Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Ndio maana huko nchi za wenzetu raia akikosa ajira serikali inakua ikimpatia fedha walau aweze kujikimu kwa swala la malazi na chakula.

Sasa hapa raia ni kama yatima. Hakuna msaada wowote wanaamua kukimbia kwenda kutafuta maisha bora kwingine.
 
Mie nina plan inshallah nikiwa na uwezo kununua nyumba arabuni nikaishi, acheni stereo type. Kama mtu kafika kujiuza ni wazi ana matatizo ya kufikiri. Nadhani kesi za watu wanaojiuza na kuuliwa au kufanyiwa ukatili ziko hata nchi za kimagharibi.
 
Dah huu ndio ukweli. Bora ukafie Dubai kuliko kufia Gongolamboto.
 
Haya ni maneno ya uongo na uchonganishi dubai hawana tabia ya kumdhalilisha mwanamke na polisi ukisikia hilo hufuatilia kwa makini sana mimi nipo dubai miaka 30 sijaona udhalilishaji. Hata tanzania sinza madanguro yana vamiwa na polisi na wanakamatwa malaya wote sembuse dubai waache watu wachafue mji
 
Hivi kuna wanaoondoka Tanzania kwa kujua kuwa wanakwenda kuwa makahaba?

Hivi dada dunia unaifahamu inavyokwenda?
Mimi nimewahi kutembelea U.A.E mara kwa mara nimeona mengi sana kwenye ili nchi.
Dada zetu waki Nigeria, Ethiopia, Wakenya , wengi wao connection yao kubwa ni biashara ya ukahaba, na mbona wanavutana kama fursa nyengine zilivo. Mimi binafsi kwa miaka mingi nilikua nikishangaa kwanini dada zetu wa kitanzania hiyo fursa wameshindwa kuichangamkia.
Ila inaonekana nao sasa wameanza kushtuka.
 

Mkuu unajua kwanini wanapenda? Huko ni rahisi kwao kutisua kimaisha, ayo mengine ni ajali kazini
 
Kama ni mfanyakazi wa shirika kubwa na amepangiwa apartment kampuni ndio inamlipia kila kitu je?🤔

Tatizo sio kupangiwa, tatizo linaanzia wanawake wa kibongo wanapenda sana mteremko na Starehe. na ndio mana wengi wao wanagongwa kirahisi sana.
Anaweza kuwa accommodation anapata kwa kampuni, lakini watu wakawa wanasimamia gharama za starehe, night clubs, pombe, mavazi ambazo yeye kama yeye ni ngumu kuweza kujichia nazo. mana starehe gharama na Zaidi nchi za wenzetu.
 
Shida atujapata bado kiongozi sahihi atakaeshuka chini na kuishi maisha ya watz, Bado kuna fursa nyingi Sana hazijatumika kwenye raslimali zetu Kama zingetumika vizuri kimkakati zingemaliza tatizo la ajira nchini.
Mimi ninaona tatizo moja kubwa ni kutegemea viongozi kutatua matatizo.

Utatuzi wa matatizo unatakiwa kuanzia kwa wananchi, viongozi wanatakiwa kupewa ajenda na wananchi, kwa sababu wale ni vijakazi wa wananchi tu.

Ukiwa na nchi ambayo wananchi, ama kwa kukosa elimu, ama kwa kukosa muamko ama kwa kukata tamaa, hawachukui ownership ya mambo, na wanategemea kiongozi Messiah type aje kutatua matatizo yao, uwezekano wa kutatua matatizo unakuwa mdogo.

Kwa sababu kiongozi, au viongozi ni wachache, hawawezi kuwa na uwezo wa kuona mengi kama wananchi wengi. We have to crowdsource problem solving, with inclusivity, diversity and complementarity.

Pia, viongozi wanachoka.There is such a thing as development fatigue.Mwishowe wanaamua kujiweka vizuri wao, familia zao na rafiki zao wachache, wakisema huu umasikini ulikuwepo, upo na utakuwepo tu, siwezi kuumaliza mimi.

Viongozi wanatakiwa kupewa ajenda na kushurutishwa kuifuata. Nguvu ya umma iwashurutishe.
 
Nimekuelewa mkuu dah!
 
Siku wananchi wakipewa uwezo wa kuamua vipaumbele na mambo yao juu mbona umasikini utapotea ndani ya miaka 10.
Shida ya watawala ufanya vipaumbele vyao na sio vya wananchi.Tatu mswahili anaeshiba Katu usitegemee atatue tatizo, watoto wa viongozi wangekuwa wanasoma shule za kata elimu Ingekuwa juu, viongozi wangekuwa wanapanda daladala shida ya usafiri usingekuwepo.
Mwalimu ndie awezeae tatua shida za walimu,akiupata ubunge, uwaziri,au uongozi ni lzm azisahau shida za kada the same aliyokuwa nae akilalamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…