Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Mbona walikamatwa Morogoro hao Wachina?NDIYO! Kwani una maoni tofauti?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona walikamatwa Morogoro hao Wachina?NDIYO! Kwani una maoni tofauti?!
unajua walalahoi huko mtaani wanapunwa sh ngapi?Unajua selikali inawakamua kodi kiasi gani
Kwa sababu walikuwa wanaendesha biashara ya kamali bila kufuata sheria!! Hata hao anaowasema Misile of The Nation ikithibitika wanaendesha isivyo halali, nao WANAPASWA KUKAMATWA!Mbona walikamatwa Morogoro hao Wachina?
Hizo mashine zipo ila sasa ni maamuzi yako mi huwaga naziangalia na kupita pembeni. Kwa sababu utashinda elfu ishirini halafu utarudi tena una liwa elfu hamsini. Sijawahi muona mchina ana lazimisha mtu acheze ilo dude
Huu uzi umenifundisha kuwa Watanzania wa leo ni naive sana na ni don't care
Akija mchina, mhindi, mzungu au mgeni yeyote akaigeuza nchi na wananchi shamba la bibi wanaona sawa tu as long as kuna vibenefit vichache vichache
Kule China hakuna mgeni anayeweza kuinstall vimashine hivi uchwara mtaani akawa unakomba hela za wachina kisha akaachwa salama. Ila ujinga huu unafanyika Tanzania na raia wanaona it is OK
Biashara ya gambling ipo duniani kote sasa serikali ichukue vipi kodi ndio liwe swali, unalo jaribu kusema ni kwamba serikali ukusaidie kumlea mtoto wako.Ndugu unaongelea uchumi wa mchezaji, kijana mtanzania anaeliwa hela kutokana na hulka ama uraibu wake wa kucheza kamari
Mtoa mada anazungumzia uchumi wa taifa, athari kwa taifa kwa kuwepo kwa kamari hizi za mchongo mchongo.
Vitu viwili tofauti. Japo kimoja ni sababu ya moja kwa moja ya nyingine.
Jana nilipita maeneo ya Kigamboni, nikaingia uchochoroni sehemu moja karibu na msikiti wa Feri upande wa Kigamboni nikaona mashine moja ya Kamari uchochoroni kabisa, katika kibanda kisicho na hadhi hata kidogo, kimefichwa ndanindani.
Mchina mmoja akaifungua, akatoa machenji kibao ya shilingi mia mbili mia mbili akaweka kwenye kitu kama kikapu akapeleka kwenye mzani wa kupimia zile chenji (Inaelekea njia ya kuzihesabu kwa kuwa ni nyingi sana wanazipima kwa kilo wanajua kuwa kilo fulani ni shilingi fulani).
Palepale kuna sehemu kuna vijana wanachukua hayo machenji wanaenda kuyauza kama chenji kwa watu wa daladala—Yaani wanatakatisha hizo pesa kwa mtindo huo.
Kinachonisikitisha Wachina wanatoka huko kwao wanakuja maelfu ya Kilometa, wanafanya biashara haramu freely kabisa katika ardhi yetu na serikali ipo, haifanyi lolote, uchumi unahujumiwa lakini serikali inang'aang'aa macho tu.
Haya mambo ya wachina kufanya hizi kamari serikali yetu inajua na ni miaka michache huko Morogoro walikamatwa Wachina wamehodhi maelfu kwa maelfu ya coins.
Hizi coins wanazozihodhi inapeleka kupungua katika mzunguuko na matokeo yake kuleta shida katika uchumi wa nchi.
Nakueleza ukweli haya mambo ambayo Wachina wanayafanya, ya kuvamia vyanzo vya maji na kulima, kukata magogo hovyo, kufanya kamari na kudisturb uchumi wahusika wanayajua, wanakula rushwa kisha wanakaa kimya!
Nakueleza Ukweli, huu ujinga ambao wachina wanafanya, huwezi kwenda China ukafanya ujinga kama huo nchini mwao, ni kwa sababu wana akili.
Mbona sisi tunakuwa kama Mazuzu, tunauza nchi very cheap. Why?
na hii kamari ya Kigamboni imefuata sheria ?Kwa sababu walikuwa wanaendesha biashara ya kamali bila kufuata sheria!! Hata hao anaowasema Misile of The Nation ikithibitika wanaendesha isivyo halali, nao WANAPASWA KUKAMATWA!
