Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Nimeona clip Mdee akiwa ktk mjadala na Spika Tulia.

Nikawaza hivi mambo muhimu kama hayo, akina Musukuma na akina Taletale ndo wabunge wetu wa kujadili[emoji38]

Ifike mahala, vigezo vya ubunge Bachelor degree iwe compulsory
 
"Serikali imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu" Hili jiwe ni zito mnoo 🤣🤣🤣🤣🤣
Je huo mkataba wa awali unaweza kutenguliwa? Vipi hiyo mingine 17 ambayo bado imefichwa?
 
Tuliona walichofanya wabunge Dodoma; tumeona wanachofanya wanazuoni kutoka kwenye dini na fani mbalimbali nchini. Wanajadili mule mule alipopita Mzee Mbowe na Lissu, tofauti ni kwamba wanazuoni wanawapiga shule mawaziri wakati wabunge waliwapigia makofi mawaziri bila kuwapa maarifa mapya.

Hiki kinachoendelea ni fedheha kwa bunge na wabunge; kwamba pamoja na kupitisha kumbe wao siyo final bali kazi yao ilikuwa rubber stamp au kukamilisha ratiba.

Goma limekuwa gumu na endapo Mbowe na Safu yao wataingia uwanjani kwenye mikutano ya adhara kwa agenda hii upo uwezekano pakatokea mmomonyoko mkubwa na makundi kuhusu bandari.

Changamoto kubwa ya Watanzania ni wanafiki wazuri; wakiona unataka kusikia habari hoja fulani nao wanakupigia makofi ila moyoni wana ukweli na wewe ukijiongezea unagundua huna watu nyuma yako.

Magufuli alisifika ila waliokuwa wanamsifu angewaruhusi wapige kura ya siri angelalamika kaibiwa kura kwa sababu baada ya kuondoka tu watu walewale waliokuwa mgongoni mwake walijitokeza kumkataa.

Kama walimkataa hadharani akiwa ameondoka je, walimpigia kura sirini? Kwa kuwa alifahamu fika kwamba amewakosea Watanzani aidha akiwa na nia nzuri au mbaya ndipo akaona njia sahihi ni kuchafua uchaguzi.

Kwa mantiki hii, hakuna mwenye uhakika wa nani ambaye anamkubali kiongozi wa CCM sirini. Wote tumebaki kusikia uungwaji mkono wa majukwaani ila unapokuja sirini hakuna mwenye uhakika wa kutoboa. Hii inatokana na ukweli kwamba tumewaweka makovu Watanzania kwa muda mrefu kwa kuwaaminisha tunafanya uwekezaji wenye tija matokeo yake hakuna tija.

Kwa hatua za awali Mhe. Rais ameona walipokosea wasaidizi wake, amejifunza kwa ndani nini jamii inataka, amewasikia viongozi wa kijamii na imani wanasimamia nini, lakini amewasikia wale wasaidizi wake bungeni walichangia nini; obviously amebaini wanaompotosha na kumchonganisha na jamii siyo wapinzani bali wasaidizi wake.

Inatia hasira unapodhani una wataalam wazuri kisha unagundua kazi waliyofanya inapigwa vita na kila msomi; swali la kujiuliza, hao wasomi walioteuliwa kukusaidia wameelimika? Wana exposure au wapo kwa sababu wapo?

Naamini soon Mwanasheria Mkuu wa Serikali na timu yake watapisha ofisi kwa kilichotokea, vinginevyo ikibainika mkataba haukuwa shirikishi, pamoja na kiburi cha kibinadamu bora tuchelewe kufika kuliko tufike tukiwa siyo wamoja.

Padri Kutima ametueleza Somalia na Sudan, mimi nataka niongeze Loliondo na Tarime mgodini, je, tunadhani ni nia zote nzuri ni nia nzuri?
Jambo hili si la kuenda kwa kasi
 
Binafsi nina chuki na kinachofanywa ni hili Bunge sema ndo kilio cha samaki,yaani walio wengi wamejawa na unafiki ili kujazisha mitumbo yao.
Nilianza kumuelewa Rais ili kwa hili 2025 hakuna kura nitaipeleka Ccm,,,na wasitegemee tumichezo tunachochezekaga huku kwenye vituo vya kura tutawaambua mchana kweupe
 
Imeisha hiyoo!! Zitabaki lawama tu lkn ngoma ishamalizwa.
Hakuna mkataba usio vujika duniani. Ukandamizwaji na kutojali vikizidi raia wenyewe huamua kuingia front. Unalielewa hilo?
 
useless
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    28.2 KB · Views: 2
Mh.Rais SSH ana mtihani mkubwa sana.....ila atauvuka aaamin aaamin[emoji120]

Maswali fikirishi.

