Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hatari Sana ....Kuna watu huko Kigoma wamerundikana tangu asubuhi
What is this...ibada ikizidi nusu saa au saa moja ina shida gani?...Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
Hata mwehu anauona ujinga huu
Huu ni mkusanyiko wa lazima!!!Na huko Kigoma mechi ya simba na yanga ichezwe kwa dakika ngapi?
Hatuna serikali tuna wazugaji madarakaniKuna watu huko Kigoma wamerundikana tangu asubuhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]approach ya kumtanguliza mungu ilitufanya tuidhibiti kirahisi covid kwa mwaka na nusu, tangu tuitangulize science sasa corona inatudhibiti kisawa sawa, yanayoendelea sasa naamini mungu anatuonesha ukuu wake.
Hatukuwahi kuidhibiti Corona .approach ya kumtanguliza mungu ilitufanya tuidhibiti kirahisi covid kwa mwaka na nusu, tangu tuitangulize science sasa corona inatudhibiti kisawa sawa, yanayoendelea sasa naamini mungu anatuonesha ukuu wake.
Mwachieni MBOWE, kwani kawafanyia ugaidi gani?Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
Wakati wa JPM haya maneno ulikuwa huyakumbuku ili uwaeleze watanzania.Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
Mkuu nakulipa na hii, ukipata nyingine nijibu🤣
Hizi mada nyingine ni za kututoa kwenye reli, muachieni MBOWEDogo jikite kwenye mada kuu.
Tutumie pichaHivi yale matenti ya wagonjwa wa UVIkO yaliyojengwa kila mkoa,yameishia wapi?