Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Bongo wapo mademu wa kichina wanauza mbunye, wapo mademu wa kiarabu wanauza mbunye, hii ni biashara haram kama cocaine tu, siku zote biashara haram ndio zinalipa faster.
Kinachokataliwa hapa ni kushurutishwa,,

Hao wanaowaleta wanawake mfano waafrica,au wahindi,,hata wachina ni wa kukamata kabisa..

Human traffic is forbidden.
 
Tunatak maendeleo Kila kona lakn sio. Kila. Sehem unawez kwenda
 
Kuna dada namfahamu alikwenda uarabuni kufanya kazi za ndani,nilikuwa namuona akipost kama miaka miwili ya mwanzoni kwenye facebook,sasa hivi huu ni mwaka wa 4 hakuna post mpya sijui kama yuko salama...
 
Itoe akili yako shimoni, chuki yako itakuongezea umasikini tu issue ya human trafficking ni Dunia nzima, kuna wadada kibao Europe na America wameingizwa kwenye huu mtego, fanya kazi kijana ili familia yako isije ikaingia kwenye huu mtego coz hapa issue ni umasikini.
Muarabu mweusi naona wamekugusa hadi Umetoka shimoni kutema chechee
 
Mi siwalaumu hao Waarabu/Waturuki/Wahindi na Wazungu. Nawalaumu hao mnao waita dada zetu, kina wawasha nini kwenda huko? Kwanini wasitulize misambwanda yao huku huku tujenge nchi yetu?
Naunga mkono hoja yako.
Dada zetu hawasikii kabisa hata ukiwashauri. Wao wanachowaza kutoka nje ya nchi, mengine yatajiset hukohuko wakifika. Matokeo yake wakisharipoti kwa human traffickers wanapokonywa passport na kuwa watumwa, mpaka wamalize mikataba yao ya kutumikishwa.
 
Muarabu mweusi naona wamekugusa hadi Umetoka shimoni kutema chechee
Hayo ni mawazo yako,mimi nimechangia mada,mkiitwa weusi na Mzungu mnasema racism ila wewe naona unapayuka tu kama vile akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati,

Mechi ya PSG na ile team ya Uturuki iliahirishwa kisa refa namba 3 alimuita jamaa wa team ya Uturuki black,wewe hapa unarudia lile lile! halafu una uhakika gani na my skin colour?

Ni aibu kuongelea mambo ya rangi ya ngozi au ukabila kwa Dunia ya leo,bado unaishi shimoni naona.
 
suala la mabint kupenda kwenda Arabuni mm napendekeza serikali isijishughulishe nalo kabisa sababu wanajitakia, kila siku matatizo ni nchi za kiarabu dhidi ya wadada wa tz na yanaripotiwa lakini bado wanaendelea kwenda kwa wingi,,,, wapambane na hali zao.
 
suala la mabint kupenda kwenda Arabuni mm napendekeza serikali isijishughulishe nalo kabisa sababu wanajitakia, kila siku matatizo ni nchi za kiarabu dhidi ya wadada wa tz na yanaripotiwa lakini bado wanaendelea kwenda kwa wingi,,,, wapambane na hali zao.
Sijui wapewe elimu gani hao madada
Maana wanalilia kwenda huko ila wakifika huko
Wanaanza kulialia kutaka msaada wa kurudishwa
Maana huko ni kuliwa tg mwanzo mwishooo

Ova
 
Sio kweli MKyUU,wapo warembo wengine wanapelekwa kama kutafuta maisha,,au kutembea.
Wakifika kule wanaambiwa kazi yenyewe ni hii..

Hapo anakuwa hana jinsi..lazima auze ili apate pesa ya kujikimu maisha.

Ungeona hawa Dada zetu wanavyotudhalilisha huko ughaibuni wala usingepongeza jambo hilo.
Hizi siyo stori mpya, ni hadithi zinazosemwa kila siku, kila mahali,
Mtu humjui hakujui hana uchungu na wewe unakubalije kwenda kutembea nae manchi ya watu??

Wachache sana 1 kati ya 200 ndiyo huwa hajui RISK halisi ya kwenda huko.

