Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Sababu wanaenda kufanya uzinzi haina shida acha wapate stahiki zao, ila kama ingekuwa wameenda kwa ajili ya shughuli nyingine kama za kielimu na mfano wake, hapo ningeunga mkono hoja.

Lakini watoto wa kike kwani lazima kwenda kutafuta maisha nje ? Na huku kila siku wanaambiwa kuna madhila ya kila aina ?
Madhila humpata mtu popote hata akibakia ndani humpata
 
Ndio maana kuna watu wanafuatilia mambo ya human trafficking, wakati mtu hasa wadada wanapoondoka airport na wanapoomba passport
 
Wengi tu msingi kiuno akirudi ana mtaji wa kutosha then ugeuka madalali na kuwachukua wengine kuwauza nje.
Kama huna asili ya ukahaba hata ukienda nje utakuwa vipi kahaba sasa,yaani ukose hata akili ya kuomba msaada wa mteja akusaidie?
Mkuu ,,ngoja nikufumbuwe macho.

Kuna wadada na wanaume wapo ughaibuni.

Wao wapo tayari kuwagharamia kila kitu hao warembo.
Kwa matumaini ya kupata faida Mara dufu.

Mfano atamgharamia mwanamke dola 2000$.
hyo mrembo anapaswa arudishe 8000$ au 10000$.
Ndipo anakuwa huru..

-Akifika atapokonywa passport.
-- mwenyeji atawajulisha wateja wake kwamba kuna mzigo mpya umeingia.

Mara nyingi inchi za kiarabu mfano Oman watu wanakuwa na sehem zao maalum,,wanaume wanakuja na kuchaguwa amtakae na kuburudika,,huku malipo akipokea mwenyeji..
 
Mkuu ,,ngoja nikufumbuwe macho.

Kuna wadada na wanaume wapo ughaibuni.

Wao wapo tayari kuwagharamia kila kitu hao warembo.
Kwa matumaini ya kupata faida Mara dufu.

Mfano atamgharamia mwanamke dola 2000$.
hyo mrembo anapaswa arudishe 8000$ au 10000$.
Ndipo anakuwa huru..

-Akifika atapokonywa passport.
-- mwenyeji atawajulisha wateja wake kwamba kuna mzigo mpya umeingia.

Mara nyingi inchi za kiarabu mfano Oman watu wanakuwa na sehem zao maalum,,wanaume wanakuja na kuchaguwa amtakae na kuburudika,,huku malipo akipokea mwenyeji..
Tungekuwa na sera nzuri za ajira Hakuna angeenda nje,mbona madada wa kiarabu wao hawaji afrika kufanya kazi za ndani.Shida ni sisi tunawafanya watu wawe masikini kwa Kuuwa sekta binafsi.Sasa Kama ndani ni moto na njaa,na nje ni moto pia lakini unaingiza utachagua wapi.
 
Tungekuwa na sera nzuri za ajira Hakuna angeenda nje,mbona madada wa kiarabu wao hawaji afrika kufanya kazi za ndani.Shida ni sisi tunawafanya watu wawe masikini kwa Kuuwa sekta binafsi.Sasa Kama ndani ni moto na njaa,na nje ni moto pia lakini unaingiza utachagua wapi.
Bongo wapo mademu wa kichina wanauza mbunye, wapo mademu wa kiarabu wanauza mbunye, hii ni biashara haram kama cocaine tu, siku zote biashara haram ndio zinalipa faster.
 
Mkuu ,,ngoja nikufumbuwe macho.

Kuna wadada na wanaume wapo ughaibuni.

Wao wapo tayari kuwagharamia kila kitu hao warembo.
Kwa matumaini ya kupata faida Mara dufu.

Mfano atamgharamia mwanamke dola 2000$.
hyo mrembo anapaswa arudishe 8000$ au 10000$.
Ndipo anakuwa huru..

-Akifika atapokonywa passport.
-- mwenyeji atawajulisha wateja wake kwamba kuna mzigo mpya umeingia.

Mara nyingi inchi za kiarabu mfano Oman watu wanakuwa na sehem zao maalum,,wanaume wanakuja na kuchaguwa amtakae na kuburudika,,huku malipo akipokea mwenyeji..
Sawa ila wengi wanaenda wakijuwa wanaenda kufanya ukahaba, na hiyo $10,000, inalipika, na wao huenda kwa ridhaa zao.

Biashara hizi za utumwa, haziwezi kuisha kamwe, zipo tangu enzi, zinakua na kubadilika kimfumo kufuatana na jamii inavyobadilika.

Leo hii mcheza mpira ananunuliwa anauzwa, ili kutoa burudani, tunasema ni halali, huku maagent na mameneja wakivuta hela ndefu katika hiyo biashara. Jamii imehalalisha.
Ipo mifano mingi tu! Anayeamua kitu ni haramu ni beberu!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Kuna wadada walikwenda Arabuni na kufanikiwa kufanya kazi za utumishi wa ndani ma wamerudi katika nchi wakizotola wakiwa salama.

Ninadhani dhana muhimu ni kuwafahamisha wadada wanao kwenda huko kuhakikisha kuwa kila mkataba ni halali kisheria.