Hawatakamatwa kwa sababu wanaendesha michezo ya kamali bali kuendesha michezo ya kamali bila kufuata sheria!
Anza kulaumu serikali, mkeo kachukuliwa na Yahaya muuza madafuKuna watu hawaoni kuwa hili ni tatizo —Tuna kazi kubwa kama Taifa kuendelea kwa thinking ya aina hii
Hatuwezi kuwazuia Wachina kufanya hizo biashara zako za kamari. Hizo mashine zenyewe zinalipiwa kodi ya maana pale bandarini.
Kipaumbele cha serikali ni kodi kwahiyo acha tukusanye kodi. Nawe kama una ganja unataka kuuza wewe tupe tu kodi yetu.
Nimekwambia kodi ya haya mamashine ipo bandari ushuru wa kuingiza hizo mashine ni mkubwa sana.Kwenye sport betting ukishinda au kishindwa panakatwa kodi. Haya mamashine kodi inakatwa wapi?
Huku banana republic tunaangalia kodi tu, hatuna utaratibuKule China ni marufuku mashine za kamari kuwekwa mtaani. Ni illegal
Nimekwambia kodi ya haya mamashine ipo bandari ushuru wa kuingiza hizo mashine ni mkubwa sana.
Umeelewa?
Kwahiyo?Magari hayalipiwi ushuru mkubwa mbona bado yanalipiwa road licence?
Pale Dodoma soko la ndugai yamejaa kibao utadhani nayo ni bidhaa. Yaani haya madude sasa hivi ni kila kona.Jana nilipita maeneo ya Kigamboni, nikaingia uchochoroni sehemu moja karibu na msikiti wa Feri upande wa Kigamboni nikaona mashine moja ya Kamari uchochoroni kabisa, katika kibanda kisicho na hadhi hata kidogo, kimefichwa ndanindani.
Mchina mmoja akaifungua, akatoa machenji kibao ya shilingi mia mbili mia mbili akaweka kwenye kitu kama kikapu akapeleka kwenye mzani wa kupimia zile chenji (Inaelekea njia ya kuzihesabu kwa kuwa ni nyingi sana wanazipima kwa kilo wanajua kuwa kilo fulani ni shilingi fulani).
Palepale kuna sehemu kuna vijana wanachukua hayo machenji wanaenda kuyauza kama chenji kwa watu wa daladala—Yaani wanatakatisha hizo pesa kwa mtindo huo.
Kinachonisikitisha Wachina wanatoka huko kwao wanakuja maelfu ya Kilometa, wanafanya biashara haramu freely kabisa katika ardhi yetu na serikali ipo, haifanyi lolote, uchumi unahujumiwa lakini serikali inang'aang'aa macho tu.
Haya mambo ya wachina kufanya hizi kamari serikali yetu inajua na ni miaka michache huko Morogoro walikamatwa Wachina wamehodhi maelfu kwa maelfu ya coins.
Hizi coins wanazozihodhi inapeleka kupungua katika mzunguuko na matokeo yake kuleta shida katika uchumi wa nchi.
Nakueleza ukweli haya mambo ambayo Wachina wanayafanya, ya kuvamia vyanzo vya maji na kulima, kukata magogo hovyo, kufanya kamari na kudisturb uchumi wahusika wanayajua, wanakula rushwa kisha wanakaa kimya!
Nakueleza Ukweli, huu ujinga ambao wachina wanafanya, huwezi kwenda China ukafanya ujinga kama huo nchini mwao, ni kwa sababu wana akili.
Mbona sisi tunakuwa kama Mazuzu, tunauza nchi very cheap. Why?
Toka zamani nchini Kamari ipo na ilikuwa controlled, ila siku hizi watu wanasimika vimashine vyao vya kamari uchochoroni kabisa mitaani wanawapiga walalahoi helaPale Dodoma soko la ndugai yamejaa kibao utadhani nayo ni bidhaa. Yaani haya madude sasa hivi ni kila kona.
Yani bottom line is hakuna anae kupeleka pale ku gambleToka zamani nchini Kamari ipo na ilikuwa controlled, ila siku hizi watu wanasimika vimashine vyao vya kamari uchochoroni kabisa mitaani wanawapiga walalahoi hela
Haya matendo ni disaster, sijui kwa nini watu wanachukulia easy