Serikali iangalie uwezekano wa kutoa mikopo kupitia halmashauri kwa mtu hata mmoja mmoja badala ya kulazimishwa kuwa katika kikundi

Sasa mkuu wakitoka wote tutajikuta kila baada ya muda huo tunaanza upya kwa kila kitu,na kila kitu kilichokuwa kimeanza na kuanzisha linaweza kisiendelezwe na wapya.

Nachoona Ni lazima kila awamu owe na Sera endelevu katika utengenezaji wa fursa za ajira kwa vijana,ikiwa Ni pamoja na kushirikiana na secta binafsi ili ikue vizuri na kuzalisha ajira za kutosha kwa kuiweka mazingira mazuri ya kisera na kisheria, kusudi wawekezaji wengi wawekeze mitaji yao hapa nchini.

Sanjari na Hilo vijana wasaidiwe na serikali pale wanapoanza biashara zao kwa kuwalea na kuwakuza,ikiwezekana Kodi na mapato waanze kulipa baada ya mwaka mmoja kupita kusudi waweze kusimama imara kibiashara na kuingia katika soko la ushindani
 

viongozi wetu wanaamini ajira kwa vijana ni mambo ufundi, vikundi vya saccos, mjikusanye mfuge bata 10 yan mambo kama hayo

hakuna kiongozi anawaza kukupa ww shamba la hekari 50, na matrecta, mbegu na mbolea ili ulime uje kuwa mfanyabiasha mkubwa au mkulima mkubwa

wao wanataka mambo kama hayo muende kwa mkurugenzi mkalielie pale mpate milion 2 kwa watu kumi, wakati kwao hiyo ni posho ya kikao tu
 
Wazo lako ni zuri sana! Maana unawapatia watu milioni kumi hawana misingi ya biashara, hawajui biashara,wananjaa lazima kwenye makusanyo mtafutane kwa tochi!
Ni vema watafute vijana wajasiliamali walio simama vizuri ndio wawape ili kuongezeea mitaji ili kukuza biashara zao! Kuliko kupambana na mtu anayetapataba hata changamoto za biashara hazijui!
 
Ndio maana wengi wanaishia kupoteza mtaji wote waliopewa Kama mkopo na halmashauri,maana wanakuwa hawana uzoefu wa Biashara Wala kujuwa changamoto za biashara,wanapokuja kupata Elimu na uzoefu inakuwa haina msaada maana wanakuwa wameshapoteza kila kitu Hadi matumaini
 
Ndio maana napenda wapewe vijana kwa mmoja mmoja ambao tayari wamesimama na kuwa na msingi wa kibiashara na wanakuwa wanahitaji kukuza mitaji yao na kupanua biashara zao au miradi yao
 
Ndio maana napenda wapewe vijana kwa mmoja mmoja ambao tayari wamesimama na kuwa na msingi wa kibiashara na wanakuwa wanahitaji kukuza mitaji yao na kupanua biashara zao au miradi yao
Kweli kiongozi japo wewe japo ni chawa ila kwa thread hii nakupa 100%
 
Baada ya kukopesha wazalishaji ambao wata create ajira ila tunakopesha washuuzi na tunakopesha vikundi ambavyo hata elimu ya biashara hawana.
 
Ndio maana napenda wapewe vijana kwa mmoja mmoja ambao tayari wamesimama na kuwa na msingi wa kibiashara na wanakuwa wanahitaji kukuza mitaji yao na kupanua biashara zao au miradi yao

Hilo serikali hawawez kufanya, hapo ni Sawa na kumwambia mkurugenzi asitembee na V8

Wao wanataka kutoa milion 2 Kwa watu kumi, mkaanzishe mtaji wa kufuga bata na kuku
 
Na katika hayo makundi alikuambia kama kuna uorodheshwaji wa mali unazomiliki zisimame kama dhamana?
 
Hilo serikali hawawez kufanya, hapo ni Sawa na kumwambia mkurugenzi asitembee na V8

Wao wanataka kutoa milion 2 Kwa watu kumi, mkaanzishe mtaji wa kufuga bata na kuku
Nina Imani na serikali yangu na naamini Jambo Hili litafanyiwa kazi ili kutoa fursa kwa vijana wengi kunufaika na mpango huu nilioupendekeza
 
Nina Imani na serikali yangu na naamini Jambo Hili litafanyiwa kazi ili kutoa fursa kwa vijana wengi kunufaika na mpango huu nilioupendekeza

Imani yako ni kubwa Sana,

Waache kujilipa ela za posho wampe kijana?

Never in earth, sio tanzania hii labda tanzania ya awamu ya 500
 
Imani yako ni kubwa Sana,

Waache kujilipa ela za posho wampe kijana?

Never in earth, sio tanzania hii labda tanzania ya awamu ya 500
Rais wetu mpendwa mama samia Ni msikivu Sana na mwenye upendo na watanzania,Atasikiliza ombi hili na serikali itarekebisha kanuni
 
N
Ha ha ha ha me Niko hapa always, wazo lako ni zuri Sana na lingesaidia Sana vijana
NAshukuru Sana lakini katika ahadi yako ingekuwa Bora ungetanguliza advansi maana Nina imani kubwa Sana na serikali ya mh Rais mama Samia kufanyia kazi suala hili
 
N

NAshukuru Sana lakini katika ahadi yako ingekuwa Bora ungetanguliza advansi maana Nina imani kubwa Sana na serikali ya mh Rais mama Samia kufanyia kazi suala hili

Ah wapi, wao wanataka mpange folen ya kwa mkurugenzi kusubiria milion 2 Kwa watu 15
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…