Serikali ijiridhishe kwanza kabla ya kusukuma jambo kwa wananchi

Serikali ijiridhishe kwanza kabla ya kusukuma jambo kwa wananchi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Serikali sio kitu cha mchezomchezo kinachopaswa kutiliwa mashaka na wananchi. Watu wote wanaojiita "sisi Serikali" lazima mfanye utafiti wa kina kabla ya kutamka, kuagiza na kuutekeleza jambo kwa wananchi ili kuepuka wananchi kuitilia mashaka Serikali Yao.

Sio jambo Jena kwa Serikali kuomba radhi watu wake kwa makosa ya kusema, kuagiza au kutekeleza jambo kimakosa au kwa mapungufu,
 
Serikali sio kitu Cha mchezomchezo kinachopaswa kutiliwa mashaka na wananchi. Watu wote wanaojiita "sisi serikali" lazima mfanye utafiti wa kina kabla ya kutamka, kuagiza na kuutekeleza jambo kwa wananchi ili kuepuka wananchi kuitilia mashaka serikali Yao.

Sio jambo Jena kwa serikali kuomba radhi watu wake kwa makosa ya kusema, kuagiza au kutekeleza jambo kimakisa au kwa mapungufu,
Sometime hutokea kwa serikali kuamini sera zake zitafanikisha jambo lakini hukumbana na upinzani wa Wananchi hivyo kuilazimu kubadili gia..

Hii imetokea hata Uingereza juzi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-222017.png
    Screenshot_20221003-222017.png
    85.2 KB · Views: 3
Sometime hutokea kwa serikali kuamini sera zake zitafanikisha jambo lakini hukumbana na upinzani wa Wananchi hivyo kuilazimu kubadili gia..

Hii imetokea hata Uingereza juzi 👇
Ni kweli, lakini siku zote na mara zote serikali inapokosea au kudanganya mara kwa mara huwa inapunguza imani kwa wananchi wake. Kuna viongozi wengi wanajiita "sisi serikali" wanapojibu hoja za wananchi, watu hawa lazima wajitahidi kuwa na uhakika juu ya majibu yao, ahadi zao na maagizo yao kwa wananchi. Mfano, kuna Mkuu wa Wilaya mmoja alitembelea kijiji kimoja mwezi Juni, 2022, wananchi wakamuuliza je, umeme kwao utawaka lini hasa baada ya nguzo za umeme kusimikwa kijijini hapo kwa mwaka mmoja sasa bila nyaya za umeme. Mheshimiwa akawajibu umeme utawaka kijijini hapo mwezi September, 2022. Lakini mpaka leo umeme hakuna na nyaya za umeme hazijafungwa kwenye nguzi, wala hakuna feedback yoyote kwa wananchi wale juu ya kwanini umeme wala nyaya kwenye nguzo hakuna. Wananchi wanasema serikali yao inawadanganya kumbe ni mkuu wa wilaya yule hakuwa makini wakati wa kuwajibu wananchi wake.
 
Sometime hutokea kwa serikali kuamini sera zake zitafanikisha jambo lakini hukumbana na upinzani wa Wananchi hivyo kuilazimu kubadili gia..

Hii imetokea hata Uingereza juzi 👇
Tofauti ya huko na huku ni kwamba huku serikalini kila mtu anabwabwaja (sijui kama nipo sahh kutumia hilo neno) anavyo jisikia na sivyo inavyo takiwa wamefanya nchi imekuwa ya matamko yasio tekelezeka na uongo mwingi. Mfano waziri anaweza simama na kudanganya umma kuwa wananchi wamekubari kitu flan huku Hao Hao wananchi wanakilalamikia hicho kitu
 
Tofauti ya huko na huku ni kwamba huku serikalini kila mtu anabwabwaja (sijui kama nipo sahh kutumia hilo neno) anavyo jisikia na sivyo inavyo takiwa wamefanya nchi imekuwa ya matamko yasio tekelezeka na uongo mwingi. Mfano waziri anaweza simama na kudanganya umma kuwa wananchi wamekubari kitu flan huku Hao Hao wananchi wanakilalamikia hicho kitu
Kama matamko yapi?
 