Kujiunga na mtandao wa telegram, ukianza kunyanyaswa post location ya mahali ulipo.
Mijamaha inaroho Mbaya Mpaka imemfanya TAL awe Punga
 
Waarabu sio watu wazuri dada zetu hawasikii, unaendaje nchi ya mbali bila kua na info zozote. Nawaonea huruma lakini imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Yaani hao Waturuki wana roho mbaya sana sana

Lakini jamani tujaribu kurudi nyuma kidogo, je, hapa kwetu mara ngapi hao madada poa wanatiwa mbaroni usiku wajiuza huko mitaa ya Ohio na huko Sinza, wanafunguliwa mashtaka na kutozwa faini.

Cha ajabu, vyombo vya dola vya Uturuki,Uchina na Uarabuni vikiwatia mbaloni ma dada poa wa Kitanzania mnataka Serikali na Balozi zetu ziingilie kati ili kuwahokoa/nusuru - hii wapi na wapi?

Ma dada poa hao kama wanaona wanabugudhiwa kwa nini awaendi kwenye Mataifa yanayo ruhusu masuala haya, mfano: Mji wa Amsterdam Uholanzi, Miji karibu yote huko Uingereza nk. Msianze kulahumu Serikali kwa masuala ya kujitakia/kijinga.
 
Madhila humpata mtu popote hata akibakia ndani humpata
Unakubali kuna uzembe ? Unakubali kuna kujitakia ? Sasa hapa naongelea madhila ya sababu hizo mbili, ndiyo maana nikaandika huko ya kuwa kama wapo wanaopata madhila kinyume na hao basi naunga mkono hoja ya kuwa serikali iingilie kati.
 
Kuna wadada walikwenda Arabuni na kufanikiwa kufanya kazi za utumishi wa ndani ma wamerudi katika nchi wakizotola wakiwa salama.

Ninadhani dhana muhimu ni kuwafahamisha wadada wanao kwenda huko kuhakikisha kuwa kila mkataba ni halali kisheria.

Kujiunga na mtandao wa telegram, ukianza kunyanyaswa post location ya mahali ulipo.

Well said, ila suala hapa ni: Akina dada wangapi wanajua kwamba kuna messaging apps aina ya telegram? ni wachache sana wengi wao app wanayoijua ni Whatsapp, basi.
 
Well said, ila suala hapa ni: Akina dada wangapi wanajua kwamba kuna messaging apps aina ya telegram? ni wachache sana wengi wao app wanayoijua ni Whatsapp, basi.
Kuna nchi za Kiarabu zisizotumia WhatsApp, Facebook wala Instagram.
 
Tungekuwa na sera nzuri za ajira Hakuna angeenda nje,mbona madada wa kiarabu wao hawaji afrika kufanya kazi za ndani.Shida ni sisi tunawafanya watu wawe masikini kwa Kuuwa sekta binafsi.Sasa Kama ndani ni moto na njaa,na nje ni moto pia lakini unaingiza utachagua wapi.
Hivi mkuu mfano kuna mtu anasaka mashoga kuwauza ulaya,,

Utakwenda kuwa shoga ughaibuni sababu ya umasikini?
Tusitupie lawana serikali kwa tamaa zetu wenyewe za mafanikio ya haraka haraka,,

Human traffic ni janga la kidunia nzima ,,tena adhabu yake ni Mara 3 ya hukumu ya madawa ya kulevya huko ulaya..

Huo ni mtandao wa kihalifu uliopo hapa kwetu tzania ...
Serikali inapaswa ichunguze hao maagent wa kuuza wenzao na kuwachukulia hatua Kali sana,,
 
Sawa ila wengi wanaenda wakijuwa wanaenda kufanya ukahaba, na hiyo $10,000, inalipika, na wao huenda kwa ridhaa zao.

Biashara hizi za utumwa, haziwezi kuisha kamwe, zipo tangu enzi, zinakua na kubadilika kimfumo kufuatana na jamii inavyobadilika.

Leo hii mcheza mpira ananunuliwa anauzwa, ili kutoa burudani, tunasema ni halali, huku maagent na mameneja wakivuta hela ndefu katika hiyo biashara. Jamii imehalalisha.
Ipo mifano mingi tu! Anayeamua kitu ni haramu ni beberu!

Everyday is Saturday.......................... 😎
Sio kweli MKyUU,wapo warembo wengine wanapelekwa kama kutafuta maisha,,au kutembea.
Wakifika kule wanaambiwa kazi yenyewe ni hii..

Hapo anakuwa hana jinsi..lazima auze ili apate pesa ya kujikimu maisha.

Ungeona hawa Dada zetu wanavyotudhalilisha huko ughaibuni wala usingepongeza jambo hilo.
 
Mbona wanauza tangia Bongo? Halafu sasa hivi wanawake wengi wanauza ila hawajarasmisha tu.

Nitumie na ya kutolea una wanaume sita tofauti wewe ni kahaba tu.
Mkuu hakuna kitu kibaya kama kuchafuliwa utambulisho wako.

Hivi unajisikiaje ukiwasikia wanaume wa mataifa mengine wanasema nakwenda kununuwa k kwa Tanzania sisters?
 
Back
Top Bottom