Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi wa 6 ulinunuwa umeme? Isije kuwa unadaiwa kodi ya miezi miwili.
UsjejaribuTutaingia tu Barabani, tulikuwa tunawashangaa Wakenya?!
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa mwamba!Afu lina tokea li mtu lina gawa pesa zetu kwenye magoal ya mpira nonsense
Mbona tumeshajaribu Maandamano mengi tu?.Usjejaribu
Mimi makato ya ATM NMB ndio bado sijayaelewa kabisa, kutoa laki tatu kwenye ATM nakatwa 7500?
Lazima wawepo watu 50 au 100 ambalo wako tayari kufa kwa maandamano ndo mapaka yatafataHii nchi ilipofikia inahitaji maandamano kama ya Kenya, ukipandisha hii maana yake kodi ya nyumba nayo imepanda, ilipandishwa na nani?
Benjamin Bibi Netapaka lete vikosi huku🤣Tuna serikali ya kitapeli sn
Mazuzu yanalia mitandaoni tu, lkn Gen Z wa Kenya wanamuamrisha rais wao.Hamna cha kuwafanya.
Nyumbu watabakia kuwa nyumbu na nyati watabakia kuwa nyati.Ruto aliwaza kama hivi hivi