Serikali iache kutoa taarifa kwa umma usiku wa manane

Serikali iache kutoa taarifa kwa umma usiku wa manane

Serikali ni mfumo nazungumzia watu ambao ndio watendaji wa serikali. Ni wapi naitukana serekali? Maana siku ukitoa maoni yasiyoifurahisha serekali, nyie wapambe tafsiri yenu ni matusi.

Kwa taarifa yako kuandika sio sifa ya amani, bali ni nafasi ya kufanya hivyo. Mimi sijawahi kujivunia uoga ambao kwako unaita amani, mimi ni muumini wa haki fullstop.
Wewe endelea kukuficha kwa ID yako huku ukifurahia matunda ya kazi njema ya mh Rais wetu kulinda amani na nchi kuwa na utulivu muda wote, Nani Kama mama? Kiukweli Hakuna, upinzani mtapata Taabu Sana
 
Wewe endelea kukuficha kwa ID yako huku ukifurahia matunda ya kazi njema ya mh Rais wetu kulinda amani na nchi kuwa na utulivu muda wote, Nani Kama mama? Kiukweli Hakuna, upinzani mtapata Taabu Sana
Sielewi hata unaoongea utoto gani dogo.
 
Baba wa Taifa alikuwa hateui watu usiku na wala alikuwa hatangazi vifo vya viongozi wakubwa Usiku.
Wakati huo unaouzungumzia hakukuwa wa social media, wala TV kwa huku Bara.
RTD (Redio Tanzania- Dar es Salaam) ilikuwa inafunga matangazo yake saa 5.15 usiku kwa Idhaa ya Biashara na saa 6.00 usiku wa Idhaa ya Taifa.
Hayo matangazo ya usiku wa manane yangetangazwa kwa njia gani? labda kwa bomba au mbiu ya mgambo.
 
Back
Top Bottom