Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

Inawezekana tatizo ni elimu, elimu ya darasani huwa wanaipiga teke..
Elimu ya darasani hunoa akili ambayo mtu huzaliwa nayo. Wapo watu wenye elimu hawana akili na vivyo hivyo kinyume chake.
Wewe katika kusoma kwako hujakutana na walimu hadi maprofesa ambao hawana akili?
 
#4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…