Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kuna wanadamu ambao hawayumbishwi na siasa endelea kuwa kibaraka wa wanasiasa.Siasa ni maisha wewe.
Lumumba mnaanza kufa lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanadamu ambao hawayumbishwi na siasa endelea kuwa kibaraka wa wanasiasa.Siasa ni maisha wewe.
Lumumba mnaanza kufa lini
Ukisikia "UPEPO WA KISULISULI" ndio hii Corona sasa, dah. Huyo wa Dar ikisemekana alipanda kwa kugombania "MWENDO KASI", itakua kasheshe.
Kesho utasikia wamepatikana wagonjwa 5 wa kisulisuli, wawili Tandale, mmoja Mbagala, na wawili Manzese.
Sisi mbona tuliwaacha wetu lakini umetufikia.China iliweza kuthibiti kusambaa zaidi kwa Corona kwa kuufunga mji wa Wuhan kuingilika na kutoka kwa watu.
Ndiyo maana hatusikii wachina kusambaza kwenye mataifa mengine tofauti na hao wapuuzi waliofuata raia wao Wuhan ili wanaonekane wanajali sana watu wao.
Idadi ya vifo ni vidogo kulinganisha na maambukizKwa hiyo utaona raha idadi ikiongezeka?Maana hautakuwa miongoni mwao?
Ugonjwa ulikuwepo tu na bado mtasikia mengi, ila ninacho amini madhara yake kwa mgonjwa hayawezi kuwa makubwa.Wagonjwa wa Corona wafika 3 sasa Tanzania baada ya wawili zaidi kupatikana leo na mmoja kutoka Zanzibar.
Waziri mkuu Majaliwa athibitisha kwa kusema “Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na Corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari yupo kwenye uangalizi, na hapa DSM tuna Mmarekani mwenye miaka 61 amebainika kuwa na Corona pia”
Pia soma> Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza
=====
Watu 2 kutoka Zanzibar na Dar wenye asili ya Kijerumani, Kimarekani wagundulika na virusi vya Corona Dar na Zanzibar, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza asubuhi hii. Asema shughuli za usafiri, maduka ziendelee ila elimu izidi kutolewa
" Dar es salaam kapatikana mmarekani mmoja wa miaka 61 na zanzibar kapatikana mjerumani mmoja"
Chanjo mpaka baada ya mwezi 18,tutarajie wagonjwa kufika 2M DsM itaongoza kwa idadi ya wagonjwa,mambo yanavyoendelea watu wataanza kutumbuliwa maana kuna viongozi bado somo halijawaingia.Inaanzaga hivi hivi mwisho inafikia elfu 10.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha muda huu kuwa huo ni uzushi hakuna jambo kama hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaanzaga hivi hivi mwisho inafikia elfu 10.
Ishu sio idadi ya vifo ,wagonjwa wanavyokuwa wengi inaathiri uchumi wa familia na nchi,mfn baba au mama ndio anaumwa si balaah.Kama umewahi kuugua dengeu mwaka wa Jana mwezi km huu hauwezi beza Corona kwa kuvaa sidiria puani badala ya mask.Idadi ya vifo ni vidogo kulinganisha na maambukiz
Tatizo la uelewa nchi hii limekuwa kubwa sana!
Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Hakimu Mfawidhi,
Kuna haja ya kufunga mipaka kwa muda!
Chanjo mpaka baada ya mwezi 18,tutarajie wagonjwa kufika 2M DsM itaongoza kwa idadi ya wagonjwa,mambo yanavyoendelea watu wataanza kutumbuliwa maana kuna viongozi bado somo halijawaingia.