Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Kutoka 1,500
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu atasababisha kitu nchi hii, subiriniWangeweka sh 5000 kabisa ili Watanzania watoke usingizini.
Vijana kazi kuvuta shisha tu hata kinachoendelea duniani hawajui.
Ni 2000 kwa mwaka mpya wa bajetiMwezi wa 6 ulinunuwa umeme? Isije kuwa unadaiwa kodi ya miezi miwili.
Iko siku yao inakuja wananchi hawatawasikia tena viongozi,wataamua yao.Mameeeee hii nchi imelaaniwa
Watanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?Ni 2000 kwa mwaka mpya wa bajeti
Shida ya watanzania ikiwemo Mimi, hatuna muda na mambo ya msingi ya nchi Kama Kodi na bajeti.Watanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?
Kuna haja ya kudhaliana na Wakenya tuchanganye damu tukifute kizazi cha mazezeta.
Wazanzibar nao wanakatwa hivihivi?
Hiyo siyo bei ya umeme, ni kodi ya jengo.Tunaongozwa na watu waongo, si walisema umeme utashuka bei baada ule mradi wa rufiji kuanza kazi!!!¿
Wanataka yaKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Mwigulu atasababisha kitu nchi hii, subi
Wakenya Wana akili sana! Hata walivyofanya uharibifu ni baada ya polisi kuanza kuua waandamanaji! Nyerere anaongoza maiti - Jomo Kenyatta
Zanzibar ni buree kutokana na kwamba wao wanalipiwa na MamaWatanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?
Kuna haja ya kudhaliana na Wakenya tuchanganye damu tukifute kizazi cha mazezeta.
Wazanzibar nao wanakatwa hivihivi?
Halafu leo anatokea mtu smart kama Msigwa anakwenda kuungana na genge la waporaji, inashangaza sana.Afu lina tokea li mtu lina gawa pesa zetu kwenye magoal ya mpira nonsense
Mwigulu ndiye Waziri wa fedha duni zaidi kuwahi kuwepo Kwenye nchi hiiHiyo siyo bei ya umeme, ni kodi ya jengo.
Kama unaishi nyumba ya kupanga na una mita ya peke yako maana yake unamlipia kodi mwenye nyumba.
Hawa mwisho wao hauko mbali, Mungu amewatia upofu hawataamini ikifika punda anapogoma.
Sidhani kama huu ushauri ungeweza kumpa ndugu yako wa karibu unayempenda. Binadamu tunajiamini sana tukiwa wazima na bado hatujatokewa na mabaya sisi wenyewe au katika circle yetu ya karibu. Ila umeongea ki low-mided sana, umetumia akili ya level ya chini sana.Si mjiue tu kuliko kuendelea kuishi huku mnaumia na kulialia.
Thed weld dwellers bana
Commit suicide!