Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona takataka kama hizi.Una mikwala mingi mingi
Yaan Mimi ilibidi ni note kabisa kiasi Cha pesa kilichosalia bank baada ya siku ya kwanza kuhisi makato ni makubwa sasa Jana ndio naenda kutoa fedha nikagundua 7500 imekatwa kutoa 300,000
Tukikuita kwenye maandamano utakuja...??Wanajua mwisho wa kulalamika kwetu ni kwenye hizi thread tu. 😭😭
Huyu mama hatakagi kukosolewa !!Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Hata kama huna mita ya peka yako lakini unachangia kununua umeme kwani haulipi? Ukinununua umeme kama kuna hilo deni utalipa tu hata kama sio mwenye nyumba.Hiyo siyo bei ya umeme, ni kodi ya jengo.
Kama unaishi nyumba ya kupanga na una mita ya peke yako maana yake unamlipia kodi mwenye nyumba.
Hawa mwisho wao hauko mbali, Mungu amewatia upofu hawataamini ikifika punda anapogoma.
Tanesco ni shamba la Bibi, mafisadi ndio nyumbani kwao!!!Nilikuwa najiuliza maswali kama shirika za serikali watafanya kazi za TRA, Je TRA wao kazi yao ni ipi haswa.
Yaani imekuwa kuunganishiwa umeme serikali imekufanyia hisani, kuna vocabulary wanasema debt collected... which debt? Nimekukopa lini?
Kwa upande wangu naona watanzania ni watu wa ajabu sana. Mnakubali vipi kunyonywa kiasi hiki?
Je watu watakamika wapi na wao ndio wenye dola?
Ila kuna siku watanzania wataelewa haki zao za msingi ni ipi.. na siku hiyo tutakuwa tumechelewa sana
Kwamba haya mambo ndio yamemvutia sana Mch Msigwa hadi ameona ccm inaleta maendeleo kwa kasi na I awali wananchi.Tuna serikali ya kitapeli sn
Mtawafanya nini!
Mtaani watu wanashindana kukata uno komasava
Huku wakifuatilia sakata la chama kwenda yanga
Ova
Kuna mbunge alitaka waarabu waje kuzaa na watz ili wapatikane machotara.Watanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?
Kuna haja ya kuzaliana na Wakenya tuchanganye damu tukifute kizazi cha mazezeta.
Wazanzibar nao wanakatwa hivihivi?
Mkuu hujasikia kuwa mtu ukiwa na akili sana, ina weza kukusababishia kutenda matendo ya kuwa shangaza watu?Halafu leo anatokea mtu smart kama Msigwa anakwenda kuungana na genge la waporaji, inashangaza sana.
Huwa nakatwa kiasi cha kawaida tu mkuu na sidhani kama nina deni la nyuma. unaweza kuona hapo mwezi june.Huwa unakatwa shingapi? Maana meta zinadaiwa kutoka reading meter zilivyowekwa luku kila ukinunuwa umeme wanakata.
Je unatumia hiyo meter muda mrefu? Na huwa unakatwa kiasi gani?
Kenya mbali. Zalianeni na watanzania wa Kaskazini hasa Wachagga. Wengi wana damu za Kenya.Watanzania wanaelewa chochote kinachoendelea au walidhani Wakenya hawajui wanachopinga?
Kuna haja ya kuzaliana na Wakenya tuchanganye damu tukifute kizazi cha mazezeta.
Wazanzibar nao wanakatwa hivihivi?
Tatizo letu huwa tuna paparika sana bila kupata factsHuwa nakatwa kiasi cha kawaida tu mkuu na sidhani kama nina deni la nyuma. unaweza kuona hapo mwezi june.View attachment 3030844
Umeandika kinyonge sana muheshimiwa kama jamaa mmoja kwenye kitabu cha KULI(Shafi A Shafi).Yana mwisho