Serikali ikiendelea kuwachekea hawa masheikh ikiamini wanaisaidia serikali watazalisha tatizo ambalo hawataweza kulitibu

Mbona viongozi wa dini ya upande wa pili ndio wanapinga zaidi hii issue? Jiulize hilo hilo swali ulilojiuliza,au kwa vile ni kampuni ya Dubai? Au kwa vile ni wa dini ingine?
Kwenye huo mkataba kina vifungu vya kiisilamu? Viongozi wanaopinga wanaweka bayana kabisa kuwa huo mkataba una mapungufu. Labda useme kuna vifungu vya kulinda uislamu, hivyo maaskofu wakiupinga moja kwa moja wanapinga uislamu.
 
Hili swala halina ubishi udini ni nje nje...time wl tell....maana kuna upande wanaona ndo time ya kustawisha dini yao...
DPW ina ajenda iliyojificha, ndio maana waislam wengi wanaunga mkono ujambazi huu.
Nchi hii ni yetu...
Sio ya Wavatican wala Waarabu.

Kutetea mrengo wa dini yako kuuziwa nchi ni upuuzi mkubwa
 
Elimu ni kuzaliwa nao.Waweza soma usielimike.
 
Kwenye huo mkataba kina vifungu vya kiisilamu? Viongozi wanaopinga wanaweka bayana kabisa kuwa huo mkataba una mapungufu. Labda useme kuna vifungu vya kulinda uislamu, hivyo maaskofu wakiupinga moja kwa moja wanapinga uislamu.
Soma tena comment yangu uielewe,acha kukurupuka.
 
Siyo mashekh tu serikali ikicheka na hawa wote wanaoutumia uhuru vibaya kutukana Viongozi na kuongea kashfa itavuna mabua. Magufuli alikua na akili sana kuwadhibiti hawa wakina Tundu Lissu
Viongozi wanaingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi wana heshima ipi? Kuingia madarakani kwa kupora chaguzi ni zaidi ya matusi. Magu alikuwa ni shetani katika umbile la binadamu. Hapa tunaongelea binadamu sio shetani.
 
Kwenye huo mkataba kina vifungu vya kiisilamu? Viongozi wanaopinga wanaweka bayana kabisa kuwa huo mkataba una mapungufu. Labda useme kuna vifungu vya kulinda uislamu, hivyo maaskofu wakiupinga moja kwa moja wanapinga uislamu.
Hawana hoja,wanapinga mkataba,usiwepo,bila kutizama faida yake kwa mtu wa hali yachini.
 
DPW ina ajenda iliyojificha, ndio maana waislam wengi wanaunga mkono ujambazi huu.
Nchi hii ni yetu...
Sio ya Wavatican wala Waarabu.

Kutetea mrengo wa dini yako kuuziwa nchi ni upuuzi mkubwa
Acha kulia lia,mnatetea majizi wa bandarini.
 
Rabbish kabisa... Mnakalilishwa quran, imeandikwa kiarabu na hamuelewi.. shule hamtaki.. mnategea mtakuwa sawasawa kweli kichwani?
Wewe si umekaririshwa kua mafuta ya upako na maji ya upako yanakupa utajiri hata bila kufanya kazi?

Huko Shule ndio walikufundisha kuandika Rabbish badala ya Rubbish?
 
Hao masheikh wakioewa hayo mikataba wanajua kuisoma na kuichambua au wasomewa tuu? Au wameshaisoma tayari ? Tuanzie hapo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengi ya kujifunza R.I.P JPM.
 
S
Mbona viongozi wa dini ya upande wa pili ndio wanapinga zaidi hii issue? Jiulize hilo hilo swali ulilojiuliza,au kwa vile ni kampuni ya Dubai? Au kwa vile ni wa dini ingine?
Siyo kweli, kwani haukusikia wazee wa kiislamu akiwemo shekhe Pondo nao walikosoa mkataba huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…