Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
MaDC MaDED wa kwenye miji wangepewa magari ya kawaidaKwa mfano V8 kwa DC kama wa Temeke la kuendea wapi ? Kwa mpalange , Yombo au Keko Mwanga ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaDC MaDED wa kwenye miji wangepewa magari ya kawaidaKwa mfano V8 kwa DC kama wa Temeke la kuendea wapi ? Kwa mpalange , Yombo au Keko Mwanga ?
Yanabamizwa na Gharama zinapanda zaidi za mabilioni yaliyotajwa. Mko sawa Wakuu.
Ukigonga-Bajaji kwa mwezi
SwadaktaMaDC MaDED wa kwenye miji wangepewa magari ya kawaida
TATIZO KUBWA LA NCHI HII NI VIONGOZI KUKOSA MAARIFATaarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .
Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia
Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
nadhani uandishi wake uko sawa kiongozi bora alikuwa mmoja tu nchi hii na ameacha Alama kuanzia stesheni hadi Pugu utaona zile nguzo za kupitisha garimoshi la umeme juu kwa juu!wengine viti maalum tu!!Kama ni kweli haijakaa vizuri japo uandishi wako umetumia lugha isiyokuwa nzuri kwa viongozi wetu.
Inaama kila mwaka yale magari yanayo nunuliwa Zero KMS yanakuwa yamechakaa?
Huwa yanauziwa kina nani baada ya mwaka mmoja kwa kuwa sijawahi kusikia mnada?
Nafikiri hilo mtu akiliotea atakuwa amenunua gari jipia kabisa
Waongeze tozo zaidi ili viongozi wanunuliwe Roalroyce au bughatiTaarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .
Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia
Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Taarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .
Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia
Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?
Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..
Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.
Shangingi la mshika kibubu ni Tsh 500,000,000 tasilimuTaarifa hii ya kusikitisha imeandikwa na gazeti la THE CITIZEN .
Ikumbukwe kwamba nchi ya Tanzania hununua magari ya kifahari hata kwa viongozi duni wenye vyeo vya chini kama MA RC , MA DC na MA DED , hela hizo ni kwa kila mwaka , na yaweza kuongezeka kutokana na hali ya uchumi wa kidunia
Taarifa iliyotolewa haikuweka wazi kiasi cha hela zinazotumika kwenye manunuzi ya mafuta ya mashangingi ya viongozi hao
You're simply a wasted sperm. Mzee wako akiangalia hiki ulichoandika hapa, nadhani atajutia sana kutokutumia condom!Gazeti liko wapi? Ulitaka viongozi watembelee kirikuu?
Harafu sio magari ya viongozi tuu bali magari ya Taasisi zote za umma..
Hata kama serikali itaondoa hiyo cost haina maana kwamba tozo zitaondoka kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko kawaida.
Sperm ya mbwa huna ulijualo Kuhusu Uchumi.You're simply a wasted sperm. Mzee wako akiangalia hiki ulichoandika hapa, nadhani atajutia sana kutokutumia condom!
Jitu lenyewe linaandika "harafu", alafu linajitoa fahamu kuwatetea akina mwigulu ambao watoto wao wanajua kuandika kulizidi.
Watu wanalalamika ili kuliokoa taifa, wewe unakuja kusifia bwana zako ili unufaishe tumbo lako, shame on you!
Now I'm convinced, abortion can save humanity from some problems caused by idiots like this mofo!
Ipo unapoingia standMpaka tufike 2025 kitakuwa na tozo ya nauli ya mabasi. Kila unapokata tiketi unalipia tozo. Tozo hazisaidii kwa mfumo wa nchi yetu, zitaliwa na kutapanywa.