805-210555_Samsung Internet.jpg
 
Ningekuwa rais magari haya ndio wangetembelea viongozi Hawa.

Rais,makamu na wazuri mkuu wasingetembelea VX VXR

hao watatu ningenunua Mercedes Benz sprinter au Mercedes Benz V Class. Bei cheap kuliko VXR ningezimodified zile bullet proof.

Wangejaza humo na walinzi wao inafanya ziwe chache barabarani.

Mawaziri wangetembea surf new model mtumba.

RCs wote wangembelea pia Surf new model mtumba.

DCs wote wangetembea pickup double cabin mpya hizi za tamisemi

Maded,ma mayor ,wenyeviti wote ni pickup double cabins hutaki unaacha ofisi

Ukitaka VXR nunua kwa pesa Yako.

Sema.gari zao watabadilishiwa Kila miaka 5 so wazitunze vizuri.
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
TATIZO KUBWA LA NCHI HII NI VIONGOZI KUKOSA MAARIFA
 
Kama ni kweli haijakaa vizuri japo uandishi wako umetumia lugha isiyokuwa nzuri kwa viongozi wetu.

Inaama kila mwaka yale magari yanayo nunuliwa Zero KMS yanakuwa yamechakaa?

Huwa yanauziwa kina nani baada ya mwaka mmoja kwa kuwa sijawahi kusikia mnada?

Nafikiri hilo mtu akiliotea atakuwa amenunua gari jipia kabisa
nadhani uandishi wake uko sawa kiongozi bora alikuwa mmoja tu nchi hii na ameacha Alama kuanzia stesheni hadi Pugu utaona zile nguzo za kupitisha garimoshi la umeme juu kwa juu!wengine viti maalum tu!!

Siku moja nilimsikia PM akilalamikia madalali wa kuleta hayo magari wanakamua madolari mabilioni akahoji tu badala ya serikali kwenda wenyewe kiwandani kufanya order!!

nchi ya Watu wajinga pia hupata viongozi wajinga na duni! Garbage in Garbage out!!

Yaani cha kujiuliza hizo pesa za magari zingejenga barabara ngapi za lami? zahanati ngapi? Bwana Miguu angetuwekea nyasi bandia viwanja vingapi? nadhani zaidi ya vitano alivyoahidi hadi leo bado ligi imeshatimua vumbi! ametuboa sana!!!
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Waongeze tozo zaidi ili viongozi wanunuliwe Roalroyce au bughati
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao

Na Sasa hivi wanaruhusiwa kuyanunua pole pole.
 
Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?

Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..

Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.

Mpaka tufike 2025 kitakuwa na tozo ya nauli ya mabasi. Kila unapokata tiketi unalipia tozo. Tozo hazisaidii kwa mfumo wa nchi yetu, zitaliwa na kutapanywa.
 
Huu u ngese wa kiwango cha lami tunajenga nchi. Wananchi inabidi tufanye msako hizi dudes matumizi yao hasa kwenye bunge na executive .mahakama ni kama wanafanana fanana na sisi kwa mbali ila hawa wawili ni shiiida
 
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .

Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia

Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Shangingi la mshika kibubu ni Tsh 500,000,000 tasilimu
 
Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?

Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..

Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.
You're simply a wasted sperm. Mzee wako akiangalia hiki ulichoandika hapa, nadhani atajutia sana kutokutumia condom!

Jitu lenyewe linaandika "harafu", alafu linajitoa fahamu kuwatetea akina mwigulu ambao watoto wao wanajua kuandika kulizidi.

Watu wanalalamika ili kuliokoa taifa, wewe unakuja kusifia bwana zako ili unufaishe tumbo lako, shame on you!

Now I'm convinced, abortion can save humanity from some problems caused by idiots like this mofo!
 
You're simply a wasted sperm. Mzee wako akiangalia hiki ulichoandika hapa, nadhani atajutia sana kutokutumia condom!

Jitu lenyewe linaandika "harafu", alafu linajitoa fahamu kuwatetea akina mwigulu ambao watoto wao wanajua kuandika kulizidi.

Watu wanalalamika ili kuliokoa taifa, wewe unakuja kusifia bwana zako ili unufaishe tumbo lako, shame on you!

Now I'm convinced, abortion can save humanity from some problems caused by idiots like this mofo!
Sperm ya mbwa huna ulijualo Kuhusu Uchumi.
 
Back
Top Bottom