Hivi wazanzibari ni raia wa daraja la pili katika JMT?!!!

Mbona wanaposhika madaraka makubwa huwa wanashambuliwa sana kwa hoja kuwa UWEZO WAO WA KIUONGOZI NI MDOGO...HAWANA MAAMUZI....WANAUZA NCHI....?!!!

Watanzania wasio wabaguzi wawe makini sana na haya mambo.....

#SayNoToRacism
#SayNoToBigotry

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama kiongozi, sidhani kama mtu kuhoji kwanini taa zako huzimi unazima zake huo ni ubaguzi!!
Leta tu majibu kwanini zako huzimi!
 
Hakuna mkataba usio vujika duniani. Ukandamizwaji na kutojali vikizidi raia wenyewe huamua kuingia front. Unalielewa hilo?
Hebu twende mdogo mdogo... Raia unaowazungumzia ni raia wa Nchi gan kwanza, Pia mikataba yote iwe mibovu au yenye maslahi kwa Taifa ukitaka kuvunjw mkataba unaelewa compensation zake?
 
Hebu twende mdogo mdogo... Raia unaowazungumzia ni raia wa Nchi gan kwanza, Pia mikataba yote iwe mibovu au yenye maslahi kwa Taifa ukitaka kuvunjw mkataba unaelewa compensation zake?
Huwezi kuogopa kuvunja mkataba wa mamia ya miaka kisa fidia. Ndio maana kuna mashauri ktk mahakama
 
Huwezi kuogopa kuvunja mkataba wa mamia ya miaka kisa fidia. Ndio maana kuna mashauri ktk mahakama
Unajua ukitaka kuvunja mkataba utamlipa gharama zote muhusika ambazo zipo ndan ya muda wa mkataba? Kama uliingia mkataba wa sh elf kumi ndan ya cku mbili mimi nachukua asilimia 60 wew 40 so ukiona ni pesa kdg vunja mkataba nilipe pesa zang zote ndipo tu renew mkataba!! Aidha kuwepo na kifungu cha kuvunja mkataba kama mmojawapo kakiuka kifungu cha mkataba.
 
Tuliona walichofanya wabunge Dodoma; tumeona wanachofanya wanazuoni kutoka kwenye dini na fani mbalimbali nchini. Wanajadili mule mule alipopita Mzee Mbowe na Lissu, tofauti ni kwamba wanazuoni wanawapiga shule mawaziri wakati wabunge waliwapigia makofi mawaziri bila kuwapa maarifa mapya.

Hiki kinachoendelea ni fedheha kwa bunge na wabunge; kwamba pamoja na kupitisha kumbe wao siyo final bali kazi yao ilikuwa rubber stamp au kukamilisha ratiba.

Goma limekuwa gumu na endapo Mbowe na Safu yao wataingia uwanjani kwenye mikutano ya adhara kwa agenda hii upo uwezekano pakatokea mmomonyoko mkubwa na makundi kuhusu bandari.

Changamoto kubwa ya Watanzania ni wanafiki wazuri; wakiona unataka kusikia habari hoja fulani nao wanakupigia makofi ila moyoni wana ukweli na wewe ukijiongezea unagundua huna watu nyuma yako.

Magufuli alisifika ila waliokuwa wanamsifu angewaruhusi wapige kura ya siri angelalamika kaibiwa kura kwa sababu baada ya kuondoka tu watu walewale waliokuwa mgongoni mwake walijitokeza kumkataa.

Kama walimkataa hadharani akiwa ameondoka je, walimpigia kura sirini? Kwa kuwa alifahamu fika kwamba amewakosea Watanzani aidha akiwa na nia nzuri au mbaya ndipo akaona njia sahihi ni kuchafua uchaguzi.

Kwa mantiki hii, hakuna mwenye uhakika wa nani ambaye anamkubali kiongozi wa CCM sirini. Wote tumebaki kusikia uungwaji mkono wa majukwaani ila unapokuja sirini hakuna mwenye uhakika wa kutoboa. Hii inatokana na ukweli kwamba tumewaweka makovu Watanzania kwa muda mrefu kwa kuwaaminisha tunafanya uwekezaji wenye tija matokeo yake hakuna tija.

