David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
hapo mkiu tena kibiti hakuna eneo lenye thamani ya bil 2 ,hivi bil 2 inaichukuliaje mzee?wenyeji. Baada ya mahangiko sana nilifaniķiwa kupata shamba la ekari mbili barabarani karibu na kiwanda cha wachina cha kutengeneza vigae pale kijiji cha Mkiu wilayani Mkuranga kama kilometa 110 kutoka Temeke. Kuna mhindi analitaka eneo langu kwa Tzs. 2 bilioni lakini nimemwambia mimi siliuzi nataka kuweka kiwanda cha maji ya kunywa.
Pole sana!hapo mkiu tena kibiti hakuna eneo lenye thamani ya bil 2 ,hivi bil 2 inaichukuliaje mzee?
Tatizo upeo wako mdogo,hujaelewa mada unaleta historia ya temeke ya jabla ya uhuru,soma uzi vizuri uelewe,nimezaliwa mjini nitafia mjini nitazikwa mjini ,nchi ina vilaza sana hii mnajitungia majibu out of context stupid,soma uzi uelewe the themeUkisoma mwandiko wake utajua tu kaja Dar ukubwani. Ukimweleza utamchanganya!
Sio pole ,hiyo mitaa nailewa vizuri sana hakuna ekari zilizopo barabarani zenye thamani ya bil 2.Pole sana!
Ulikuja na sasa upo kijini. Bado una stori za kizamani sasa braza. Mji umeshabadilika. Hapo zamani taifa ndio ilikuwa pembeni mwa mji huko Ununio kulikuwa kuna mashamba ya korosho na mpunga. Sasa hivi hapo taifa ni mjini tunaita CBD (mzingo wa kilometa 30 toka postal yote CBD) na hapo ulipojengwa unafikika kirahisi kuna highway,hakuna msongamano wa makazi ya watu.Nimekuja dar kutokea wapi,??mi ninezaliwa dar enzi hizo mzani uko ubungo stendi ya mkoa ikiwa kisutu na mnazi mmoja,sinema tukiendq avalon,new chox,empire,empress,drive in,cameo na star light,nimesomea mnazi mmoja primaryna Tambaza i,Temeke ni wilaya ibaongoza kwa wahuni na maisha duni,wahuni wa kinondoni na mwananyamala wana unafuu sana na n8 asilimia ndogo mno,we umeongelea kinondoni kama kata,mi naongelea temeke kama wilaya,ukitoa kijichi na chang'ombe hakuna sehemu naweza kuishi
Kuna tofauti ya bei wakati mwenye eneo akitangaza analiuza na wakati mteja anataka eneo ambalo mmiliki haliuzi na wala hajatangaza kuuza. Ila mteja analitaka. Ndiyo maana mchangiaji mmoja amesema kuna waliokuja mjini hivi karibuni haya mambo hawayajui kabisa kama wewe usivyojua hili. Halafu usisahau mmiliki wa eneo hilo makazi yangu yako mjini Dar Temeke halafu ni mhuni kwa sasa niko Washington DC.hapo mkiu tena kibiti hakuna eneo lenye thamani ya bil 2 ,hivi bil 2 inaichukuliaje mzee?
Huijui TMK weweJenga hoja mkuu,bi wilaya gani ina maisha duni kuzidi Temeke kwa Dar es salaam
Nenda Tandale, kwa Tumbo, Mtogole, kwa alimaua uone umaskini ulivyokithiri, sasa sijui na hapo NI TMK?Jenga hoja mkuu,bi wilaya gani ina maisha duni kuzidi Temeke kwa Dar es salaam
Ni watu wangapi wanaishi CBD,mwenge ina wakazi wengi kuliko CBD,watu hutokea najumbani kwenda mpirani hawatokei makazini,naijua Dar kuliko unavyodhani,niliwahi kuendesha ubber achilia mbali kuzaliwa kukulia DarUlikuja na sasa upo kijini. Bado una stori za kizamani sasa braza. Mji umeshabadilika. Hapo zamani taifa ndio ilikuwa pembeni mwa mji huko Ununio kulikuwa kuna mashamba ya korosho na mpunga. Sasa hivi hapo taifa ni mjini tunaita CBD (mzingo wa kilometa 30 toka postal yote CBD) na hapo ulipojengwa unafikika kirahisi kuna highway,hakuna msongamano wa makazi ya watu.
Endelea kulima mpunga stori za mjini huzijui.
Yapi maeneo ya TEMEKE ambayo NI maskini kuliko hayo niliokutajia!!?Wahuni wa tandake na mwananyamala hawaondoi maana ya kwanba temeje ni shwari,kwa ufupi hayo maeneo ni ushenzini
Kuwa na adabuTMk ni ushenzini tu mkuu
Kumbe dreva wa Uber! Kwanza angalia inavyoandikwa! Hujui hata kuiandika! Bado una maziwa ya mama mdomoni! Hujui kula chapati kwa mchuzi! Hayo maneno uliwahi kuyasikia?Ni watu wangapi wanaishi CBD,mwenge ina wakazi wengi kuliko CBD,watu hutokea najumbani kwenda mpirani hawatokei makazini,naijua Dar kuliko unavyodhani,niliwahi kuendesha ubber achilia mbali kuzaliwa kukulia Dar
Uhuni siyo wizi. Hata kwa Masaki wezi wapo mbona.Huu uzi mnatusagia kunguni sana sisi wakazi wa mitaa ya sudani , kwamba tupo uswekeni sana, sisi ni wahuni mno.
Jama jama, haya tukutane kwa mkapa dadeki.
NB. Ficha sana simu yako.
Kibongobongo uhuni ni pamoja na wiziUhuni siyo wizi. Hata kwa Masaki wezi wapo mbona.
Wanaishi wapi sasa hivi?Wewe ndio huelewi Tatizo mnachoangalia ni kwamba Kwa Mkapa Ipo karibu na Mjini...Hamjui kuwa saivi watu wengi hawaishi Posta wala Kkoo.