Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndoa ya kikristo haina talaka.hilo lipo wazi.Mkuu sijajua umetoa wapi hii habari kuwa wakristo hawana talaka.
Talaka inatolewa mahakamani endapo utathibitisha kuwa NDOA IMEVUNJIKA NA HAIWEZI KUREKEBISHIKA pia sababu nyingine ya kupewa talaka ni UKATILI iwe ni matusi au kipigo.
Mshauri huyo mhanga wa ukatili katika ndoa yake kama anataka talaka aende kufanya petition mahakamani kama hafahamu taratibu atafute wakili naye atamsaidia.
Kitu kinachofanya talaka kuonekana ngumu inatokana na watu kutofahamu utaratibu wa kudai talaka, eti mtu anaenda kudai talaka huko serikali ya mtaa au polisi unategemea nini? Kama hufahamu taratibu mtafute wakili akusaidie.
Mkuu ndoa ya kikristo haina talaka.hilo lipo wazi.
Kama mmeoana kanisani kwa baraka za paroko.
Serikalini unafata nn?
Kule ni mudai madai ya kugawana mali na mengine..
Cheti Cha ndoa kinatolewa na serikali. Yule kiongozi wa dini anayekukabidhi anakuwa ni wakala tu. Na ukitaka kutafuta talaka unakwenda mahakamani, ukifuata taratibu zote mahakama itatoa talaka (itawatenganisha kwa amani kisheria, Kila mmoja awe huru) bila kujali ni ndoa ya kikristo,au dini nyingine.Kiongozi wa dini ndio anatoa .Ndio maana ufumbuzi wa hiyo ndoa kukiweko mgogoro huanzia kwenye dini Kwanza sio serikalini
KabisaCheti Cha ndoa kinatolewa na serikali. Yule kiongozi wa dini anayekukabidhi anakuwa ni wakala tu. Na ukitaka kutafuta talaka unakwenda mahakamani, ukifuata taratibu zote mahakama itatoa talaka (itawatenganisha kwa amani kisheria, Kila mmoja awe huru) bila kujali ni ndoa ya kikristo,au dini nyingine.
Ni kweli, vyeti ni vya serikali.Unasema? Kwani kile cheti huwa ni cha dini fulani au huwa ni vya serikali? Dini hazina vyeti bali wao wamekasimishwa madaraka ya kutoa hivyo vyeti kwa niaba ya serikali! Vikiisha huwa wanaenda kuchukua serikalini!
Nahisi Kwa mbali kama umeandika kitu usichokijua, sababu ni kwamba hakuna mahali serikali inahusika kuruhusu au kuzuia ndoa kuvunjika. Unapofunga ndoa ya kikristu unatumia nyaraka ya serikali ambayo iko wazi na inaeleza endapo ndoa ni ya mke na Mme mmoja, wake wengi, kimila nk.Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!
ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!
Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!
Swali: Kwanini za Kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu: Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!
Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka
Mfano
Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)
Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.
Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!
Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!
Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana! (FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)
Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)
wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!
Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!
Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa.
Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa Wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria.
Alichounganisha MUNGU mwanadamu hawezi tengua. MUNGU anachukia kuachana. Ukitaka ndoa zakuachana baadae nenda kwingine na serikalini. Kwa wakristo talaka no !!!Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!
ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!
Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!
Swali: Kwanini za Kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu: Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!
Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka
Mfano
Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)
Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.
Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!
Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!
Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana! (FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)
Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)
wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!
Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!
Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa.
Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa Wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria.
Ndipo hapo serikali inatakiwa iwe na suruhishoKuachana ni makubaliano,meridhiano, nafsi zenu wote zikubali
Kwenye ndoa/mahusiano kuna mmoja anaweza
Akawa anadai talaka na mwingine hataki....
Figisu ndiyo inaanzia hapo mpaka kuumizana
Ova
Serikali ilitazame hili kwa jicho la dharula!
ndoa nyingi sana zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji!
Ukipitia mafaili na report za kipolisi asilimia kubwa ya mauaji ya kimapenzi ni ndoa za kikristo!
Swali: Kwanini za Kikristo ndiyo zinaongoza!