Kwa hatua za awali Mhe. Rais ameona walipokosea wasaidizi wake, amejifunza kwa ndani nini jamii inataka, amewasikia viongozi wa kijamii na imani wanasimamia nini, lakini amewasikia wale wasaidizi wake bungeni walichangia nini; obviously amebaini wanaompotosha na kumchonganisha na jamii siyo wapinzani bali wasaidizi wake.

Inatia hasira unapodhani una wataalam wazuri kisha unagundua kazi waliyofanya inapigwa vita na kila msomi; swali la kujiuliza, hao wasomi walioteuliwa kukusaidia wameelimika? Wana exposure au wapo kwa sababu wapo?

Naamini soon Mwanasheria Mkuu wa Serikali na timu yake watapisha ofisi kwa kilichotokea, vinginevyo ikibainika mkataba haukuwa shirikishi, pamoja na kiburi cha kibinadamu bora tuchelewe kufika kuliko tufike tukiwa siyo wamoja.

Padri Kutima ametueleza Somalia na Sudan, mimi nataka niongeze Loliondo na Tarime mgodini, je, tunadhani ni nia zote nzuri ni nia nzuri?
Ufafanuzi wa suala zima la bandari unafanywa na mkurugenzi wa mamlaka ya anga TCAA, hapo kwa mtu mwenye kufikiria kwa kina atagundua udhaifu wa wenye elimu na vyeo vya ngazi ya juu tulionao kitaifa.

Kwamba TPA panapohusika yupo mkurugenzi lakini suala hili kuanzia mwanzo kabisa kwa maana ya kutafuta huyo DP ili aje awekeze, ni kazi iliyofanywa na bosi wa mamlaka ya anga!.

Ni suala la wazi kukuta kwamba uelewa wa jamii nzima juu ya huu uwekezaji ni wa mashaka, na Mbowe pamoja na wanasiasa wenzake wanatumia huu ubabaishaji wa wananchi katika kurudisha tena heshima yao iliyopotea wakati wa awamu ya JPM.

Tunaangamia kwa kukosa maarifa. Ni suala la maarifa tu ndio tatizo katika hii sintofahamu yote ya DP World.

Pia kuna maadui wakubwa wa mradi mzima, hii ni biashara kubwa ya kimataifa. Ni ushindani wa bandari zenye kumgombea mteja mmoja ambaye ameshaunganisha shughuli nzima za kuutoa mzigo huko DRC na kuupeleka Ulaya na kwingineko.
 
Unajua ukitaka kuvunja mkataba utamlipa gharama zote muhusika ambazo zipo ndan ya muda wa mkataba? Kama uliingia mkataba wa sh elf kumi ndan ya cku mbili mimi nachukua asilimia 60 wew 40 so ukiona ni pesa kdg vunja mkataba nilipe pesa zang zote ndipo tu renew mkataba!! Aidha kuwepo na kifungu cha kuvunja mkataba kama mmojawapo kakiuka kifungu cha mkataba.
So unashauri kwakuwa walisha saini twende tu hivyo hivyo? Ikiwekwa ile 17 hadharani nadhani patachimbika humu
 
Tuliona walichofanya wabunge Dodoma; tumeona wanachofanya wanazuoni kutoka kwenye dini na fani mbalimbali nchini. Wanajadili mule mule alipopita Mzee Mbowe na Lissu, tofauti ni kwamba wanazuoni wanawapiga shule mawaziri wakati wabunge waliwapigia makofi mawaziri bila kuwapa maarifa mapya.

Hiki kinachoendelea ni fedheha kwa bunge na wabunge; kwamba pamoja na kupitisha kumbe wao siyo final bali kazi yao ilikuwa rubber stamp au kukamilisha ratiba.

Goma limekuwa gumu na endapo Mbowe na Safu yao wataingia uwanjani kwenye mikutano ya adhara kwa agenda hii upo uwezekano pakatokea mmomonyoko mkubwa na makundi kuhusu bandari.

Changamoto kubwa ya Watanzania ni wanafiki wazuri; wakiona unataka kusikia habari hoja fulani nao wanakupigia makofi ila moyoni wana ukweli na wewe ukijiongezea unagundua huna watu nyuma yako.

Magufuli alisifika ila waliokuwa wanamsifu angewaruhusi wapige kura ya siri angelalamika kaibiwa kura kwa sababu baada ya kuondoka tu watu walewale waliokuwa mgongoni mwake walijitokeza kumkataa.

Kama walimkataa hadharani akiwa ameondoka je, walimpigia kura sirini? Kwa kuwa alifahamu fika kwamba amewakosea Watanzani aidha akiwa na nia nzuri au mbaya ndipo akaona njia sahihi ni kuchafua uchaguzi.

