Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
Bado hatujasema,mpaka tuseme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa amejidhalilisha sana, mimi hata sielewi uchungaji wake ni wa nini?Kwamba haya mambo ndio yamemvutia sana Mch Msigwa hadi ameona ccm inaleta maendeleo kwa kasi na I awali wananchi.
Hizo ndio zinaitwa akili za ndezi!
Mkuu,matakwa ya huyo Mh. Mbunge yamefikia wapi?Kuna mbunge alitaka waarabu waje kuzaa na watz ili wapatikane machotara.
una maanisha nini? funguka kama una kitu cha kusemaTatizo letu huwa tuna paparika sana bila kupata facts
Always tujifunze kutofautisha facts na opinion
Ingekuwa kodi ya miezi 2 angekatwa 3,000Mwezi wa 6 ulinunuwa umeme? Isije kuwa unadaiwa kodi ya miezi miwili.
Uzuri huwa mnaongea na kutukana na yana ishia hapa hapaMameeeee hii nchi imelaaniwa
Mkuu, mimi kwenyenyumba ya kulala nakomaa na SOLAR tu.Hiyo ni kodi ya majengo, na haikuwa 1000, ila ilikuwa 1,500 na sasa ni 2,000 na mwaka ujao wa fedha itakuwa 2,500 bila shaka.
Ubaya wa kodi siyo tu huko kupanda kwake, ila kutozwa kwa mfumo wa wizi, kwamba haitozwi kwa jengo kama inavyopaswa, ila kwa mita ya Luku.
Hivyo, kama jengo moja lina mita tatu za Luku, basi jengo hilo litalipiwa kodi hiyo mara tatu, ambayo kimsingi ni wizi. Kwani hata wenye msamaha wa kodi, wanakatwa tu.
Ova
Tuendelee kujifunza, madhara ya kuwaachia viongozi tusiwachagua, kisa eti hatupendi kujihusisha na siasa.Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Hata wakiweka elfu 10 hamna cha kufanya acha porojoWangeweka sh 5000 kabisa ili Watanzania watoke usingizini.
Vijana kazi kuvuta shisha tu hata kinachoendelea duniani hawajui.
Sio maandamano nitapoteza muda nipe silaha .Tukikuita kwenye maandamano utakuja...??
Zinaenda kwa mama abdulKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Mkuu umeomba wakupe statement kuangalia hela imekatwa kwa sababu gani..?Yaan Mimi ilibidi ni note kabisa kiasi Cha pesa kilichosalia bank baada ya siku ya kwanza kuhisi makato ni makubwa sasa Jana ndio naenda kutoa fedha nikagundua 7500 imekatwa kutoa 300,000
Matanzania hata waongeze sukari kg 1 iwe 10000 yanalialia mtandao yakija ishu ya chama tu kwenda yanga yamesahau matanzania yote mambumbumbu
Mimi nataka tuzae na wadada wa kikenya tupate watoto ambao wana damu ya wakenya wanaojua kupambania haki zao hata wakiwekewa mtutu wa bundukiKuna mbunge alitaka waarabu waje kuzaa na watz ili wapatikane machotara.