Serikali ikiendelea kuwachekea hawa masheikh ikiamini wanaisaidia serikali watazalisha tatizo ambalo hawataweza kulitibu

Acheni kulia lia.Mumebanwa kwa hoja.
 
Hilo kwako umeliona ni baya, lkn viongoz hao hao wa dini wa upande wa pili kuongelea mamb ya serikali umeona ni sahihi ? Ila wanaojibu nd sio sahihi! Jitafakari
Wamebanwa kwa hoja.Ndio.wanalia lia.
 
Acha kulia lia.
 
Wagalatia wakiongea wanaona sawa ila wengine wakiongea ndio uchochezi,halafu hawa hawa ndio kila siku wanadai uhuru wa maoni,haya ni maajabu aisee.
Inasikitisha sana, mtoa mada kasema wakutoa majibu ya serikali ni serikali na sio viongozi wa dini! Hivyo hili swala lisifumbiwe macho wapigwe marufuku!!

SAsa Hapo huelewi nini wewe kijukuu cha mtume? Au unacho jua ni Quran tu! Vingine havikuhusu?
 
Mbona viongozi wa dini ya upande wa pili ndio wanapinga zaidi hii issue? Jiulize hilo hilo swali ulilojiuliza,au kwa vile ni kampuni ya Dubai? Au kwa vile ni wa dini ingine?
Umemjibu vizuri.Wamebanwa hawana hoja,wanalia lia.
 
Apa ndio napaona mwisho wa ccm 2025 avuki
 
Mbona viongozi wa dini ya upande wa pili ndio wanapinga zaidi hii issue? Jiulize hilo hilo swali ulilojiuliza,au kwa vile ni kampuni ya Dubai? Au kwa vile ni wa dini ingine?
Usiwe mpumbavu kiasi hichi bandari sio ya waislam au wakristo hili ni swala la kitaifa watanzania wote waliousoma mkataba huu wanapinga mkataba huu
 
Wewe Dubai unaiona kwenye picha tu wala huijui,so u better shut the fk,

Ndio waambie kua Dubai sio waislamu,so waache kupinga.
Nawajua wachagga Wengi wenye Mashamba ya nguruwe Moshi na Wanaishi Dubai

Waislam wako Afghanistan Iran Palestine na Somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…