Kwa mantiki hii, hakuna mwenye uhakika wa nani ambaye anamkubali kiongozi wa CCM sirini. Wote tumebaki kusikia uungwaji mkono wa majukwaani ila unapokuja sirini hakuna mwenye uhakika wa kutoboa. Hii inatokana na ukweli kwamba tumewaweka makovu Watanzania kwa muda mrefu kwa kuwaaminisha tunafanya uwekezaji wenye tija matokeo yake hakuna tija.

Kwa hatua za awali Mhe. Rais ameona walipokosea wasaidizi wake, amejifunza kwa ndani nini jamii inataka, amewasikia viongozi wa kijamii na imani wanasimamia nini, lakini amewasikia wale wasaidizi wake bungeni walichangia nini; obviously amebaini wanaompotosha na kumchonganisha na jamii siyo wapinzani bali wasaidizi wake.

Inatia hasira unapodhani una wataalam wazuri kisha unagundua kazi waliyofanya inapigwa vita na kila msomi; swali la kujiuliza, hao wasomi walioteuliwa kukusaidia wameelimika? Wana exposure au wapo kwa sababu wapo?

Naamini soon Mwanasheria Mkuu wa Serikali na timu yake watapisha ofisi kwa kilichotokea, vinginevyo ikibainika mkataba haukuwa shirikishi, pamoja na kiburi cha kibinadamu bora tuchelewe kufika kuliko tufike tukiwa siyo wamoja.

Padri Kutima ametueleza Somalia na Sudan, mimi nataka niongeze Loliondo na Tarime mgodini, je, tunadhani ni nia zote nzuri ni nia nzuri?
Bunge lina watu kama Musukuma, kibajaji na japipo, halafu utegemee kutakuwa na cha maana huko?
 
Nafikiri kwa sasa kuna umuhimu wa kigezo cha elimu kuzingatiwa wakati wa kupata wabunge, hawa wa darasa la nne na saba waishie 2025, sisemi wenye elimu kwa binge hili tunaona tija yao,hapana, angalau wanaweza fanya mambo wanayojua athari zake kwa kuchambua na kutafuta sehemu tofauti tofauti. Wabunge wenyekusaidiwa na uwezo wao wa kupanua midomo nafikiri tuondokane nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unashauri kwakuwa walisha saini twende tu hivyo hivyo? Ikiwekwa ile 17 hadharani nadhani patachimbika humu
Sisapoti mikataba mibovu bali ukishasain mkataba hicho ni kifungo
 
Mh.Rais SSH ana mtihani mkubwa sana.....ila atauvuka aaamin aaamin[emoji120]
Anaweza kuvuka, lakini akiwa amelemaa.!!
Hivi wazanzibari ni raia wa daraja la pili katika JMT?!!!
Kwa Tanganyika sio daraja la pili tu bali la nne kabisa. Hawastahili wala hawana haki kufanya maamuzi Kwa mambo yanatuhusu Watanganyika!

Na kwa taarifa yako, huyu ndiye atakuwa raia wa mwisho toka Zanzibar kushika madaraka ya U - Rais wa Tanzania..!
Mbona wanaposhika madaraka makubwa huwa wanashambuliwa sana kwa hoja kuwa UWEZO WAO WA KIUONGOZI NI MDOGO...
Hili☝️☝️umesema wewe na halina ubishi wowote. Lakini kwanini uwezo wao ni mdogo? Jibu lake ni wewe kufanya utafiti na uje na jibu!
HAWANA MAAMUZI....WANAUZA NCHI....?!!!
Huwa wana maamuzi lakini ya hovyo na ya kijinga kama anavyofanya huyu mama yako sasa, alivyofanya Ally H. Mwinyi na J. M. Kikwete..!
Watanzania wasio wabaguzi wawe makini sana na haya mambo.....

#SayNoToRacism
#SayNoToBigotry

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna Ubaguzi hapa..

Kilichopo hapa ni Watanganyika kupiga kelele kukataa kutawaliwa na raia wa nchi nyingine ya kigeni..

✓ Samia Suluhu Hassan ni raia wa Zanzibar...

✓ Prof. Makame Mbarawa ni raia wa Zanzibar...

✓ Katibu Mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi ni raia wa Zanzibar

##Hii ndiyo sababu ya kelele zetu...

##Wanauza rasrimali za Tanganyika kwa sababu wao ni Wazanzibari. Watoe wapi uchungu hawa????

#This is not about racism or Bigotry dude!!
 
Back
Top Bottom