Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

China iliweza kuthibiti kusambaa zaidi kwa Corona kwa kuufunga mji wa Wuhan kuingilika na kutoka kwa watu.

Ndiyo maana hatusikii wachina kusambaza kwenye mataifa mengine tofauti na hao wapuuzi waliofuata raia wao Wuhan ili wanaonekane wanajali sana watu wao.
Sisi mbona tuliwaacha wetu lakini umetufikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wagonjwa wa Corona wafika 3 sasa Tanzania baada ya wawili zaidi kupatikana leo na mmoja kutoka Zanzibar.

Waziri mkuu Majaliwa athibitisha kwa kusema “Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na Corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari yupo kwenye uangalizi, na hapa DSM tuna Mmarekani mwenye miaka 61 amebainika kuwa na Corona pia”

Pia soma> Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza

=====

Watu 2 kutoka Zanzibar na Dar wenye asili ya Kijerumani, Kimarekani wagundulika na virusi vya Corona Dar na Zanzibar, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza asubuhi hii. Asema shughuli za usafiri, maduka ziendelee ila elimu izidi kutolewa

" Dar es salaam kapatikana mmarekani mmoja wa miaka 61 na zanzibar kapatikana mjerumani mmoja"
Ugonjwa ulikuwepo tu na bado mtasikia mengi, ila ninacho amini madhara yake kwa mgonjwa hayawezi kuwa makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nikama waafrika hawaathiriki sana na hii Toyota corona, mwambieni Kabudi afanye negoshiesheni tubadilishane nchi sisi tuhamie China wao waje huku wale ni ndugu zetu ati
 
Maana yake ikitokea member wa hapa kiimya kimetawala, mjue Corona ashafanya yake, mi simo
 
Idadi ya vifo ni vidogo kulinganisha na maambukiz
Ishu sio idadi ya vifo ,wagonjwa wanavyokuwa wengi inaathiri uchumi wa familia na nchi,mfn baba au mama ndio anaumwa si balaah.Kama umewahi kuugua dengeu mwaka wa Jana mwezi km huu hauwezi beza Corona kwa kuvaa sidiria puani badala ya mask.
 
Ngugu yangu hakimu Mbuya, sasa kikao chetu kwanini mmekataa tusifunge mahakama kwa miezi miwili kupisha Corona?
 
Back
Top Bottom