KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Yaan Mimi ilibidi ni note kabisa kiasi Cha pesa kilichosalia bank baada ya siku ya kwanza kuhisi makato ni makubwa sasa Jana ndio naenda kutoa fedha nikagundua 7500 imekatwa kutoa 300,000

Aiseee haya MABANK ni wezi sana ndiyo maana wanapata FAIDA kubwa sana ,inatakiwa BOT waingilie kati kudhibiti huu wizi.
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797
Huyu mama hatakagi kukosolewa !!
Nenda taratibu watu washaanza kutekwa tena
 
Hiyo siyo bei ya umeme, ni kodi ya jengo.

Kama unaishi nyumba ya kupanga na una mita ya peke yako maana yake unamlipia kodi mwenye nyumba.

Hawa mwisho wao hauko mbali, Mungu amewatia upofu hawataamini ikifika punda anapogoma.
Hata kama huna mita ya peka yako lakini unachangia kununua umeme kwani haulipi? Ukinununua umeme kama kuna hilo deni utalipa tu hata kama sio mwenye nyumba.
Pia kwa wale wapangaji wenye mita zao kila mtu lakini nyumba ni moja, hapo kuna double payment
 
Nilikuwa najiuliza maswali kama shirika za serikali watafanya kazi za TRA, Je TRA wao kazi yao ni ipi haswa.
Yaani imekuwa kuunganishiwa umeme serikali imekufanyia hisani, kuna vocabulary wanasema debt collected... which debt? Nimekukopa lini?
Kwa upande wangu naona watanzania ni watu wa ajabu sana. Mnakubali vipi kunyonywa kiasi hiki?
Je watu watakamika wapi na wao ndio wenye dola?
Ila kuna siku watanzania wataelewa haki zao za msingi ni ipi.. na siku hiyo tutakuwa tumechelewa sana
Tanesco ni shamba la Bibi, mafisadi ndio nyumbani kwao!!!
 
Mtawafanya nini!
Mtaani watu wanashindana kukata uno komasava
Huku wakifuatilia sakata la chama kwenda yanga

Ova
tapatalk_1488873578481.jpeg
 
Halafu leo anatokea mtu smart kama Msigwa anakwenda kuungana na genge la waporaji, inashangaza sana.
Mkuu hujasikia kuwa mtu ukiwa na akili sana, ina weza kukusababishia kutenda matendo ya kuwa shangaza watu?
 
Huwa unakatwa shingapi? Maana meta zinadaiwa kutoka reading meter zilivyowekwa luku kila ukinunuwa umeme wanakata.

Je unatumia hiyo meter muda mrefu? Na huwa unakatwa kiasi gani?
Huwa nakatwa kiasi cha kawaida tu mkuu na sidhani kama nina deni la nyuma. unaweza kuona hapo mwezi june.
Screenshot_20240701-200930.png
 
Watanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?

Kuna haja ya kuzaliana na Wakenya tuchanganye damu tukifute kizazi cha mazezeta.

Wazanzibar nao wanakatwa hivihivi?
Kenya mbali. Zalianeni na watanzania wa Kaskazini hasa Wachagga. Wengi wana damu za Kenya.
 
Serikali itafanya inavyotaka maana hakuna watu raha kuwatawala kama watanzania, ndiyo maana Msigwa kaamua kwenda CCM maana watanzania hata uwapiganie vipi hawatakuelewa. Watanzania ni zaidi ya maiti, ni wafu waliolala hata kilichoandikwa hapa hakiwahusu, wao wanaendelea na maisha.
 
Back
Top Bottom