Wacha yawakute ndiyo wapate akili, na hakuna kulaumu serikali, serikali ikiwazuia kwenda tunalalamika wanatumia K zao binafsi kwa hiyari yao, kujiingizia kipato na kusaidia families. Yakiwakuta basi serikali iwapiganie!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mi siwalaumu hao Waarabu/Waturuki/Wahindi na Wazungu. Nawalaumu hao mnao waita dada zetu, kina wawasha nini kwenda huko? Kwanini wasitulize misambwanda yao huku huku tujenge nchi yetu?
Na mimi nashangaa unaenda nchi ya watu kufanya umalaya unategemea nini? hapa bongo walishawahi kuchapwa na kusombwa sasa lini jipya wanalofanya huko. Ukienda nchi ya watu fuata sheria zao kama wakija hapa wanatakiwa kufuata sheria. kuna suki sijui wa kabila gani wale wachina walikamatwa kuna mitaa walikuwa wanajiuza sasa hapa utawalaumu nini?
 
suala la mabint kupenda kwenda Arabuni mm napendekeza serikali isijishughulishe nalo kabisa sababu wanajitakia, kila siku matatizo ni nchi za kiarabu dhidi ya wadada wa tz na yanaripotiwa lakini bado wanaendelea kwenda kwa wingi,,,, wapambane na hali zao.
Nakubaliana nawe kabisa, nguvu za serikali zielekezwe tu kwenye elimu, huko mashuleni na mitaani, waelemishwe, wanaoenda waende tu kwa tamaa zao na shida zao na raha zao.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hivi hata babu zetu kumbe walijitakia wenyewe kuuzwa?
Kabisa tena ilitakiwa wachapwe kabisa viboko, mwafrika ndie aliyeshiriki kumuuza mwafrika mwenzake kwa mtu mweupe,inakuaje watu watoke bara Hadi pwani Makundi kwa Makundi waswagwe Kama ng'ombe na weupe wachache Hali wanapita vijijini tena vyema watu bila kutoa msaada.
 
Na mimi nashangaa unaenda nchi ya watu kufanya umalaya unategemea nini? hapa bongo walishawahi kuchapwa na kusombwa sasa lini jipya wanalofanya huko. Ukienda nchi ya watu fuata sheria zao kama wakija hapa wanatakiwa kufuata sheria. kuna suki sijui wa kabila gani wale wachina walikamatwa kuna mitaa walikuwa wanajiuza sasa hapa utawalaumu nini?
Hata hapa mataifa yote yanauza hazina zao kwa wachaguzi wa ladha,hili ni tatizo la dunia.
 
Hivi mkuu mfano kuna mtu anasaka mashoga kuwauza ulaya,,

Utakwenda kuwa shoga ughaibuni sababu ya umasikini?
Tusitupie lawana serikali kwa tamaa zetu wenyewe za mafanikio ya haraka haraka,,

Human traffic ni janga la kidunia nzima ,,tena adhabu yake ni Mara 3 ya hukumu ya madawa ya kulevya huko ulaya..

Huo ni mtandao wa kihalifu uliopo hapa kwetu tzania ...
Serikali inapaswa ichunguze hao maagent wa kuuza wenzao na kuwachukulia hatua Kali sana,,
Human trafficking ni janga la kidunia nchi zote ni waathirika.Thus ufanywa kwa Siri, muhimu waendao nje kwa ahadi zigeukazo uongo wapate elimu tambuzi.Kama wakiingia kwenye mitego wajinasue vipi hapa ni suala la elimu nn ufanye kupata msaada, msaada no 1 ni mawasiliano.
 
Unakubali kuna uzembe ? Unakubali kuna kujitakia ? Sasa hapa naongelea madhila ya sababu hizo mbili, ndiyo maana nikaandika huko ya kuwa kama wapo wanaopata madhila kinyume na hao basi naunga mkono hoja ya kuwa serikali iingilie kati.
Wenye mikataba sahihi ni nadra kupata madhara, serikali iingilie Kati kupunguza risk ya watu kutumia njia za panya kwenda huko.
 
Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.

Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.

Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.

Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.

Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.
Naanza kwa kuwaonea huruma. Wanakimbilia nn huko. Wanaume hapa wapo hata kama wanalipwa vijisenti wakubali kuliko mateso
 
Hayo ni mawazo yako,mimi nimechangia mada,mkiitwa weusi na Mzungu mnasema racism ila wewe naona unapayuka tu kama vile akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati,

Mechi ya PSG na ile team ya Uturuki iliahirishwa kisa refa namba 3 alimuita jamaa wa team ya Uturuki black,wewe hapa unarudia lile lile! halafu una uhakika gani na my skin colour?

Ni aibu kuongelea mambo ya rangi ya ngozi au ukabila kwa Dunia ya leo,bado unaishi shimoni naona.
ubaguzi wa kimakabila upo na ubaguzi wa rangi upo sana, labda ujivue akili tu ukatae , kisa mwarabu kasemwa...Huko Sudan, Misri, Tunisia japo ni 'waafrika' wenzetu ila wanambagumgua mtu mweusi ile mbaya, wewe unakuja kutetea
ubaguzi upo nchi zote na jamii zote lakini kuna baadhi ya nchi zinafanya juhudi kubwa kuondoa kabisa ubaguzi ila nchi nyingine ubaguzi ni kama sehemu ya utamaduni wao, na nchi hizo ni nchi za kiarabu.!
 
Back
Top Bottom