Serikali iangalie matumizi ya IST, Subaru,Altezza, Vitz na usafiri unaofana na hivyo vitu. Kuna Majanga mengi

Serikali iangalie matumizi ya IST, Subaru,Altezza, Vitz na usafiri unaofana na hivyo vitu. Kuna Majanga mengi

Huyu mwandishi sio kiduku lilo kwa kuangalia tu ufasaha wake wa Lugha. Kiduku Lilo katika hadithi zake za geresha, alionyesha ufasaha wa lugha katika kuwasilisha hadithi zake kwa hadhira.
hili pia nimeona.. huu sio uandishi wake.. jamaa yeye yuko smart sana kwenye uandishi..
 
Huyu mwandishi sio kiduku lilo kwa kuangalia tu ufasaha wake wa Lugha. Kiduku Lilo katika hadithi zake za geresha, alionyesha ufasaha wa lugha katika kuwasilisha hadithi zake kwa hadhira.
Ndo yeye alichange Id na alishasemaga kuhusu hilo
 
Ebana boss mkubwa kiduku lilo ilikuaje umebadili id
nlishtuka kusikia kuna maskini mmoja mwanamasumbwi anaitwa Waha Kiduku... wazungu wakadhani tuna undugu naye na kuanza kunishangaa kwa nini nimemwacha ndugu yangu anateseka. nikawaambia hapana sisi kwetu hatuna mtu mwenye mateso.. baadaye nikaona tu niongee na wanasheria wangu ndo wakaruhusu jina a Billionaire Lugano au Bill Lugano
 
nlishtuka kusikia kuna maskini mmoja mwanamasumbwi anaitwa Waha Kiduku... wazungu wakadhani tuna undugu naye na kuanza kunishangaa kwa nini nimemwacha ndugu yangu anateseka. nikawaambia hapana sisi kwetu hatuna mtu mwenye mateso.. baadaye nikaona tu niongee na wanasheria wangu ndo wakaruhusu jina a Billionaire Lugano au Bill Lugano
[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119][emoji1787]
 
tulikuwa na vikao sisi wadau mbalimbali kuangalia namna ya kuwasaidia maskini kuhusiana na suala la chanjo za covid n.k but nilikuwa napata salamu zenu kutoka kwa Rais na Viongozi wenu wengine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
tulikuwa na vikao sisi wadau mbalimbali kuangalia namna ya kuwasaidia maskini kuhusiana na suala la chanjo za covid n.k but nilikuwa napata salamu zenu kutoka kwa Rais na Viongozi wenu wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nlishtuka kusikia kuna maskini mmoja mwanamasumbwi anaitwa Waha Kiduku... wazungu wakadhani tuna undugu naye na kuanza kunishangaa kwa nini nimemwacha ndugu yangu anateseka. nikawaambia hapana sisi kwetu hatuna mtu mwenye mateso.. baadaye nikaona tu niongee na wanasheria wangu ndo wakaruhusu jina a Billionaire Lugano au Bill Lugano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom