Serikali iboreshe sheria ya Ndoa za Kikristu ili ziruhusu talaka kuepusha mauaji na fumanizi

Serikali iboreshe sheria ya Ndoa za Kikristu ili ziruhusu talaka kuepusha mauaji na fumanizi

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!

ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!

Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!

Swali: Kwanini za Kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu: Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!

Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka

Mfano
Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)

Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.

Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!

Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!

Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana! (FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)

Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)

wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!

Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!

Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa.

Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa Wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria.
 
Mkuu sijajua umetoa wapi hii habari kuwa wakristo hawana talaka.

Talaka inatolewa mahakamani endapo utathibitisha kuwa ndoa imevunjika na haiwezi kurekebishika pia sababu nyingine ya kupewa talaka ni ukatili iwe ni matusi au kipigo.

Mshauri huyo mhanga wa ukatili katika ndoa yake kama anataka talaka aende kufanya petition mahakamani kama hafahamu taratibu atafute wakili naye atamsaidia.

Kitu kinachofanya talaka kuonekana ngumu inatokana na watu kutofahamu utaratibu wa kudai talaka, eti mtu anaenda kudai talaka huko serikali ya mtaa au polisi unategemea nini? Kama hufahamu taratibu mtafute wakili akusaidie.
 
Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!

ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!

Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!

Swali; kwanini za kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu; Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!

Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka

Mfano;

Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)

Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.
Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!

Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!

Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana!(FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)

Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)

wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!

Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!

Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa,

Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria.
Serikali haina dini.. Sasa itaingiliaje mambo ya kidini. Au ndugu hutambui ulicho andika? Na ndio maana sheria ya ndoa inatambua ndoa za aina tatu, 1. Ndoa ya kimila 2. Ndoa ya kidini(kiislam na kikristo) 3. Ndoa ya kiserikali. Katika hizo utafunga ambayo kwako unaona ni sawa na sahihi.

Au unavizia mke/Mme wa MTU ndugu? Maana inaonyesha wamefunga ndoa kikristo afu wewe inakuuma... We endelea kuwa mpanga wa kando tu! 😋😋😎
 
Mkuu sijajua umetoa wapi hii habari kuwa wakristo hawana talaka.

Talaka inatolewa mahakamani endapo utathibitisha kuwa ndoa imevunjika na haiwezi kurekebishika pia sababu nyingine ya kupewa talaka ni ukatili iwe ni matusi au kipigo.

Mshauri huyo mhanga wa ukatili katika ndoa yake kama anataka talaka aende kufanya petition mahakamani kama hafahamu taratibu atafute wakili naye atamsaidia.

Kitu kinachofanya talaka kuonekana ngumu inatokana na watu kutofahamu utaratibu wa kudai talaka, eti mtu anaenda kudai talaka huko serikali ya mtaa au polisi unategemea nini? Kama hufahamu taratibu mtafute wakili akusaidie.
Unaweza kufafanua zaidi hatua ili wengi waelewe?
 
Kuomba talaka kwenye ndoa za Kikristo mbona ni simple, uwe na ushahidi.

Halafu talaka ya kikristo unapata nguvu zaidi juu ya uasherati.

Ikiwa na ushahidi ukianzia kwa viongozi wa dini mlipofungia ndoa. Wakiridhia wakiona hii ngoma ipo at the point of no return wanakupa taa ya kijani nenda mahakamani. Issue labda utoaji wa talaka mahakamani unachukua mda mrefu.

Au unataka iwe kama wale wenzetu unalala ukiamaka asubuhi ghafla unakuta talaka mezani?
 
Serikali haina dini. Sasa itaingiliaje mambo ya kidini. Au ndugu hutambui ulicho andika? Na ndio maana sheria ya ndoa inatambua ndoa za aina tatu, 1. Ndoa ya kimila 2. Ndoa ya kidini(kiislam na kikristo) 3. Ndoa ya kiserikali... Katika hizo utafunga ambayo kwako unaona ni sawa na sahihi.

Au unavizia mke/Mme wa MTU ndugu? Maana inaonyesha wamefunga ndoa kikristo afu wewe inakuuma. We endelea kuwa mpanga wa kando tu! 😋😋😎
Hujaelewa nn mbona nimeandika vizuri na kuweka mfano ili mada ieleweke! Unaposema serikali haiwezi kuingilia mambo ya ndoa!