Jibu: Ni kwasababu serikali haikutoa utaratibu rahisi wa kuachana (Talaka) kwenye ndoa za kikristo!
Hivyo imewafanya wakristo wanaofight divorce kuishi maisha hatarishi zaidi kutokana kwa wenza wao, mbali na migogoro mikubwa ya kupigana na kufumaniana pengine wengine hadi wanaletewa magonjwa kama ukimwi kwa kukosa namna ya kupata talaka
Mfano
Kuna scenario ya mama mmoja ambaye ameishi na Mme wake na kupata watoto watatu kwa kuvumilia, lakini uvumilivu umefika mwisho baada ya mmewake amekuwa ni wa kumpiga, matusi na kumdhalilisha, Mama huyo kariporti Mara kadhaa polisi lakini hajui afanyeje ili apate talaka kisheria!(divorce)
Pamoja na kipigo na masimango, malalamiko mengine ya yule mama ni mmewe kuwa na vimada wengi hadi na mabinti wa kazi ambayo yote kayavumilia lakini hili la kupigwa mme wake anaporudi kalewa limemshinda.
Hivyo kwa mateso ya mama yule, ni dhahiri yupo hatarini kufanya au kufanyiwa mauaji mda wowote!
Lakini kungekuwa na utaratibu mwepesi wa talaka wangeachana kwa Amani! Lakini hajui afanyeje!
Wahanga wa ndoa za kikristo ni wengi sana! Wanandoa wengi wa kikristo wametengana hadi makazi lakini huwa wanafuatiliana ili kufumaniana! (FUMANIZI kwa mgongo wa cheti cha ndoa)
Ndoa zenye migogoro mkewe/mme wanaotengana makazi miezi sita, au mwaka au miaka miwili kila mtu yuko kivyake, lakini kwasababu wanamiliki vyeti vya ndoa hufuatiliana kufumaniana kwasababu HAKUNA TALAKA! (Ili kuprove wrong kwa jamii mmoja amchafue mwenzake)
wahanga wakubwa zaidi wa hili ni wanawake kwasababu ya ushahidi wa tumbo wanapopata wenza wapya na pengine kupata mimba huko!
Nitoe rai kwa serikali Ione umhimu wa kuboresha sheria za ndoa za kikristo kupeana talaka isiwe jambo gumu la kutoana uhai kama kesi za ardhi!
Serikali itambue haina dini, hivyo itengue na mambo ya iman yabaki kiimani, kama vyeti vya ndoa inatoa serikali basi iruhusu pia kutoa talaka kuliko ilivyo ngumu sasa.
Ilivyo sasa inahitaji watalaam sana kufuatilia talaka kwa Wakristo hususani kwa wanandoa wasiona uwezo/ueleewa na sheria
Siku hizi hata kama mlifunga ndoa ya kikristu kama mmojawapo kaenda kudai talaka mahakamani ,mahakama inatengua kabisa ndoa yenuMkristu aliyefunga ndoa kwa baba Paroko hakuna kuachana ndomaana maandiko yanasema kwa waliyojaaliwa tu sasa kama ujajaliwa unaenda kufunga ndoa kwa baba paroko ya nini
Sasa namuelewa mtoa mada anayeomba serikali iingilie kati talaka iruhusiwe kwenye ndoa za kikristo. Mkuu hata nilichokiandika hapo ina maana hujakielewa? Soma tena, kama bado hujaelewa unijulishe nitafute namna rahisi ya kukuelewesha.Mkuu ndoa ya kikristo haina talaka.hilo lipo wazi.
Kama mmeoana kanisani kwa baraka za paroko.
Serikalini unafata nn?
Kule ni mudai madai ya kugawana mali na mengine..
Weka hapa taratibu za kufuata ili watu wapate mwongozoSasa namuelewa mtoa mada anayeomba serikali iingilie kati talaka iruhusiwe kwenye ndoa za kikristo. Mkuu hata nilichokiandika hapo ina maana hujakielewa? Soma tena, kama bado hujaelewa unijulishe nitafute namna rahisi ya kukuelewesha.
Mkuu kwani wewe ulisikia wapi kuwa ndoa ya kikeisto haina talaka?