Serikali: Huu ndio ushauri wa mwisho kwa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF)

Ilikuwa ni jukumu la serikali kumtibu mtumishi wa uma, ila ufisadi wa Mkapa akafuta akaanzisha haya mavi yanaitwa NHIF!
Mkapa alaumiwe sana kutuletea huu upumbavu unaolitesa taifa hadi Yesu atakaporudi. Nchi ya kikwuma sana hii.
 
Adante sana mkuu . Lakini hii bima ya afya ya NHIF hata ushauri namna gani hakuna namna itakuja kufufuka.
 
Naomba kutangaza masilahi (declare interest) kwamba mimi ni mnufaika wa mfuko huu kupitia wazazi wangu ambao ni watumishi wa umma.
Moja ya tatizo la mfuko ni hili mkuu 'tpaul'; wewe mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 ni mtu mzima; na bado unawategemea wazazi katika swala hilo? Hii ni sehemu moja tu ya maeneo mengi yanayoikwamisha NHIF.
 
Duh.
Hata hizi ni dawa za 'prescription'? Mbona kwingineko ni OTC! (Over-the-counter).
 
Mkuu, uko misguided
1. AAR ilishakufa
2. NHIF wako too generous, vitita vya moba nyingine ni ghali zaidi na endapo nhif angekua anakusanya kwa wateja pesa sawa na private insurance… angekua the best in sub Saharan africa

Tatizo hamfanyi fair analysis
 
Tatizo lilianzia wapi mluu? Wewe unaona NHIF wako fair kwa hivi vitita vyao vya kibaguzi? You cannot be serious mkuu
 
Tatizo lilianzia wapi mluu? Wewe unaona NHIF wako fair kwa hivi vitita vyao vya kibaguzi? You cannot be serious mkuu
Ni bima Gabi ina Toto afya card?

Kwa pesa za kitita cha nhif unaweza kupata similar services kwa hizo bima binafsi?

Be serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…