Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

Wewe kilaza hata TV ya huyo sheikh imepigwa marufuku na kufungiwa nchi nyingi tu zikiwemo Uingereza na Canada. Unaelewa tolerance kubwa ya kidini iliyopo Uingereza ukipigwa ban ina maana una matatizo makubwa sana??
Tangu wakati haijapigwa ban uliathirika nini na sasa imepigwa ban umefaidika nini kujitia kwenye mambo ya watu yasiyo wahusu huo unaitwa ni udwanzi wa kibongo kupenda umbeya na roho mbaya kwa mambo yasiyokuhusu!
 
Comment za humu zinaonyesha kwa kiasi gani wakristo wa TZ wanachuki na Waislam na kama chuki za kiwango hicho wangekuwa nazo Waislam wa TZ bac kingewaka
Kupingwa, kukosolewa, comedy za dini au hata kukejeliwa dini yako sio chuki, ni sehemu ya free speech. Chuki ni kuhamasisha vurugu(violence) pamoja na utengano kama alivyofanya huyu sheikh hapa
Screenshot_20241229-093228_X.jpg
 
Kupingwa, kukosolewa, comedy za dini au hata kukejeliwa dini yako sio chuki, ni sehemu ya free speech. Chuki ni kuhamasisha vurugu(violence) pamoja na utengano kama alivyofanya huyu sheikh hapa
View attachment 3187549
Usifiche chuki zako kwenye mwamvuli wa free speech hapo kama Marekani wanavyohamasisha ushoga chini ya mwamvuli wa haki za binadamu
 
Kupingwa, kukosolewa, comedy za dini au hata kukejeliwa dini yako sio chuki, ni sehemu ya free speech. Chuki ni kuhamasisha vurugu(violence) pamoja na utengano kama alivyofanya huyu sheikh hapa
View attachment 3187549
Hii umepost kwa lengo gani sasa? ndio huyo muhubiri atacontrol jeshi la Nigeria?

Punguza ujinga na utoto,naona huyo Muhubiri anakuhangaisha sana,unaumia ila huna hoja yeyote zaidi ya chuki za kijinga tu,fanya mambo yako.
 
Wakristo waoga saana kukutana na ukweli mnakimbilia kuchochea chuki, mfano mkubwa huu mtandao wa jf ufungiwe kwakua members wanatukana saana uslam, shida waislam hawawezi tukana ukristo! So tuliza mshono
Wewe una matatizo na sidhani kama una uelewa mzuri.Hapa kinachokwaza Watu ni Serikali kurasimisha mahubiri ya chuki.kwani jf ni Serikali?mbona midahalo hiyo ya kijinga ipo mingi tu huko vijiweni,Watu tunasimama tunasikikiliza tunaenda zetu hatujalalamika.
 
Wewe Kafiri acha kutema matapishi hapa kwa chuki za kijinga,

Hao mitume wenu mbona hua hulalamiki?

Yule Kiboko ya wachawi kutoka DRC aliwapiga hela watu kisha akarudi kwao na kuwacheka ulitoa hili povu?

Mwaka 2020 kule Moshi walikufa watu 20 wakigombania kupaka mafuta ya upako,ulitoa hili povu? hao mitume wenu kila siku wanajaza watu na kuwauzia udongo na mafuta,mbona hua upo kimya?
Hayo yote hawaoni kuwa ni tatizo wamehalalisha kabisa watu waendelee kutapeliwa na kupotoshwa.
 
Hizo chuki zenu kwa waislamu ndio zimeanza leo tu? unataka kusema hizo chuki hazikuwepo ila zimekuwepo baada ya huyo muhubiri anayekuja? hao wachungaji wenu mbona waislamu hua hawalalamiki? TB Joshua alikuja,nani alilalamika?
Kwa hiyo hao mtume unaolalamikia ulishaona wanazungumzia mtume wenu Mohamed kwenye madhabahu yao?
 
Dah wakristo wanachuki kali sana,,,, sijui shida nini wanakondoo wa bwana!!
Mbona kitabu chenu kinafundisha upendo kila Kona,
Au nyie sio wafuasi wa kristu😥
Wakristo hatuna shida na huyo bwana kuja kufundisha, tunacholalamikia ni huyo jamaa kuwa muislamu halafu anataka kuleta mdahalo wa YESU KRISTO na Mohamed sasa huoni yeye hapo tayari ana upande wake wa kuusifia huku kwa ukristo kuuenezea chuki na mifarakano?
Kwa nini asijikite kwa mtume Mohamed pekee?
 
Amepigwa marufuku Bangladesh pia ambayo 90% ni Waislamu.
Basi huo ndo ushahidi tosha kuwa kesi zake zimechochewa kisasa.

Kama kweli India ingekuwa ina taka kukomesha vurugu za kidini ndani ya nchi yao inge anza kuwakamata viongozi wa kihindu ambao wamekuwa wakichochea vurugu dhidi ya waisilam nchini humo.
 
