Serikali ichukue hatua kwa wakuu wa idara na taasisi za umma waliokacha sherehe za Uhuru kiwilaya, hao ndio wapinzani ndani ya serikali

Serikali ichukue hatua kwa wakuu wa idara na taasisi za umma waliokacha sherehe za Uhuru kiwilaya, hao ndio wapinzani ndani ya serikali

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Mhe Waziri Mkuu, juzi nilikusikia ukisema maadhimisho ya sherehe za miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara zitaadhimishwa ngazi ya mkoa na Wilaya.

Hata hivyo leo nimemsikia mkuu wa Wilaya ya Moshi akilalamika kuwa wakuu wa idara na taasisi za umma hawakushiriki kwenye mdahalo wa uhuru huko Moshi.

Ukifatilia utakuta sio Moshi tu, hata Mtwara, Mara, Tabora, Tanga nk wakuu wa idara na taasisi za umma hawakushiriki.

This is an insubordination of the highest order.

Hawa ndio wale wanaoshirikiana na akina Mbowe kuvujisha siri za serikali, hawa wako ndani ya serikali kinafiki tu, hawa wanaiua serikali wakiwa ndani ya serikali. Hao ndio wanaovujisha siri za serikali, hao serikali ikipondwa wanaenda kunywa bia na kufurahia, hawajui kuwa chadema wakishika nchi na wao watafyekwa pia, akina Mdude ndio watakuwa watendaji wa kata.

Ushauri wangu kwa vile mdahalo/kongamano limefanyika kila Wilaya basi Wakuu wa Wilaya wafanye tathmini na kuwabaini wale ambao wamepuuza basi serikali ichukue hatua za kinidhamu, serikalini kuna watumishi mamluki sana
 
Mhe Waziri Mkuu, juzi nilikusikia ukisema maadhimisho ya sherehe za miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara zitaadhimishwa ngazi ya mkoa na Wilaya.

Hata hivyo leo nimemsikia mkuu wa Wilaya ya Moshi akilalamika kuwa wakuu wa idara na taasisi za umma hawakushiriki kwenye mdahalo wa uhuru huko Moshi.

Ukifatilia utakuta sio Moshi tu, hata Mtwara, Mara, Tabora, Tanga nk wakuu wa idara na taasisi za umma hawakushiriki.

This is an insubordination of the highest order.

Hawa ndio wale wanaoshirikiana na akina Mbowe kuvujisha siri za serikali, hawa wako ndani ya serikali kinafiki tu, hawa wanaiua serikali wakiwa ndani ya serikali. Hao ndio wanaovujisha siri za serikali, hao serikali ikipondwa wanaenda kunywa bia na kufurahia, hawajui kuwa chadema wakishika nchi na wao watafyekwa pia, akina Mdude ndio watakuwa watendaji wa kata.

Ushauri wangu kwa vile mdahalo/kongamano limefanyika kila Wilaya basi Wakuu wa Wil
hizo siri zinazovuja ni za uongo au ukweli? Bila shaka kama ni siri zinakuwa za mambo mabaya na ndiyo maana zinavujishwa kwa wapinzani. Sasa wewe badala ufurahi kama mwananchi wa kawaida kujua madudu ya serikali ili ijirekebishe unakasirika. Hii ni akili au matope.
 
hizo siri zinazovuja ni za uongo au ukweli? Bila shaka kama ni siri zinakuwa za mambo mabaya na ndiyo maana zinavujishwa kwa wapinzani. Sasa wewe badala ufurahi kama mwananchi wa kawaida kujua madudu ya serikali ili ijirekebishe unakasirika. Hii ni akili au matope.
Mbowe kwani ni JAMBAZI?? kama sio JAMBAZI Kuna ubaya kushirikiana naye??
Kweli ujinga ni mzigo 😀😀😀
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
UCHAWA.....Hili nalo ni tatizo kubwa !!
 
Back
Top Bottom