Serikali ichunguzeni kampuni ya Mysol, inatesa wananchi

Serikali ichunguzeni kampuni ya Mysol, inatesa wananchi

Wana Jamii Forums nawasalimu nyote

Mimi ni mkazi wa wilaya ya Kibondo hapa mkoani Kigoma. Ninaomba msaada wa kisheria kutokana na ugomvi nilionao na kampuni ya KITAPELI ya sola inayoitwa MYSOL maana tunakoenda naweza kuja kukata kichwa cha mfanyakazi wao nikapata kesi ya mauaji.

Hii kampuni hukopesha mitambo ya sola ambapo mteja hutakiwa kulipa malipo ya awali kutegemea na ukubwa wa sola mfano Tsh.180,000 au 300,000,kisha malipo mengine hutakiwa kulipa kidogokidogo mpaka atakapomaliza mkataba wake.

Hii ni kampuni ya KITAPELI kama si KIJAMBAZI. Mwezi Februari mwaka huu niliingia mkataba wa sola ya watt 180 ambapo baada ya kulipa malipo ya awali ya shilingi laki mbili, niliendelea kulipa kila siku kidogokidogo na mpaka leo tarehe 24 nimeshalipa jumla ya shilingi 1,688,000 kati ya shilingi 2,700,000.

Kama mnavyofahamu,wiki iliyopita Raisi kazindua Gridi huku Kigoma nami ni mmoja kati ya wananchi tuliounganishwa na umeme wa TANESCO.

Jambo la kushangaza ni kwamba haya MAJAMBAZI YA KAMPUNI YA MYSOL bado yanataka eti niendelee kulipia sola yao wakati nimeshapata umeme wa TANESCO ambao kwangu ni rahisi na nafuu kuliko MISOLA YAO YA KIPUMBAVU. Tangu nimefunga hilo LISOLA lao limekuwa likinisumbua mara kwa mara na wao kuja kurekebisha ni mpaka wajisikie wao kuja. Nilishagombana nao sana lakini niliendelea kuvumilia.

Kwa kuwa tayari nina umeme wa TANESCO, Sola nimeitoa na kuiweka ndani. Nashangaa wanakuja na Polisi eti kuichukua kwa sababu siilipi tena, je pesa yangu shilingi 1,688,000 nitaipataje?wananijibu hiyo pesa HAIRUDISHWI. Kwa kweli nimewazuia hao maofisa wa hiyo kampuni pamoja na polisi wawili waliokuja nao.

Naomba kama kuna mwana JF aliyewahi kudili na haya MAJAMBAZI YA MYSOL anipe msaada wa jinsi ya kukabiliana nayo maana nasikia HARUFU YA KUMWAGA DAMU wakija tena kutaka kuchukua kwa nguvu maana wameahidi kuja kuchukua na bunduki. Na tupo wananchi 7 ambao haya MAJAMBAZI YA MYSOL yamekuja yanataka KUTUDHULUMU. Msaada tafadhali

Nawasilisha
Wewe ndio tatizo,

Labda nikuulize tu mfano umekopa Leo ukalipa kianzio Kisha after 2 months umeme wa Tanesco ukaja, ingekuaje hapo? Ungeng'ang'ania mtambo wa watu ukagoma kulipa kisha umepata wa Tanesco?

Jibu ni kua Umeme wako wa Tanesco hauhusiani na mkopo wako. Kama mmekubaliana miezi kadhaa uwe unalipa ina maana hiyo miezi ikiisha ndio bei ya hiyo Sola Kwa Ujumla.

Hapo una machaguzi matatu.
1) Tafuta mtu achukue yeye huo mtambo amalizie hilo salio,
2) Lipia wewe Jumla ya deni lote lililobaki msiendelee kusumbuana
3) Endelea kulipa kidogo kidogo mpaka deni liishe kama mlivyokubaliana awali kwenye mkataba

Lakini kugomea kumalizia miezi kisa sasa una Umeme mwengine wa Tanesco sio sawa kabisa. Na Kwa sheria ya "Hire purchase" mali itakua yako kamili pale utakapomaliza deni lote.
 
Wewe
Wana Jamii Forums nawasalimu nyote

Mimi ni mkazi wa wilaya ya Kibondo hapa mkoani Kigoma. Ninaomba msaada wa kisheria kutokana na ugomvi nilionao na kampuni ya KITAPELI ya sola inayoitwa MYSOL maana tunakoenda naweza kuja kukata kichwa cha mfanyakazi wao nikapata kesi ya mauaji.

Hii kampuni hukopesha mitambo ya sola ambapo mteja hutakiwa kulipa malipo ya awali kutegemea na ukubwa wa sola mfano Tsh.180,000 au 300,000,kisha malipo mengine hutakiwa kulipa kidogokidogo mpaka atakapomaliza mkataba wake.

Hii ni kampuni ya KITAPELI kama si KIJAMBAZI. Mwezi Februari mwaka huu niliingia mkataba wa sola ya watt 180 ambapo baada ya kulipa malipo ya awali ya shilingi laki mbili, niliendelea kulipa kila siku kidogokidogo na mpaka leo tarehe 24 nimeshalipa jumla ya shilingi 1,688,000 kati ya shilingi 2,700,000.

Kama mnavyofahamu,wiki iliyopita Raisi kazindua Gridi huku Kigoma nami ni mmoja kati ya wananchi tuliounganishwa na umeme wa TANESCO.

Jambo la kushangaza ni kwamba haya MAJAMBAZI YA KAMPUNI YA MYSOL bado yanataka eti niendelee kulipia sola yao wakati nimeshapata umeme wa TANESCO ambao kwangu ni rahisi na nafuu kuliko MISOLA YAO YA KIPUMBAVU. Tangu nimefunga hilo LISOLA lao limekuwa likinisumbua mara kwa mara na wao kuja kurekebisha ni mpaka wajisikie wao kuja. Nilishagombana nao sana lakini niliendelea kuvumilia.

Kwa kuwa tayari nina umeme wa TANESCO, Sola nimeitoa na kuiweka ndani. Nashangaa wanakuja na Polisi eti kuichukua kwa sababu siilipi tena, je pesa yangu shilingi 1,688,000 nitaipataje?wananijibu hiyo pesa HAIRUDISHWI. Kwa kweli nimewazuia hao maofisa wa hiyo kampuni pamoja na polisi wawili waliokuja nao.

Naomba kama kuna mwana JF aliyewahi kudili na haya MAJAMBAZI YA MYSOL anipe msaada wa jinsi ya kukabiliana nayo maana nasikia HARUFU YA KUMWAGA DAMU wakija tena kutaka kuchukua kwa nguvu maana wameahidi kuja kuchukua na bunduki. Na tupo wananchi 7 ambao haya MAJAMBAZI YA MYSOL yamekuja yanataka KUTUDHULUMU. Msaada tafadhali

Nawasilisha
Wewe ndio mpuuzi tutolee upuuzi wako hapa ....unaelewa maana mkataba? Usituchoshe heshimu mkataba....Tanzania tunalipa mabilioni kuvunja mikataba huwa huoni au unajitoa fahamu....usituchoshe
 
Wewe
Wewe ndio mpuuzi tutolee upuuzi wako hapa ....unaelewa maana mkataba? Usituchoshe heshimu mkataba....Tanzania tunalipa mabilioni kuvunja mikataba huwa huoni au unajitoa fahamu....usituchoshe
Nadhani MPUUZI na MJINGA ni wewe uliye-comment leo Uzi wa mwaka 2022,hizo ni akili za MAKALIO
 
Back
Top Bottom