Kumbe unahisi nilifikiri unajua.
Twende taratibu bwana mkubwa;

Tanganyika uislam ule uliokomaa kabisa Upo mikoa hii;
Lindi,Mtwara,Pwani,Tanga na Dar japo kwa mbali sana……..Maana kwa sasa Dar Wakristo ni wengi sana kuliko Waislam kutoka na uvamizi mkubwa sana wa wageni toka mikoa mingine

Kanda ya Ziwa yote ni ukristo umeenea Tena kuna sehemu ukienda unaweza usikute msikiti ata mmoja

Kanda ya Magharibi pia hali ni hiyo hiyo,Ukristo ni mkubwa sana kuliko ata Uislam

Kanda ya kaskazini ukiiondoa Tanga ukristo umetamalaki kila sehemu na kuna sehemu ukifka ukasema wewe Muislam wataanza kujitenga na wewe kuwa una majini

Kanda ya Nyanda za Juu kusini,huku ndipo Ukristo umepanda juu sana………huku ukiwa Muislam wanakuona wewe kama gaidi tu
 
Kwa hiyo hao mtume unaolalamikia ulishaona wanazungumzia mtume wenu Mohamed kwenye madhabahu yao?
Usichokijua ni kwamba huyo Yesu anatambulika kwenye uislamu,

Wahubiri kama kina Mazinge wamekua wakifanya midahalo ya aina hiyo kwa miaka mingi ila hatujaona vurugu au watu kufa,ila kule Moshi walikufa watu 20 kwa kukanyagana kugombea mafuta,

Issue si mnaongelea amani?
 
Twende taratibu bwana mkubwa;

Tanganyika uislam ule uliokomaa kabisa Upo mikoa hii;
Lindi,Mtwara,Pwani,Tanga na Dar japo kwa mbali sana……..Maana kwa sasa Dar Wakristo ni wengi sana kuliko Waislam kutoka na uvamizi mkubwa sana wa wageni toka mikoa mingine

Kanda ya Ziwa yote ni ukristo umeenea Tena kuna sehemu ukienda unaweza usikute msikiti ata mmoja

Kanda ya Magharibi pia hali ni hiyo hiyo,Ukristo ni mkubwa sana kuliko ata Uislam

Kanda ya kaskazini ukiiondoa Tanga ukristo umetamalaki kila sehemu na kuna sehemu ukifka ukasema wewe Muislam wataanza kujitenga na wewe kuwa una majini

Kanda ya Nyanda za Juu kusini,huku ndipo Ukristo umepanda juu sana………huku ukiwa Muislam wanakuona wewe kama gaidi tu
Kwa hiyo hukuandika kua Unahisi? hili gazeti haliwezi kubadili hoja ya wewe kuandika kwa kuhisi na sio kwa kujua.
 
Kusikia muhubiri wa kiislam anakuja,chuki zimewajaa kama zote,
Kila siku wachungaji kutoka nje wanakuja ila huoni hili povu,

Yule Kiboko ya wachawi alitoka DRC akawapiga hela kisha akarudi kwao kuwacheka ila wala hawaoni tabu,kule moshi walikufa wato 20 kwa kukanyagana wakigombea kupaka mafuta ila hatukuona hili povu.
Iko tofauti ya wahubiri wa kikristo na kiislam. WAKRISTO hawana vita na madhehebu mengine. Wanamhubiri Yesu wao watu waokoke. Hawaanzishi vikundi vya misituni. Hawachinji waumini wao wakibadili dini.
 
Hakuna uhusiano baina ya Yesu kristo na Mohamed, huo mdahalo una ajenda ovu ya kueneza chuki za kidini na ugaidi. Watanzania hatukubaliani na mdahalo huo, serikali iupige marufuku. Lakini kwa kuwa serikali inaongozwa na wa dini hiyo hawawezi kuona HATARI YA KURUHUSU jambo baya kama hilo.
Ndiyo uende diamond jubilee ukambishie
 
Nimeona tangazo la Dr. Zakir Naik anayetafutwa kufikishwa mahakamani na mamlaka za nchi yake ya India tangu mwaka 2016 kwa makosa ya ugaidi, utakatishaji fedha na kauli za chuki kuwa nchini wiki ijayo kwa shughuli za kidini.

Hili jambo tumepima kama halitatuleta shida zinazoepukika na utata usio wa lazima na India ambao ni marafiki zetu wakubwa na washirika muhimu wa kibiashara na maendeleo?

View attachment 3187483
Ukifikiria kwa upande wa pili inaweza kuwa msaada kwetu kwa kuwatambua washirika wa mrengo huo na wadhamini wao pia.
Kama umewahi kucheza draft ni kawaida mtu kukubali aliwe kete yake moja ili apige tatu au zaidi za mpinzani
 
Back
Top Bottom