Ni kweli, lakini siku zote na mara zote serikali inapokosea au kudanganya mara kwa mara huwa inapunguza imani kwa wananchi wake. Kuna viongozi wengi wanajiita "sisi serikali" wanapojibu hoja za wananchi, watu hawa lazima wajitahidi kuwa na uhakika juu ya majibu yao, ahadi zao na maagizo yao kwa wananchi. Mfano, kuna Mkuu wa Wilaya mmoja alitembelea kijiji kimoja mwezi Juni, 2022, wananchi wakamuuliza je, umeme kwao utawaka lini hasa baada ya nguzo za umeme kusimikwa kijijini hapo kwa mwaka mmoja sasa bila nyaya za umeme. Mheshimiwa akawajibu umeme utawaka kijijini hapo mwezi September, 2022. Lakini mpaka leo umeme hakuna na nyaya za umeme hazijafungwa kwenye nguzi, wala hakuna feedback yoyote kwa wananchi wale juu ya kwanini umeme wala nyaya kwenye nguzo hakuna. Wananchi wanasema serikali yao inawadanganya kumbe ni mkuu wa wilaya yule hakuwa makini wakati wa kuwajibu wananchi wake.
Sasa neno kudanganya sio sawa ila kukosea Kosea..
 
Vyote ulivyotaja vimefanyaje sasa
"serikali" inasukuma kwa wanachi tozo/kodi, kesho yake wananchi wanalalamika na "serikali" inakiri kuwa tulikosea sehemu fulani wacha tupunguze na kufuta baadhi ya tozo/kodi. Hii ni kuonyesha kuwa "serikali" haiko makini mbele ya wananchi, wamachinga wamerudi barabarabani au hawakurudi? SGR/bwawa tuliambiwa vitanza kufanya kazi lini?
 
"serikali" inasukuma kwa wanachi tozo/kodi, kesho yake wananchi wanalalamika na "serikali" inakiri kuwa tulikosea sehemu fulani wacha tupunguze na kufuta baadhi ya tozo/kodi. Hii ni kuonyesha kuwa "serikali" haiko makini mbele ya wananchi, wamachinga wamerudi barabarabani au hawakurudi? SGR/bwawa tuliambiwa vitanza kufanya kazi lini?
Sawa sasa inahusikaje na mada?
 
Kama matamko yapi?
Limeisha jibiwa 👇👇
Vyote ulivyotaja vimefanyaje sasa
"serikali" inasukuma kwa wanachi tozo/kodi, kesho yake wananchi wanalalamika na "serikali" inakiri kuwa tulikosea sehemu fulani wacha tupunguze na kufuta baadhi ya tozo/kodi. Hii ni kuonyesha kuwa "serikali" haiko makini mbele ya wananchi, wamachinga wamerudi barabarabani au hawakurudi? SGR/bwawa tuliambiwa vitanza kufanya kazi lini?
Labda kwa kuongezea hapo kwenye tozo serikali hiyo hyo ndio ilisema wananchi wameipikea tozo kwa mikono miwili na wamekubaliana nayo (wakati wananchi wanazilalamikia) alafu baadae serikali hyo hyo ikaja kuzifuta na kuzipunguza baada ya wananchi kuzilalamikia kwa kauli ya tumesikia kilio cha wananchi. Sasa jiulize ni kilio cha wananchi gani Hao wakati walisema wanachi wamezipokea na kuzikubari kwa mikono miwili? Ama sisi wananchi ndio vigeugeu?
 
Limeisha jibiwa 👇👇


Labda kwa kuongezea hapo kwenye tozo serikali hiyo hyo ndio ilisema wananchi wameipikea tozo kwa mikono miwili na wamekubaliana nayo (wakati wananchi wanazilalamikia) alafu baadae serikali hyo hyo ikaja kuzifuta na kuzipunguza baada ya wananchi kuzilalamikia kwa kauli ya tumesikia kilio cha wananchi. Sasa jiulize ni kilio cha wananchi gani Hao wakati walisema wanachi wamezipokea na kuzikubari kwa mikono miwili? Ama sisi wananchi ndio vigeugeu?
wameshajua wananchi wa tz hawana madhara
 
Back
Top Bottom