Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Wewe endelea kukuficha kwa ID yako huku ukifurahia matunda ya kazi njema ya mh Rais wetu kulinda amani na nchi kuwa na utulivu muda wote, Nani Kama mama? Kiukweli Hakuna, upinzani mtapata Taabu SanaSerikali ni mfumo nazungumzia watu ambao ndio watendaji wa serikali. Ni wapi naitukana serekali? Maana siku ukitoa maoni yasiyoifurahisha serekali, nyie wapambe tafsiri yenu ni matusi.
Kwa taarifa yako kuandika sio sifa ya amani, bali ni nafasi ya kufanya hivyo. Mimi sijawahi kujivunia uoga ambao kwako unaita amani, mimi ni muumini wa haki fullstop.
Sielewi hata unaoongea utoto gani dogo.Wewe endelea kukuficha kwa ID yako huku ukifurahia matunda ya kazi njema ya mh Rais wetu kulinda amani na nchi kuwa na utulivu muda wote, Nani Kama mama? Kiukweli Hakuna, upinzani mtapata Taabu Sana
Mbona wameshamsingizia hilo nalo!wanasema eti yeye ndiye aliyeingeneer mambo ya tozo.Wamsingizie na tozo basi tuelewe moja
Toa ushahidi tafadhaliHii tabia ilianza tangu enzi za Magu kama sikosei.
Wakati huo unaouzungumzia hakukuwa wa social media, wala TV kwa huku Bara.Baba wa Taifa alikuwa hateui watu usiku na wala alikuwa hatangazi vifo vya viongozi wakubwa Usiku.
Unaambiwa serikali hailali
Ova