Serikali iitupie jicho kali MVIWATA na viongozi wake, tayari wamejibainisha kuwa na ajenda ya chinichini ya kisiasa

Serikali iitupie jicho kali MVIWATA na viongozi wake, tayari wamejibainisha kuwa na ajenda ya chinichini ya kisiasa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.

Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo tu, na inajifanya kwamba ni taasisi ya wakulima, kumbe ukiiondolea blanket(lifting the veil), MVIWATA ni chama Cha Siasa au ni mkono wa chama Cha kisiasa, chenye Nia ya kurubuni wakulima.

Sasa kama ni chama Cha kisiasa au ni taasisi ya chama Cha kisiasa, bila shaka dola Ina haki ya kukipiga Pini za aina zote kisiasa.

Si ajabu wanasiasa wanafichia au kupitishia Hela zao MVIWATA

Serikali iifunue hii taasisi, watu wanaohusiana nayo, vyanzo vya mapato, na malengo yao kwa nchi hii, na wanasiasa walioianzisha, na jinsi wanavyoitumia.

Kwa kuwa wameamua kuanzisha vita ,basi mbwai na iwe mbwai, fita ni fita mura. Nina imani serikali itafanya kitu, na wao watajua
 
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.

Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo tu, na inajifanya kwamba ni taasisi ya wakulima, kumbe ukiiondolea blanket(lifting the veil), MVIWATA ni chama Cha Siasa au ni mkono wa chama Cha kisiasa, chenye Nia ya kurubuni wakulima.

Sasa kama ni chama Cha kisiasa au ni taasisi ya chama Cha kisiasa, bila shaka dola Ina haki ya kukipiga Pini za aina zote kisiasa.

Si ajabu wanasiasa wanafichia au kupitishia Hela zao MVIWATA

Serikali iifunue hii taasisi, watu wanaohusiana nayo, vyanzo vya mapato, na malengo yao kwa nchi hii, na wanasiasa walioianzisha, na jinsi wanavyoitumia.

Kwa kuwa wameamua kuanzisha vita ,basi mbwai na iwe mbwai, fita ni fita mura. Nina imani serikali itafanya kitu, na wao watajua
Bashiru kawagonga nyoro zote zinapwita
 
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.

Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo tu, na inajifanya kwamba ni taasisi ya wakulima, kumbe ukiiondolea blanket(lifting the veil), MVIWATA ni chama Cha Siasa au ni mkono wa chama Cha kisiasa, chenye Nia ya kurubuni wakulima.

Sasa kama ni chama Cha kisiasa au ni taasisi ya chama Cha kisiasa, bila shaka dola Ina haki ya kukipiga Pini za aina zote kisiasa.

Si ajabu wanasiasa wanafichia au kupitishia Hela zao MVIWATA

Serikali iifunue hii taasisi, watu wanaohusiana nayo, vyanzo vya mapato, na malengo yao kwa nchi hii, na wanasiasa walioianzisha, na jinsi wanavyoitumia.

Kwa kuwa wameamua kuanzisha vita ,basi mbwai na iwe mbwai, fita ni fita mura. Nina imani serikali itafanya kitu, na wao watajua
Tangu Bashiru afunguke umekuwa unalala na viatu.

Hutaki kuamini kuwa dubwasha linajifia kibingwa

Pole sana
 
Niambie chama/organization/taasisi Gani Tanza-nia ambayo CCM hawajaingiza Siasa huko? Hapo wanavuna walichopanda tu hakuna jipya. Kama Hadi JWTZ Kuna CCM wing na Wana Viongozi ndio ushangae hao Wakulima?
 
