Serikali iangalie matumizi ya IST, Subaru,Altezza, Vitz na usafiri unaofana na hivyo vitu. Kuna Majanga mengi

Serikali iangalie matumizi ya IST, Subaru,Altezza, Vitz na usafiri unaofana na hivyo vitu. Kuna Majanga mengi

mbona jamaa alikuwa na hela nyingi kwa wallet 280K kabisa
 
Mmh napata mashaka huyu sio kidukulilo tuliyemzoea, kidukulilo hanaga style hii ya ku reply comment hivi... Yet akisha post anazima data anatuachia uwanja tuserebuke
Sasa ivi ni kipindi cha sikukuu wenda atakua likizo na muda wa kutosha.
 
nlishtuka kusikia kuna maskini mmoja mwanamasumbwi anaitwa Waha Kiduku... wazungu wakadhani tuna undugu naye na kuanza kunishangaa kwa nini nimemwacha ndugu yangu anateseka. nikawaambia hapana sisi kwetu hatuna mtu mwenye mateso.. baadaye nikaona tu niongee na wanasheria wangu ndo wakaruhusu jina a Billionaire Lugano au Bill Lugano
Kidukulilo the boss, karibu Sana uwanjani.
 
nlishtuka kusikia kuna maskini mmoja mwanamasumbwi anaitwa Waha Kiduku... wazungu wakadhani tuna undugu naye na kuanza kunishangaa kwa nini nimemwacha ndugu yangu anateseka. nikawaambia hapana sisi kwetu hatuna mtu mwenye mateso.. baadaye nikaona tu niongee na wanasheria wangu ndo wakaruhusu jina a Billionaire Lugano au Bill Lugano
Ila likizo hii umechelewa sana kuingia JF...

Itakuwa mlitakiwa mfanye zamu kabisa ndo mruhusiwe kurudi makwenu!!! [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom