Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

Duh,
Kama kukiwa na kundi lingine tofauti na vyombo vya dola itakuwa ni hatari zaidi.

Je, watakuwa wanateka kwa niaba ya nani na kwa malengo gani?
ULizq leo South africa ni watu wangapi wanatekwa kila siku, huko imefikia mahali kumteka mtu ni kama tu kukwapua simu, ni jambo la kawaida sana, sasa tusiombe hawa wahuni wa kwetu nao waka advance na kuwa proffesional kidnapers, tutakwisha, hata hivyo, kuna watu ambao labda wapo kwenye moja ya vyombo vya dola wanaotumia gap hiyo kufanya mishe zao binafsi za utekaji,na hao ni hatari zaidi, maana wakiona kuna hatari ya kuwa exposed wanaweza kumuua victim kabisa ili kupoteza ushahidi, its so bad though!
 
Tatizo sio baraka, shida ilipo ni kwamba hata wewe unaweza kuteka mtu ukampoteza(sababu za kufanya hivyo ni zako binafsi)

mtu huyo uliye mteka na kumpoteza kama ana julikana alikuwa anatoa kauli za kupinga mienendo ovu ya serikali, basi polisi hawata jihusisha na hiyo kesi wakizani ni kikosi kazi chao ndio kimetekeleza hiyo mission.

Point ya msingi ni kwamba mtu mwenye nia ovu anaweza take advantage ya watu kupote halafu polisi wako kimya.

mfano kama mdude akiwa anakupigia mke wako, mkimpoteza wewe binafsi Polisi wala hawata jihangaisha na wewe watajua tu ni task force imefanya yao.

Ni jukumu la polisi kulinda usalama wa watu wote hata kama watu hao ni wahalifu.
Lakini kwa hiyo ni official kwamba kuna hiyo task force ambayo kazi yake ndiyo hiyo ya kuteka watu?
 
Tatizo sio baraka, shida ilipo ni kwamba hata wewe unaweza kuteka mtu ukampoteza(sababu za kufanya hivyo ni zako binafsi)

mtu huyo uliye mteka na kumpoteza kama ana julikana alikuwa anatoa kauli za kupinga mienendo ovu ya serikali, basi polisi hawata jihusisha na hiyo kesi wakizani ni kikosi kazi chao ndio kimetekeleza hiyo mission.

Point ya msingi ni kwamba mtu mwenye nia ovu anaweza take advantage ya watu kupote halafu polisi wako kimya.

mfano kama mdude akiwa anakupigia mke wako, mkimpoteza wewe binafsi Polisi wala hawata jihangaisha na wewe watajua tu ni task force imefanya yao.

Ni jukumu la polisi kulinda usalama wa watu wote hata kama watu hao ni wahalifu.
Wewe ukipigiwa mkeo utamteka mgoni wako na kumuuwa au kumfanyia kama ya akina Nyundo? 🐼
 
Waanzilishi wa mchezo huu ni CCM na awamu ya 5 na unawatesa kweli kweli.
Baba mwenye nyumba ukianza kulala na wapangaji na Vijana wako wakajua, utapata wapi nguvu za kukemea watoto wako wa kiume wakilala na wafanyakazi wa ndani na wa kike watakapolala na wapangaji wa kiume.

Hiki ndicho kilichotokea kwenye sakata la Singida na mengine ambayo serikali inayavumbua na kutangaza matukio ambayo awali walisema watu wanaolalamika Wana lengo la kuzusha taharuki.

Maneno hayo yenye lengo la kuficha maovu ya vyombo vya Dola, yalisaidia waovu nje ya serikali kujiona wako salama na kuendelea mauaji huku vyombo vya Dola vikikaa kimya Kwa kudhani waliofanya ni wenzoo.

Dhambi husababisha aibu katika kuchukua hatua.
 
Sijawahi kusikia Serikali ikitoa Baraka kwa Utekaji
Ni ajabu kwa serikali (imara) ya kidikteta kutumia mkakati wa vurugu (anarchy) kujiimarisha madarakani.

Anarchists kawaida ni anti-government.

Yajayo yanafurahisha.😎
 
Haya mambo ya kutekana ni ushamba...na hii ni hatari sana maana km tusipo piga kelele haya mambo yaishe huko tuendako ni kubaya sana maana hakuna atakaye kua salama.Nashangaa serikali kama iko kimya kwa swala hili.
Kibiti tulipiga kelele sana mambo haya yakakomeshwa sasa hili mbona limekua sugu.
 
Back
Top Bottom