Msichokijua ni.kwamba Rais anasisitiza mapatokwenye kila sekta ili ziweze kujiendesha na kupeleka gawio serikalini, wafawidhi hukutana kwenye vikao na kusisitizwa kuhusu ukusanyaji wa mapato, wale wenye takwimu duni huonekana kama wanalege lega kwenye usimamizi.
Hata huduma ambazo zinatakuwq zuwe bure kabisa kama za uzazi bado kuna upigaji humo.
Hiyo serikali mnayotaka imulike hili swala ndio chanzo na sio hao madaktari.