Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Siku hizi imegeuka tabia. Mimi nasema ni tabia isiyo na afya ya serikali kutoa taarifa kwa umma usiku wa manane. Hili ni jambo la kushangaza sana, najiuliza ni kitu gani kimeisibu serikali Kubehave kama genge la wachawi!.
Sisi tunajua kuwa mida hiyo wananchi wengi wanakuwa wamelala na hata bendera ya nchi inakuwa imeshushwa, Sasa hii ya kutangazia giza maana yake nini?.
Unapotoa taarifa kwa umma wakati watu wamelala unakuwa unataka kitu gani haswa?
Haya mambo ya kufanya kazi gizani ni dalili ya kutojiamini. Baba wa Taifa alikuwa hateui watu usiku na wala alikuwa hatangazi vifo vya viongozi wakubwa Usiku.
Sasa hii ya kufanya kazi gizani kulikoni?
Sisi tunajua kuwa mida hiyo wananchi wengi wanakuwa wamelala na hata bendera ya nchi inakuwa imeshushwa, Sasa hii ya kutangazia giza maana yake nini?.
Unapotoa taarifa kwa umma wakati watu wamelala unakuwa unataka kitu gani haswa?
Haya mambo ya kufanya kazi gizani ni dalili ya kutojiamini. Baba wa Taifa alikuwa hateui watu usiku na wala alikuwa hatangazi vifo vya viongozi wakubwa Usiku.
Sasa hii ya kufanya kazi gizani kulikoni?