Serikali imegharamia safari ya kwenda Afrika Kusini kwa mashabiki 48 wa Yanga SC

Serikali imegharamia safari ya kwenda Afrika Kusini kwa mashabiki 48 wa Yanga SC

Southern Giant

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
621
Reaction score
1,298
Rais wa Yanga Sc Eng Hersi Said amesema kuwa serikali imekubali kugharamia mashabiki watakao safiri na Timu kwa njia ya basi kutoka Dar es Salaam Hadi Afrika Kusini kwenda kushangilia Timu ya Yanga Itakayo pambana na Masandawana katika hatua ya robo fainali ya mkondo wa pili itakayopigwa 5/4/2024.

Awali gharama za safari hiyo ilikuwa Tsh laki 6 kwa kila shabiki ambapo laki tatu ni gharama ya kwenda na laki tatu ni ya kurudina Sasa pesa hizo zitarudishwa kwa mashabiki 30 ambao walitoa awali, hawa mashabiki 30 watakua kipaumbele cha kwanza cha watakao safiri na timu mbali na hayo gharama ya watu waliobakia 18 klabu itaangalia makundi maalum kutoka katika watu wa hamasa, na idara nyingine mbalimbali katika klabu.

 
Rais wa Yanga Sc Eng Hersi Said amesema kuwa serikali imekubali kugharamia mashabiki watakao safiri na Timu kwa njia ya basi kutoka Dar es Salaam Hadi Afrika Kusini kwenda kushangilia Timu ya Yanga Itakayo pambana na Masandawana katika hatua ya robo fainali ya mkondo wa pili itakayopigwa 5/4/2024.

Awali gharama za safari hiyo ilikuwa Tsh laki 6 kwa kila shabiki ambapo laki tatu ni gharama ya kwenda na laki tatu ni ya kurudina Sasa pesa hizo zitarudishwa kwa mashabiki 30 ambao walitoa awali, hawa mashabiki 30 watakua kipaumbele cha kwanza cha watakao safiri na timu mbali na hayo gharama ya watu waliobakia 18 klabu itaangalia makundi maalum kutoka katika watu wa hamasa, na idara nyingine mbalimbali katika klabu.
Sawa, ila sema nini, tarehe ya leo inanipa mashaka ..!!
 
Rais wa Yanga Sc Eng Hersi Said amesema kuwa serikali imekubali kugharamia mashabiki watakao safiri na Timu kwa njia ya basi kutoka Dar es Salaam Hadi Afrika Kusini kwenda kushangilia Timu ya Yanga Itakayo pambana na Masandawana katika hatua ya robo fainali ya mkondo wa pili itakayopigwa 5/4/2024.

Awali gharama za safari hiyo ilikuwa Tsh laki 6 kwa kila shabiki ambapo laki tatu ni gharama ya kwenda na laki tatu ni ya kurudina Sasa pesa hizo zitarudishwa kwa mashabiki 30 ambao walitoa awali, hawa mashabiki 30 watakua kipaumbele cha kwanza cha watakao safiri na timu mbali na hayo gharama ya watu waliobakia 18 klabu itaangalia makundi maalum kutoka katika watu wa hamasa, na idara nyingine mbalimbali katika klabu.
Ni jambo jema
 
Naomba tuheshimiane. April fool mwisho sanne asubuhi. Kwenye tangazo waambie modi wa update heading ianze na neno "siku ya wajinga duniani,,,," Halafu cha ajabu wengi hapa mmejazwa na mkajaa mazima
 
Naomba tuheshimiane. April fool mwisho sanne asubuhi. Kwenye tangazo waambie modi wa update heading ianze na neno "siku ya wajinga duniani,,,," Halafu cha ajabu wengi hapa mmejazwa na mkajaa mazima
Aaahaa
 
Serikali ishaona Tz kuna Simba na Yanga tu so wanacheza mind game ili tusijadili mambo ya nchi tujadili ujinga ujinga! Ukiwauliza bajeti imetoka wp unaambiwa ww ni Simba
 
Back
Top Bottom