Wewe ni mmojawapo wa chawa wa fosiem, nenda kwanza kwa wakulima maeneo kama yale ya Kilosa ktk kijiji cha Mambegwa, Kata ya Msowero iliejjionee mwenyewe jinsi Mtendaji Kata na Mwenyekiti akiwo M/tendaji wa kijiji jinsi wanavyotunyanyasa sisi wakulima kwa kutunyang'anya mashamba yetu tuliyokuwa tunaualima tangu zamani miaka zaidi ya 30. Haya wanafanya kwa kusema Mama ametuagiza. Wanataka rushwa kuanzia 200,000/= - 300,000/= kwa ekari. Usipotoa watakunyang'anya shamba lote, hapa wakiwa wa Mwenyekiti CCM Kata. Jombaa, bado utaendelea kuwapenda hawa na CCM yao. Hawa MVIWATA wamesimama na sosi wakulima tangu miaka mingi kuwatetea kwa manyanyaso ya CCM na viongozi wao. Hebu rudi nyuma wakati wa JPM, walitutetea na JPM akatupatia haki yetu Wa MSOWERO WA KILOSA MOROGORO.
Tunakualima uje hapa Msowero kijiji cha Mambegwa mji mpya ama Majengo, fanya utafiti kimya kimya utayapata. Sisi wakulima wa Mambegwa Kata ya Msowero, tunakuona wewe kama mkrupukaji tu na chawa asiye na maana yoyote na hututakii mema wakulima wote Tanzania, aidha wewe huenda hufahamu jinsi tunavyovuja jasho kwa mpini wa jembe la kutemea mate, tukiumia kwa jua, hali ngumu ya maisha, rushwa, n.k.
Jitathmini kabla ya hoja zako mfu.
Kwa pamoja sisi wakulima wa Mambegwa mji mpya Kata ya Msowero, Kilosa MOROGORO tunamwomba sana mama aje huku atusaidie na hawa wala rushwa. Ni wana kamnyororo kao karefu, kanaanzia kwa mkurugenzi, mapolisi, Mkuu wa Wilaya n.k.
Mama, tunafahamu uu msikivu, machawa wasikupotoshe, tunakuomba sana sana uje utunusuru na hili janga, kwani miaka nenda miaka rudi, migogoro mingi ya ardhi ipo KILOSA MOROGORO tu. Tunaamini utaleta mwaribaini, Habari ya Dr. Bashiru isiwe nongwa kwa sisi kuumizwa ktk mkoa wetu na nchi yetu.
Hadi tunajiuliza, je, tuhamie ama tuende wapi?
 
Bila shaka MVIWATA Wana ajenda ya kisiasa, na Wana Wana Siasa wao ambao wanaitumia taasisi hiyo kwa malengo ya kisiasa ya kuharibu amani na utangamano.

Taasisi hii inawatumia wakulima kama chambo tu, na inajifanya kwamba ni taasisi ya wakulima, kumbe ukiiondolea blanket(lifting the veil), MVIWATA ni chama Cha Siasa au ni mkono wa chama Cha kisiasa, chenye Nia ya kurubuni wakulima.

Sasa kama ni chama Cha kisiasa au ni taasisi ya chama Cha kisiasa, bila shaka dola Ina haki ya kukipiga Pini za aina zote kisiasa.

Si ajabu wanasiasa wanafichia au kupitishia Hela zao MVIWATA

Serikali iifunue hii taasisi, watu wanaohusiana nayo, vyanzo vya mapato, na malengo yao kwa nchi hii, na wanasiasa walioianzisha, na jinsi wanavyoitumia.

Kwa kuwa wameamua kuanzisha vita ,basi mbwai na iwe mbwai, fita ni fita mura. Nina imani serikali itafanya kitu, na wao watajua
Kwa ile clip ya dakika 1 ndiyo umeyajua yote haya?
 
Wewe chiembe!
Acha ujuha wako

Kanuni ya Uvccm uk 12 ibara ya 10 (1)(4)

Masharti ya uanachama kijana yeyote ambaye ni raia wa Tanzania mwenye umri usiopungua miaka 14 na USIOZIDI miaka 35 anaweza kuwa mwanachama wa UVCCM iwapo anakubali imani malengo na madhumuni ya CCM.

Awe kijana anayeheshimu watu mwenye tabia nzuri muaminifu , muadilifu mwenye kauli na vitendo vizuri mbele ya jamii.

Kanuni UVCCM uk 15 ibara ya 12 (1)
Kutoka katika Uvccm KUVUKA UMRI ulioainishwa kwa mujibu wa kanuni ya Uvccm.

Ibara ya 14(e) uk 17
Wajibu wa mwana chama kukubali kusahihishwa na kujisahihisha na inapobidi kukubali kuwajibika.

Ibara 14 (b) kuilinda na kutii katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na katiba ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Ibara 17 (b)(c)(e)
Awe aliyetosheka asiye tawaliwa na tamaa.
Awe muadilifu mkweli na mwaminifu kwa UVCCM na CCM, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Katika kipindi chake cha Uongozi AWE NA UMRI USIO ZIDI MIAKA 14 KUMALIZIA AKIWA CHINI YA MIAKA 35 (uk 20)

Ibara 18 (a) uk 21
Ni mwiko kwa kiongozi wa Uvccm kutumia madaraka aliyopewa kwa manufaa yake binafsi au kwa namna yeyote ambayo ni kinyume na lengo lililo kusudiwa na madaraka hayo.

Je wewe Chinembe umejipima kama unatoshea hayo mambo!View attachment 2424295
 
Back
Top Bottom