Serikali ifanye operesheni ya mashine bubu za kamari mitaani, Wachina wanahujumu uchumi

Mtoa mada alikuwa akipita pita polini mara ghafla DUBU huyu hapa ah, ameliwa mtoa mada na dubu jamani nilisikia mayowe tu mamaaaasss
 
Nakueleza Ukweli, huu ujinga ambao wachina wanafanya, huwezi kwenda China ukafanya ujinga kama huo nchini mwao, ni kwa sababu wana akili.

Mbona sisi tunakuwa kama Mazuzu, tunauza nchi very cheap. Why?
Mshana Jr, kilichonisikitisha zaidi ni nilichokisoma katika comments za watu katika uzi huu. Yaani people are so naive, hawajali, wanaona eti wachina wanachofanya ni sawa. Wanadai eti kama kuna sheria inaruhusu hilo basi eti ni sawa tu, Badala wapige kelele haya mambo yawe regulated ikibidi sheria ibadilishwe na uwepo uthibiti zaidi, wao wameridhika na hali eti kwa kuwa hali iko hivi ilivyo basi tuwaache wachine wawapune waswahili huko uswazi!. Tuna tatizo la IQ, IQ zetu ni ndogo sana
 
IQ zetu ndogo
 

Nilienda Bagamoyo Kidomole kuangalia shamba langu. Wakati nasubiri wafanyakazi wangu waje njia panda nikaona gari lina park na wachina wawili wakashuka wakaenda kwenye kibanda na kurudi na mfuko.

Nilishangaa kuona wachina wako huko. Nilivyo uliza watu wa pale wakasema ni wamiliki wa machine za kamari na pesa nyingi za bodaboda zinaishia huko. Cha ajabu ni kwamba wachina wanapita kukusanya pesa sio kuweka pesa!.

Hii ni biashara ambayo haina faida yoyote na hiyo kodi wanayopata serikali ni ndogo ukilinganisha na pesa zinazotoka kwenye hizi jamii masikini.
 
Ukiona hivyo ujue hiyo ni miradi ya CCM ndiyo wenye uswahiba na hao wachina wanawakusanyia hela za uchaguzi mkuu 2025
 
[emoji23] umenikumbusha siku moja mchina alimpeleka jamaa polisi ambaye aliweka mashine ya kamari.kila anapokuja kuangalia imeingiza sh ngapi inasoma 0 .sijui iliishia wapi hiyo kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…