Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine huko huko wametengeneza maisha wanawatumia home kwao wamejenga na wanasomesha ndugu zake na ukombozi wa familia.Waarabu co watu wazuri dada zetu hawasikii, unaendaje nchi ya mbali bila kua na info zozote. Nawaonea huruma lakn imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa . Yan hao waturuki wana roho mbaya sana sana
Kunyanganya pasipoti ya nchi nyingine ni kosa hapo serikali inapaswa kuingiliaKama wanaenda kujiuza wacha sheria za huko zichukue mkondo wake. Ila kama wameenda kwa shughuli nyingine halali halali halafu wananyang'anywa passport na kutekwa na kuingizwa ktk madanguro hapo ndiyo serikali iingilie kati.
Hivi kuna wanaoondoka Tanzania kwa kujua kuwa wanakwenda kuwa makahaba?Hata hao makahaba wapost location?
Wengi tu msingi kiuno akirudi ana mtaji wa kutosha then ugeuka madalali na kuwachukua wengine kuwauza nje.Hivi kuna wanaoondoka Tanzania kwa kujua kuwa wanakwenda kuwa makahaba?
Sasa bila kodi yako Chato itajengwaje sasa na mda ni mfupi imebaki miaka 4 tu ngumu kuifanya nchi yote iwe Ulaya ila ni rahisi kuifanya Chato ifanane na DubaiNi sahihi. Hatupumui kwa mikodi isiyoangalia unapata kiasi gani.
Kahaba afati starehe bali pesa yako sasa buku Jero huoni aitoshi kufanya hata services ya gari Ili iendelee kubeba abiria.Hao Malaya si wabaki tu hapa hapa bongo, au ndio wanakimbia vibamia vya kina lemutuz?
Lipo genge la wahuni hapa Tanzania na huko waendako.Kwani nani huwa anawapeleka huko?
Hiyo ni human traffic kamili mkuu.Wapo mawakala...
Hii haina tofauti na human trafficking...
Mawakala kwa kutetea upuuzi hamjambo.Piganeni na hali zenu haya madanguro mbona hapa Tz yamejaa telee tena ya kila dizaini mnaonaje tukaanza kusafisha hapa ndani,kisha tukawakurupusha waendao huko,mleta mada tuwekee ushahidi wa hayo uliyotongoa,iliingia fitina mupaka sasa madada zetu imekuwa mtihani kupata kuondoka kwa kwenda kufanya kazi ughaibuni kwa kisingizio cha kulazimishwa kufanya ugahaba,sasa nini kazi ya mabalozi wetu huko ?
Unajua kwenye kundi la mamba na kenge wamo.
Wapo wanaojuwa na wengine wanapewa kazi zingine maalum wakifika.Hivi kuna wanaoondoka Tanzania kwa kujua kuwa wanakwenda kuwa makahaba?