DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Una very narrow thinking capacity, hivi unajua teknolojia ina nguvu kiasi gani miaka hii? Siku hizi ulinzi uko akilini mwako, there is nothing kwenye hao wenye magwanda na bunduki
 
Acha ujinga wako hapa wewe.
Lucas,wewe ni kati ya macomrade was hovyo sana na hamjui hasa Nini kinaendelea japo mpo mijini na una connection ya watu wakubwa ulipo!!

Mimi nipo chaka sana lakini najua nini kinaendelea kupitia maandiko mengi ya humu!!

Huu ushindi ambao na Mimi nimehusika kukisaidia chama changu ndio uke ule wa mwaka 2019 na matukio yatakayofuata ni Yale yale!

Unaposikia TEC kupitia kitima wanapiga kelele maana yake Wana jambo lao!

Kifupi ataliwa kichwa huyo unaejifanya wewe ni chawa mkuu!!

Hatogombea na akigombea ujue nchi itaenda upinzani!!!

SOMA MAKINIKA UTAELEWA ,ACHA UCHAWA NA UZWAZWA!!
 
Tubuni maana mwenyezi mungu hapangiwi wa kumchukua.........sasa endeleeni na sarakasi zenu muone kama hamjaisha ............hakuna ujanja ujanja kwenye mambo ya mungu hata mkichunguza..........vipi kwa kibao kuna mlichoona maana ile ilkuwa kazi yenu mboga mboga hata sio ya mungu
 
Acha uzushi wako hapa.
 
Alipouawa Ally Kibao na vyombo vya Tanzania mbona ulikejeli, Leo mtu ambaye hakutekwa kwenye basi kafia India wala sio Ununio unamlalamikia nani?

Bila shaka wewe ni mjinga
 
Ushetani ndio umekujaa kichwani mwako na kutumikishwa na shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…