Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

Hivi kuna wanaoondoka Tanzania kwa kujua kuwa wanakwenda kuwa makahaba?
Wanajua vizuri sana ila hawajui wakiwa wavivu kukata viuno na kuzuia tigo kuna bakora za uhakika!
 
ubaguzi wa kimakabila upo na ubaguzi wa rangi upo sana, labda ujivue akili tu ukatae , kisa mwarabu kasemwa...Huko Sudan, Misri, Tunisia japo ni 'waafrika' wenzetu ila wanambagumgua mtu mweusi ile mbaya, wewe unakuja kutetea
ubaguzi upo nchi zote na jamii zote lakini kuna baadhi ya nchi zinafanya juhudi kubwa kuondoa kabisa ubaguzi ila nchi nyingine ubaguzi ni kama sehemu ya utamaduni wao, na nchi hizo ni nchi za kiarabu.!
Hivi unajua ulichokiandika? Sasa unakataa nini na unakubali nini?
Wapi mimi nimekwambia kuna sehemu hakuna ubaguzi?
 
Kuna wadada walikwenda Arabuni na kufanikiwa kufanya kazi za utumishi wa ndani ma wamerudi katika nchi wakizotola wakiwa salama.

Ninadhani dhana muhimu ni kuwafahamisha wadada wanao kwenda huko kuhakikisha kuwa kila mkataba ni halali kisheria.

Kujiunga na mtandao wa telegram, ukianza kunyanyaswa post location ya mahali ulipo.
Teheteheeee unajua adi post location.....mkuu
 
Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.

Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.

Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.

Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.

Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.
Dada zetu wabishi sana sana, uroho wa pesa wawafanya kutosikia, kuona au kushauriwa, wanapenda pesa za haraka haraka kama wauza unga !
Hizo nchi ni sugu kwa kutoa haki kwa wageni, wengine tushashuduia Airport wakina dada wakililia kwenda huko! Ni tatizo sugu sana sana..
 
Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.

Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.

Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.

Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.

Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.
Mbona hata hapa tanzania kwetu unyanyasaji upo ,tukomeshe kwanza hapa
 
Kwa mtu mwenye mchumba wake au mkewe anajua mtu wake anafanya kazi China au Dubai, akiona nyuzi kama hii mapigo ya moyo lazima yapande aisee.
 
waarab sio watu aisee, ila tatizo mabint zetu nao wanatamaa mno
Usiwaone hawa wadada wenye viduka kinondoni na sinza wakikuambia wanaenda dubai,uturuki etc basi ujue hko ni kwenda kuuza tg mwanzo mwishooo

Ova
 
Kwa mtu mwenye mchumba wake au mkewe anajua mtu wake anafanya kazi China au Dubai, akiona nyuzi kama hii mapigo ya moyo lazima yapande aisee.
Kama mke au dem wako anakwenda hko basi lazima ataliwa sanaa
Kwanza kinachowafanya waliwe ni kutaka mremko mfano malazi na kula hawataki kutumia pesa zao,asilimia kubwa wa wanawake wanaliwa
Naongea hii nikiwa na ushahidi wa kuona kabisa

Ova
 
Kama mke au dem wako anakwenda hko basi lazima ataliwa sanaa
Kwanza kinachowafanya waliwe ni kutaka mremko mfano malazi na kula hawataki kutumia pesa zao,asilimia kubwa wa wanawake wanaliwa
Naongea hii nikiwa na ushahidi wa kuona kabisa

Ova
Kama ni mfanyakazi wa shirika kubwa na amepangiwa apartment kampuni ndio inamlipia kila kitu je?🤔
 
Wanapitaje pale airport, serikali ithibiti vijana kwenda nje bila sababu au vielelezo vilivyojitosheleza. Kwa kazi ambazo siyo rasmi, ni bora balozi wetu aliyeko nje aandike recommendation kwamba ana taarifa za kutosha na eneo analoishi huyo mwajiri...
 
Ila waafrika tuache unafiki,
Hivi ukatiri wanaotendewa waafrika na waafrika wenzao hamuuoni?
Yalitokea South Afrika,yanatokea Hapa bongo,ebu cheki alichotendewa Mke wa Bob wine na askari,
Zanzibar pale,Kuna ukatiri mkubwa wanaotendewa Wadada wanaofanya kazi kwenye mahotel,duniani Kuna matabaka mawili,walionacho na wasio nacho,hao wanaotendewa uhovu Uarabuni,ni waafrika waliokimbia umaskini hapa Afrika,wakaenda kutafuta maisha huko,waafrika wenye pesa wanaishi vzr tu Uarabuni,na uturuki,
Hata south Afrika,waliopata shida ni wale wanaishi tabaka la chini,wenye pesa zao,hawakupata shida,
 
Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.

Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.

Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.

Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.

Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.

Watanzania ambao ni diaspora wakisema waruhusiwe waruhusiwe kuwa na raia pacha sababu mojawapo ni kuepusha unyanyashaji. Uraia umetumika kunyima watu haki zao za msingi na Watanzania wengine wanaogopa kupata vibali kwasababu ya sheria zetu wenyewe. Kuna Watanzania mfano wapo genezani kwa makosa waliofanya miaka 15 iliyopita kwasababu tu sio raia hivyo wako mbioni kurudishwa kutoka hapa US lakini wasingeweza kunyanyashwa kama wangekuwa raia jamaa mmoja IT engineer yupo sero kwasababu alilewa na kuendesha gari mwaka 2003! akiwa na miaka 24 sasa kaoa, kasoma, na ana watoto maisha yake ya familia ni magumu sababu tu ya uraia. Balozi zetu hazina nguvu Watanzania watajisaidia wenyewe hivyo badala ya kulalamika tuwape nguvu zaidi diaspora mfano hapa US kuna Watanzania kila idara hivyo ni rahisi kusaidiana yakitokea majanga ya unyanyasaji maana hatutaogopa kwenda kwa hao wanyanyasaji moja kwa moja bila ubalozi lakini wenzetu wa huko uarabuni wanaenda kufanya kazi za kitumwa! . Nasema haya yote kusema tuwe kama Kenya wanawasaidia sana diaspora wao na matunda wanayaona. Sisi wengi tuna angaliana na kuona diaspora kama washindani! Hili ndilo linatuangusha
 
Wanapitaje pale airport, serikali ithibiti vijana kwenda nje bila sababu au vielelezo vilivyojitosheleza. Kwa kazi ambazo siyo rasmi, ni bora balozi wetu aliyeko nje aandike recommendation kwamba ana taarifa za kutosha na eneo analoishi huyo mwajiri...
Siku hizi wanapitia south africa, hizi agency ziwasafirisha Hadi south kwa Basi then ndege Hadi uarabuni
 
Back
Top Bottom