Serikali ihakikishe madereva wanaoendesha mabasi usiku wanapata muda wa kutosha kupumzika.

Serikali ihakikishe madereva wanaoendesha mabasi usiku wanapata muda wa kutosha kupumzika.

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Sera zinazosimamia masuala ya usalama barabarani zimeweka Sheria na kanuni za kufuatwa.

Uendeshaji magari ya abiria una Sheria na kanuni zake. Mojawapo ni dereva wa Magari ya abiria anatakiwa awe na utimamu wa mwili na akili wakati wote aendeshapo magari.

Nilikuwa naongea na dereva mmoja wa mabasi, akaniambia jambo la kushangaza sana.

Akasema madereva wengi wanaoendesha magari yanayokwenda safari za chini ya kilomita 600, hulazimishwa kufanya safari za kwenda na kurudi.

Akasema kwa mfano dereva anaondoka Dar es salaam saa nne asubuhi, akifika Iringa kuanzia saa 12 jioni au Moja jioni, hutakiwa kugeuza kurudi Dar es salaam saa 2.30 au 3.00 usiku.

Dereva huyo akaniambia kuwa matokeo yake madereva wengi wa mabasi hutumia mirungi ili iwafanye wasilale wakati wa usiku.

Kuna wakati baadhi yao wakikamatwa wamiliki wa mabasi hupiga simu ili mabasi hayo yaendelee na safari.

Halijatokea tatizo kubwa la ajali. Lakini Serikali isije kusema kuwa hatujawaambia.
 
Sera zinazosimamia masuala ya usalama barabarani zimeweka Sheria na kanuni za kufuatwa.

Uendeshaji magari ya abiria una Sheria na kanuni zake. Mojawapo ni dereva wa Magari ya abiria anatakiwa awe na utimamu wa mwili na akili wakati wote aendeshapo magari.

Nilikuwa naongea na dereva mmoja wa mabasi, akaniambia jambo la kushangaza sana.

Akasema madereva wengi wanaoendesha magari yanayokwenda safari za chini ya kilomita 600, hulazimishwa kufanya safari za kwenda na kurudi.

Akasema kwa mfano dereva anaondoka Dar es salaam saa nne asubuhi, akifika Iringa kuanzia saa 12 jioni au Moja jioni, hutakiwa kugeuza kurudi Dar es salaam saa 2.30 au 3.00 usiku.

Dereva huyo akaniambia kuwa matokeo yake madereva wengi wa mabasi hutumia mirungi ili iwafanye wasilale wakati wa usiku.

Kuna wakati baadhi yao wakikamatwa wamiliki wa mabasi hupiga simu ili mabasi hayo yaendelee na safari.

Halijatokea tatizo kubwa la ajali. Lakini Serikali isije kusema kuwa hatujawaambia.
Toa mapendokeza namna ya kudhibiti madereva wenye usingizi, hata wizi kwenye watu wengi huwezi kuukomesha unadhibiti
 
Hiyo ni hatari kwa afya ya akili ya dreva. Kwa utaratibu huo ajali hazikwepeki.
 
Toa mapendokeza namna ya kudhibiti madereva wenye usingizi, hata wizi kwenye watu wengi huwezi kuukomesha unadhibiti
Sasa kama wenyewe wanasema wakikamatwa wenye mabasi hupiga simu waachiwe... Hapo tatizo si mamlaka za udhibiti?
 
Sasa kama wenyewe wanasema wakikamatwa wenye mabasi hupiga simu waachiwe... Hapo tatizo si mamlaka za udhibiti?
Kama iko hivyo basi tatizo ni Jamii haiwezi kudhibiti mamlaka, (hawezi wajibisha mamlaka), jamii ya kanyaga twende
 
Kama iko hivyo basi tatizo ni Jamii haiwezi kudhibiti mamlaka, (hawezi wajibisha mamlaka), jamii ya kanyaga twende
Huo ndiyo ukweli.

Maana mpo garini, mnasikia dereva anasemwa alionekana anaendesha gari masaa kadhaa yaliyopita.

Askari anasema kweli, akiruhusu gari kuondoka na dereva huyo huyo na nyie mkakaa kimya, tatizo ni nyie na siyo huyo Askari aliyepigiwa simu aruhusu safari kuendelea
 
Huo ndiyo ukweli.

Maana mpo garini, mnasikia dereva anasemwa alionekana anaendesha gari masaa kadhaa yaliyopita.

Askari anasema kweli, akiruhusu gari kuondoka na dereva huyo huyo na nyie mkakaa kimya, tatizo ni nyie na siyo huyo Askari aliyepigiwa simu aruhusu safari kuendelea
Namaanisha uwajibikaji wa mudawote na siyo wa muda mfupi, wala siyo huo wa abiria walioko kwenye bus husika, (usafiri husika)
 
Sera zinazosimamia masuala ya usalama barabarani zimeweka Sheria na kanuni za kufuatwa.

Uendeshaji magari ya abiria una Sheria na kanuni zake. Mojawapo ni dereva wa Magari ya abiria anatakiwa awe na utimamu wa mwili na akili wakati wote aendeshapo magari.

Nilikuwa naongea na dereva mmoja wa mabasi, akaniambia jambo la kushangaza sana.

Akasema madereva wengi wanaoendesha magari yanayokwenda safari za chini ya kilomita 600, hulazimishwa kufanya safari za kwenda na kurudi.

Akasema kwa mfano dereva anaondoka Dar es salaam saa nne asubuhi, akifika Iringa kuanzia saa 12 jioni au Moja jioni, hutakiwa kugeuza kurudi Dar es salaam saa 2.30 au 3.00 usiku.

Dereva huyo akaniambia kuwa matokeo yake madereva wengi wa mabasi hutumia mirungi ili iwafanye wasilale wakati wa usiku.

Kuna wakati baadhi yao wakikamatwa wamiliki wa mabasi hupiga simu ili mabasi hayo yaendelee na safari.

Halijatokea tatizo kubwa la ajali. Lakini Serikali isije kusema kuwa hatujawaambia.
Serikali inaingiaje hapo wakati wenye mabus wanatakiwa kuweka time muafaka ya madereva kubadilishana shifting zao.
 
Serikali inaingiaje hapo wakati wenye mabus wanatakiwa kuweka time muafaka ya madereva kubadilishana shifting zao.
Wenye mabasi ndiyo walizuia mabasi kutotembea usiku? Na wenye mabasi ndiyo walioruhusu tena mabasi kutembea usiku?

Unauliza Serikali inahusika vipi?
 
Back
Top Bottom