Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Toa taarifa inayojitosheleza bwashee...... Hizi siyo habari za kuleta nusu nusu!
#CORONAVIRUS: WAGONJWA TANZANIA WAFIKIA 6

- Wagonjwa wawili wametangazwa leo na wote wamepatikana Jijini Dar

- Mmoja Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika Uswizi, Denmark na Ufaransa

- Mwingine Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika nchi ya Afrika Kusini



Sent using Jamii Forums mobile app
 
#CORONAVIRUS: WAGONJWA TANZANIA WAFIKIA 6

- Wagonjwa wawili wametangazwa leo na wote wamepatikana Jijini Dar

- Mmoja Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika Uswizi, Denmark na Ufaransa

- Mwingine Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika nchi ya Afrika Kusini
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema idadi ya wagonjwa wenye virusi vya Corona hapa nchini sasa imefika sita

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mipaka ina nini isifungwe?

Hao sita wamefikaje? Jana walikua 3, leo wameongezeka 2 wanafikaje 6?
 
#CORONAVIRUS: WAGONJWA TANZANIA WAFIKIA 6

- Wagonjwa wawili wametangazwa leo na wote wamepatikana Jijini Dar

- Mmoja Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika Uswizi, Denmark na Ufaransa

- Mwingine Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika nchi ya Afrika Kusini
Kasemea wapi? Na wagonjwa wamepatikana wapi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha waongezeke tu si mliambiwa na Msigwa Bungeni mkapuuza.
 
#CORONAVIRUS: WAGONJWA TANZANIA WAFIKIA 6

- Wagonjwa wawili wametangazwa leo na wote wamepatikana Jijini Dar

- Mmoja Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika Uswizi, Denmark na Ufaransa

- Mwingine Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika nchi ya Afrika Kusini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nitukane kidogo! Manina zao, hivi si wafunge mipaka, hovyooooooooooo
 
alafu hili jambo upande wa tahadhari limebaki kufanyiwa kazi kwa level ya kitaifa tu, siwaoni wakuu wa mikoa na wa wilaya wakifanya jitihata za kutoa tahadhari kwenye mikoa na wilaya zao.
 
Na hapo bado hajarudi diamond na wanenguaji wake, na Haji manara, mwaka huu mbona mnalo
 
#CORONAVIRUS: WAGONJWA TANZANIA WAFIKIA 6

- Wagonjwa wawili wametangazwa leo na wote wamepatikana Jijini Dar

- Mmoja Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika Uswizi, Denmark na Ufaransa

- Mwingine Mwanaume (40), Mtanzania, aliyesafiri katika nchi ya Afrika Kusini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, wewe ni mtanzania mwenzetu kweli?

Mbona unajieleza Kwa kutumia lafudhi ya kihutu?

Andikeni vizuri buana
 
Ummy ngomba bado mbichi, jiandae for the long haul- dead serious mwanangu.
 
Ubaya wa Corona, leo mkigundua 1, kesho 10, keshokutwa 439, mtondogoo 3290, mtondo 8439.


Unforgetable

kama haya unayosema ni kweli basi bongo corona hatuna na serikali imetengeneza kwa sababu wanazozijua wenyewe. Manake maambukizi ya bongo hayajanyooka na ya kuunga unga sana bhana.

Mie naona mzee Magu kuna watu alikuwa anawalia timing ya kuwafukuza kawakosa sasa wamezusha hii kitu ili watu wengine watumbuliwe.
 
Back
Top Bottom