KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwamba haya mambo ndio yamemvutia sana Mch Msigwa hadi ameona ccm inaleta maendeleo kwa kasi na I awali wananchi.
Hizo ndio zinaitwa akili za ndezi!
Jamaa amejidhalilisha sana, mimi hata sielewi uchungaji wake ni wa nini?

Mwenzake Natse alisavebterm moja tu ya Ubunge Karatu akasema siasa siyo wito wake anarudi kanisani, sasa inashangaza Msigwa anakwenda kuungana na watesi wetu badala ya kurudi kanisani.

Inshort Msigwa ni mchumia tumbo tu na hawezi kuishi bila madaraka na anaamini ni yeye tu ndio anastahili.
 
37228.jpg
 
Hiyo ni kodi ya majengo, na haikuwa 1000, ila ilikuwa 1,500 na sasa ni 2,000 na mwaka ujao wa fedha itakuwa 2,500 bila shaka.

Ubaya wa kodi siyo tu huko kupanda kwake, ila kutozwa kwa mfumo wa wizi, kwamba haitozwi kwa jengo kama inavyopaswa, ila kwa mita ya Luku.

Hivyo, kama jengo moja lina mita tatu za Luku, basi jengo hilo litalipiwa kodi hiyo mara tatu, ambayo kimsingi ni wizi. Kwani hata wenye msamaha wa kodi, wanakatwa tu.

Ova
Mkuu, mimi kwenyenyumba ya kulala nakomaa na SOLAR tu.
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797
Tuendelee kujifunza, madhara ya kuwaachia viongozi tusiwachagua, kisa eti hatupendi kujihusisha na siasa.
Siasa ni maisha kuamua kama jamii tuongozwe na nani atuongoze vipi na aheshimu wananchi. Na bado
 
Hata mimi nilinua umeme wa elfu 9000 nikitegemea kupata unit 60+ sababu nipo matumizi madogo na nimetoa service charge. Cha ajabu nilipata unit 57 tena bila maelezo ya makato. Hatari sn hii.

Ila suala la ndugu yetu ni kwamba atakuwa aliingiza umeme kwenye nyumba yake na akapewa unit za kuanzia km 30. Hivyo, Hilo deni huwa wanakata hiyo elf 6 kwa kipindi cha mwaka 1. Labda akiona meseji hii atakuja kithibitisha niliyosema au atoe ufafanuzi.
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797
Zinaenda kwa mama abdul
 
Yaan Mimi ilibidi ni note kabisa kiasi Cha pesa kilichosalia bank baada ya siku ya kwanza kuhisi makato ni makubwa sasa Jana ndio naenda kutoa fedha nikagundua 7500 imekatwa kutoa 300,000
Mkuu umeomba wakupe statement kuangalia hela imekatwa kwa sababu gani..?
 
Back
Top Bottom