DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huna kazi ya kufanya......tunabubujikwa........
 
Chadema hao wataamuua na Tulia......kitukoo kweli
 
Solution ya kumuondoa Tulia ni India
Saa100 ni India
Wabunge ni India
Mawaziri ni India
Wanakwenda India kwakua kuna madakitari bora sana na wamebobea mno kwenye vifaa ndio usiseme pia ni cheap,western countries gharama zao utauza mpk viungo vyako,gharama za matibabu ni kubwa sana,vifaa vingi vya matibabu bado hakuna Tanzania ukilinganisha na India
 
Wakimalizana na upinzani wataanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe.
 
Ya Ali Kibao tayari? Vipi utekaji wa oka na wenzake? Kifo ni kifo tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…