Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Inawezekana tatizo ni elimu, elimu ya darasani huwa wanaipiga teke..
Elimu ya darasani hunoa akili ambayo mtu huzaliwa nayo. Wapo watu wenye elimu hawana akili na vivyo hivyo kinyume chake.
Wewe katika kusoma kwako hujakutana na walimu hadi maprofesa ambao hawana akili?
 
Kwa hatua za awali Mhe. Rais ameona walipokosea wasaidizi wake, amejifunza kwa ndani nini jamii inataka, amewasikia viongozi wa kijamii na imani wanasimamia nini, lakini amewasikia wale wasaidizi wake bungeni walichangia nini; obviously amebaini wanaompotosha na kumchonganisha na jamii siyo wapinzani bali wasaidizi wake.
1689059655989.png
#4
 
Back
Top Bottom