Serikali iangalie namna ya kuwasaidia vijana moja kwa moja. Athari za baadaye ni kubwa zaidi

Acha kuongea pumba
 
Hao kula kulala sahau kuhusu mabadiliko, kwani ujui methali ya mwenye shibe
 
Ccm inataka watu maskini, ni rahisi kuwatawala,ndio maana wanaona Bora wengi waishie kuwa bodaboda.
Kuna njia mbili za kutawala watu,ya kwanza,kuwatisha(frighten them)kwa njia za vyombo vya ulinzi na usalama.
Nyingine ni kuwakatisha tamaa(demoralize).
Mtu mwenye aliyeelomika(educated)mwenye afya(healthy),na anayejiamini(confident)sio rahisi kumtawala.
Ccm inataka watu machawa!!!wakati watoto wao ni masimba,wanaendesha mandege,wapo kwenye ajira UN,nje ya nchi,mburukenge wanahimizwa wawe bodaboda na maskini ya Mungu,wanaona ni Sawa,ndio haki yao,waliumbwa kuja kuwa wretched of the earth.
 
Vijana tupunguze Uzinzi, Tamaa, Pombe
 
Mda mwingine ayo yote ni matokeo ya mtu kukata tamaa baada ya kusahaurika
Kukataa tamaa na kasahaulika ni stage moja mbaya sana, ndo huelekea vijana kufanya hayo maovu yote
 
Viongozi wengi wa Africa hawajali kuhusu wananchi wao bali wanajiangalia wao na familia zao, hakuna sera nzuri za kuangalia uwiano kati ya Mwananchi na kiongozi, ndo maana nchi nyingi za kiafrica ni maskini kutokana na sera mbovu za nchi
 
Unajua kijana asiye na ajira yuko tayari kufanya lolote katika maisha yake apate chochote kitu ili ku survive, kijana wa namna hii hana tofauti na wale wanajitoa muhanda kwa ukosefu wa imani dhabiti ndani yao..
 
Wabadili mfumo wa elimu kijana akimaliza form four aende Veta kujifunza stadi za maisha kama uselemala, welding, Ujenzi, na mafani mengine miaka mitatu then aende chuo kwenye ma theory inayotuzalishia wasomi ma bishoo mtaani
 
Unajua kijana asiye na ajira yuko tayari kufanya lolote katika maisha yake apate chochote kitu ili ku survive, kijana wa namna hii hana tofauti na wale wanajitoa muhanda kwa ukosefu wa imani dhabiti ndani yao..
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…