Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Uganda kwenye wakiristo wengi kaenda na wanaoenda kanisani kila siku, seuze weye hata kanisani hukujui unakuja na utumbo huu.
Hana impact yoyote kwenye jamii pia maoni ya watu na malalamiko yamebadili mtazamo wa kwanza kuhusu huo ugeni kwani sasa sio mdaharo ila ni muhadhara.

Sijui kwanini jamii ya kikristo unamuhofia japo binafsi sikuwa nimepemdezwa kuwa mdaharo na hakuna mtu mwingine anayefanya naye mdaharo toka upande wa kikristo.

Nilimpigia simu yule shehe anayeratibu nikamuomba aniweke ili ni debate naye akakataa akasema sio mdaharo ni Mhadhara.
Screenshot_20241229_091153_Truecaller.jpg
 
Tofautisha kutapeli pesa na kuleta mahubiri ya chuki,kama nakuja tu kuongelea habari za Uislamu na Mohamed tu na akusanye sadaka asepe sidhani kama kuna takayelalamika.
Wakristo waoga saana kukutana na ukweli mnakimbilia kuchochea chuki, mfano mkubwa huu mtandao wa jf ufungiwe kwakua members wanatukana saana uslam, shida waislam hawawezi tukana ukristo! So tuliza mshono
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
Wewe Kafiri acha kutema matapishi hapa kwa chuki za kijinga,

Hao mitume wenu mbona hua hulalamiki?

Yule Kiboko ya wachawi kutoka DRC aliwapiga hela watu kisha akarudi kwao na kuwacheka ulitoa hili povu?

Mwaka 2020 kule Moshi walikufa watu 20 wakigombania kupaka mafuta ya upako,ulitoa hili povu? hao mitume wenu kila siku wanajaza watu na kuwauzia udongo na mafuta,mbona hua upo kimya?
 
Hiyo mada yenyewe tayari imeonyesha kuwa ni kupandikiza chuki au kuleta taharuki za kidini nchini,huyo jamaa ni muslim unadhani ataongea jema gani dhidi ya upande mwingine,!?
Mbaya zaidi hii ishu inakuwa promoted all over the country kwa kupitia media maana yake watu wengi wataifuatilia matokeo yake ni nini,
Tutachukiana sana huku mtaani nani atakubali upande wake ufeli au uonekane inferior..
Hizo chuki zenu kwa waislamu ndio zimeanza leo tu? unataka kusema hizo chuki hazikuwepo ila zimekuwepo baada ya huyo muhubiri anayekuja? hao wachungaji wenu mbona waislamu hua hawalalamiki? TB Joshua alikuja,nani alilalamika?
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
Ni Moja wapo wa wachochezi wakubwa duniani na wachafuaji wa Imani za watu wengine. Sijui bongo kaletwa na nani na kwa madhumini gani. IMANI YETU TUILINDE.
 
Nenda kajenge hoja acha sigara
Nashanga humu JF ni mahodari kuukashifu na kuutukana Uislamu na Kiongozi wake mkuu. Leo mtetezi anakuja badala waende wakamprove wrong, wanaililia Serikali.
Na tulishakubaliana Allah ndie amaepiganiwa kwa sababu hawezi kujipigania ila Yesu anajipigania yeye mwenyewe.
 
Vitu vingine vya kipumbavu kabisa sasa huo mdahalo una faida gani kwa taifa hadi uruhusiwe kufanyika tena kwenye uwanja wa mpira ambao unapaswa kua kwenye hali nzuri kwa ajili ya mashindano yajayo 🤔🤔 mijadala kama hiyo haipaswi kuruhusiwa inaletaga chuki tuu kati ya watu na ukitegemea mtu mwenyewe huyo aliealikwa ni gaidi lenye misimamo mikali serikali ingepiga marufuku tuu huo upuuzi
Watawala waliopo wanapendelea nchi isitawalike, kwa kuinufaisha dini moja. Au ni mkakati wa wazungu kumvuruga na kumharibu mtu mweusi, asiyejitambua wala kujisimamia. Tijuana na kupigana yeye anajichitoe tu, kama Congo DRC.
 
Naomba nikiri kwamba mm ni mkristo mpla dini. Huwa nafiadlia mafundisho yrke. kifupi ni mafundisho mazuri na siyo ya kigaidi kama mnavyokilia. Mwacheni aje afundishe/ ahubiri imani yake.
Nikubalieni na mimi niandae mafundisho dhidi ya dini zingine/uislam uwanja wa Mkapa.
 
Tofautisha kutapeli pesa na kuleta mahubiri ya chuki,kama nakuja tu kuongelea habari za Uislamu na Mohamed tu na akusanye sadaka asepe sidhani kama kuna takayelalamika.
Mimi sijalinganisha bali nimeonyesha tu kwamba nchi yetu kuna watu wanatumia mgongo wa dini kutapeli watu na kuwapotosha na wamekuwa wengi sana, na ukikosoa huo utapeli waumini wanakujia juu. Sasa katika nchi ambayo watu wake wamehalalisha hadi utapeli na upotoshaji kupitia imani za dini ndio tunajifanya tunapinga mahubiri tunayodai ya chuki?
 
Kwa hiyo ww kipimo cha uhalali wa kitu fulani ni razima kihalishwe na Uingereza na Canada?

Hayo mashitaka anayo tuhumiwa nayo yamechochewa kwa misingi ya kusiasa na chuki za kidini kwa sababu wahindi wanajulikana kwa chuki zao dhidi ya waisilam na wakristo.

Huyo muhubili emefanya ziara kwenye mataifa mengi mno yakiwemo mataifa yenye waisilam wachache sana sembuse Tz hii iliyo jaa waisilam?
Tanzania waislam ni 37% pekee ukiondoa Zanzibar nahisi wanaweza kufika 25%
 
Comment za humu zinaonyesha kwa kiasi gani wakristo wa TZ wanachuki na Waislam na kama chuki za kiwango hicho wangekuwa nazo Waislam wa TZ bac kingewaka
Kusikia muhubiri wa kiislam anakuja,chuki zimewajaa kama zote,
Kila siku wachungaji kutoka nje wanakuja ila huoni hili povu,

Yule Kiboko ya wachawi alitoka DRC akawapiga hela kisha akarudi kwao kuwacheka ila wala hawaoni tabu,kule moshi walikufa wato 20 kwa kukanyagana wakigombea kupaka mafuta ila hatukuona hili povu.
 
Back
Top Bottom