Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Tutapoteza mapato mzeeKati ya kitu serikali hawataki kusikia ni huu ushauri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutapoteza mapato mzeeKati ya kitu serikali hawataki kusikia ni huu ushauri!
Mkuu unajua kweli maana ya neno "kutukuza "?Huu ugonjwa umetukuzwa mno.
Mpaka wana CCM muishe wote wauaji wakubwa nyieHakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Umeandika kwa huruma sana..kama unataka kulia hiv!
Uhai wa watu ni muhimu zaidi!Tutapoteza mapato mzee
Huo ni utahira na komwe lako, wapi kumeandikwa au kuwahi kusemwa jokes is just for kids?Hayo matani ya watoto imeonesha jinsi gani ulivyo kitoto.
Then inafika 7854677 mwishowe 52,000,000
Maelezo hayajitoshelezi. Huyo wa DS ametokea wapi na nchini ameingia lini?