Kwanini inatoa cheti cha ndoa? Si ingekaa kando ikafungisha za wapagani tu na ikawa cheti wasio wapangani
 
Kuomba talaka kwenye ndoa za Kikristo mbona ni simple, uwe na ushahidi.

Halafu talaka ya kikristo unapata nguvu zaidi juu ya uasherati.

Ikiwa na ushahidi ukianzia kwa viongozi wa dini mlipofungia ndoa. Wakiridhia wakiona hii ngoma ipo at the point of no return wanakupa taa ya kijani nenda mahakamani. Issue labda utoaji wa talaka mahakamani unachukua mda mrefu.

Au unataka iwe kama wale wenzetu unalala ukiamaka asubuhi ghafla unakuta talaka mezani?
Sasa huo mda mrefu huoni inachangia mauaji
 
Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!

ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!

Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!

Swali; kwanini za kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu; Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!

Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka

Mfano;

Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)

Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.
Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!

Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!

Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana!(FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)

Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)

wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!

Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!

Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa,

Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria.
Rudi darasani ujifunze sheria za nchi kuhusu imani. Kanisa lina uwezo wa kutatua matatizo ya ndoa, ikibidi hutenganishwa na kutoa nafasi ya kurudiana hali ikiwa shwari.
 
Hujaelewa nn mbona nimeandika vizuri na kuweka mfano ili mada ieleweke! Unaposema serikali haiwezi kuingilia mambo ya ndoa! Kwanini inatoa cheti cha ndoa? Si ingekaa kando ikafungisha za wapagani tu na ikawa cheti wasio wapangan
Serikali kwa taarifa yako haitoi cheti Cha ndoa ya Kikristo inatoa cheti tu Cha ndoa kiongozi anayefungisha ndie anaandika kuwa Ni ya Kikristo au kiserikali au kimila .Hakuna cheti Cha ndoa ya kidini ambacho serikali hutoa
 
Serikali kwa taarifa yako haitoi cheti Cha ndoa ya Kikristo inatoa cheti tu Cha ndoa kiongozi anayefungisha ndie anaandika kuwa Ni ya Kikristo au kiserikali au kimila .Hakuna cheti Cha ndoa ya kidini ambacho serikali hutoa
Kwahiyo hapo inasomekaje cheti kinatolewa kiongozi au kiongozi wa dini?
 
Hahah kwahiyo hayo mauaji ni sehemu ya maagizo hadi kifo kiwatenganishe!
Duh ujinga wa iman ni mwingi sana umepenya had kwenye sheria
Mtu Kama uliolewa mwenyewe kwa hiari yako na muuaji ulitarajia Nini?

Kuoa na kuolewa mtu anatakiwa ashirikishe Mungu

Sasa Kama ulikurupuka tu ukalipata uaji .Hilo chaguo lako unavuna ulichopanda
 
Mtu Kama uliolewa mwenyewe.kwa hiari yako na muuaji ulitarajia Nini?

Kuoa na kuolewa mtu anatakiwa ashirikishe Mungu

Sasa Kama ulikurupuka tu ukalipata uaji .Hilo chaguo lako unavuna ulichopanda
Ndiyo maana ya serikali inatakiwa ikae katikati! Kuna watu huolewa wakiwa wadogo, Kuna watu hufichwa siri hadi waingia kwenye ndoa!
Hivyo siyo busara kusema waache waangamie
 
Serikali kwa taarifa yako haitoi cheti Cha ndoa ya Kikristo inatoa cheti tu Cha ndoa kiongozi anayefungisha ndie anaandika kuwa Ni ya Kikristo au kiserikali au kimila .Hakuna cheti Cha ndoa ya kidini ambacho serikali hutoa
Unasema? Kwani kile cheti huwa ni cha dini fulani au huwa ni vya serikali? Dini hazina vyeti bali wao wamekasimishwa madaraka ya kutoa hivyo vyeti kwa niaba ya serikali! Vikiisha huwa wanaenda kuchukua serikalini!
 
Back
Top Bottom